Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Samahani mkuu, hivi wateja wengi au tuseme wanunuzi wa hii biashara ni akina nani? It begins with you, hawa wapuuzi wangekua hawana soko wasingefanya hiyo biashara, ukiona biashara imeshamiri jua demand ni kubwa au kwa lugha nyingine wanunuzi ni wa uhakika
 
Kuanzia LEO mpk J.PIL ndio siku NZURI za BIASHARA.

Tuungane nami kutembelea MASOKO HURIA.. hapo jioni/Usiku.
 
Wanunuzi wapo nikiwemo mimi pia ni MNUNUZI yaan MWANAUME yeyote Ni MNUNUZI.. either kwa kujua au kutojua.

Same kwa wanawake wengi ni WAUZAJI ila hawajui kama WANAUZA.

do u gerrit?

Demand ni ndogo ndio maana unaweza pishana na Wanawake 20 wamejipanga msururu wakiuza biashara zao na wakikulazimisha uwaungishe hata kwa BUKU.
 
Nimemuuliza aje na TAKWIMU zinazopinga TAKWIMU zangu. Yaani athibitishe kuwa 89% sio WAFANYABIASHARA.
Unaposema 89% ni zaidi ya robo tatu ya wanawake Tanzania, ni sawa na kusema wanawake wote Tanzania wanajiuza isipokua watoto wadogo maana hiyo percent ndogo iliyobaki 11% ni watoto wa kike, hapa unatukosea heshima sana, sikatai kuna wanawake wanajiuza lakini haijumuishi wanawake wote Tanzania
 
Sasa (labda) sina hakika.. maybe.. ww upo ktk hilo kundi la 11%..
 
I don't gerrit! Unaposema wanajiuza unaweza kuwa spesific kidogo

On the same note, wanaume wa kizazi hiki ni irreaponsible seeds, haiwezekani unafunga safari kutoka nyumbani kwako unaenda baa kununua mbususu, halafu ukirudi kwako unajiita kichwa cha familia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…