Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Nadhani shida yako ni kwamba huna respect kwa wanawake, kuna lugh unatumia za kumdhalilisha mwanamke

Mtu ameolewa unasema ameuza jumla, this is not right, swallow your pride man.

Hawa unawazungumza hapa ni mama zako, dada zako, shangazi zako na pengine utakua na binti yako
Hujamwelewa, wanawake wengi wameingia kwenye ndoa kwasababu ya hela za mwanaume, ila kiuhalisia hawavutiwi kimapenzi na hawampendi huyo mwanaume, huko nako si kujiuza.. Skylar
 
Hujamwelewa, wanawake wengi wameingia kwenye ndoa kwasababu ya hela za mwanaume, ila kiuhalisia hawavutiwi kimapenzi na hawampendi huyo mwanaume, huko nako si kujiuza.. Skylar
Screenshot_20230923_164124.jpg

Kuna Mwanamke alipost hivi leo hii ktk status yake.
 
Umeolewa?
Happy Married with 4 kids
Hujamwelewa, wanawake wengi wameingia kwenye ndoa kwasababu ya hela za mwanaume, ila kiuhalisia hawavutiwi kimapenzi na hawampendi huyo mwanaume, huko nako si kujiuza.. Skylar
Duuh, kwamba wanawake hatuna hela na hatujui kutafuta hela mpaka tunaingia kwenye ndoa na mtu usiempenda kisa pesa?

Hebu wapeni wanawake heshima yao, sikatai wapo baadhi lakini trust me, these days wanawake wanajituma na hawategemei pesa zenu, tena infact tune pesa kuwazidi kwa hiyo msituchukulie poa🤣🤣

Anyway my point hapa ni kwamba muuzaji na mnunuzi wote sawa tu, kwa hiyo tusiwahukumu wanawake
 
Anaeuza ndio chanzo cha matatizo. Ukimbana mnunuzi biashara itaendelea kuwepo ila ukimbana muuzaji automaticaly biashara itakufa. Ndio maana hata madawa ya kulevya wanasakwa wauzaji uwezi kuona wanasakwa mateja wapelekwe kwenye vyombo vya sheria
Ajira umepata lakini? Maana naona bado unatafuta ajira

Muuzji na mnunuzi wote sawa tu, mi nikikukuta unanunua bangi unadhani ntamshangaa muuzaji? Ntakushangaa wewe mvutaji
 
Na wanaume nao wafanyaje!!! Waibe na kupora!!!! Poverty is not an excuse to committ a crime. Serikali ikamate makahaba wakalime mashamba magerezani
Nakubaliana na wewe, tena serikali iongeze nguvu ikamate na wanunuaji wote wakalime mashamba
 
Umejikita sana kwa wauzaji wa rejareja kuna wale wauzaji wa jumla amewaelezea kaka Pascal Mayalla uko juu vipi unawaongeleaje
Kuna tatizo mahali, kama imefikia point ya kuwa na wauzaji wa jumla basi inaonekana wanunuzi wanapewa options nyingi, anaetaka reja rwja anapata, anaetaka jumla anapata
 
Happy Married with 4 kids

Duuh, kwamba wanawake hatuna hela na hatujui kutafuta hela mpaka tunaingia kwenye ndoa na mtu usiempenda kisa pesa?

Hebu wapeni wanawake heshima yao, sikatai wapo baadhi lakini trust me, these days wanawake wanajituma na hawategemei pesa zenu, tena infact tune pesa kuwazidi kwa hiyo msituchukulie poa🤣🤣

Anyway my point hapa ni kwamba muuzaji na mnunuzi wote sawa tu, kwa hiyo tusiwahukumu wanawake
Wakina VICKY au sio... wanawake na MAENDELEO..
 
Biashara hufanywa na muuzaji na mnunuzi.
Hivi hapa hao mabikra watakuwa wanalipiwa hela au unapewa bure na Allah?

Quran 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.
 
Lets talk about the buyer, how do we call them, those who buy cheapest prostitutes?
They do remain as buyers provided that they have decided to buy those prostitutes cheaply through what we call bride 'prices'.
 
Happy Married with 4 kids

Duuh, kwamba wanawake hatuna hela na hatujui kutafuta hela mpaka tunaingia kwenye ndoa na mtu usiempenda kisa pesa?

Hebu wapeni wanawake heshima yao, sikatai wapo baadhi lakini trust me, these days wanawake wanajituma na hawategemei pesa zenu, tena infact tune pesa kuwazidi kwa hiyo msituchukulie poa🤣🤣

Anyway my point hapa ni kwamba muuzaji na mnunuzi wote sawa tu, kwa hiyo tusiwahukumu wanawake
Hizo hela mnazo,ila anayetoa matumizi ni mwanaume aliyekuoa.Hizo hela ni zako.Za mwanaume ni zenu.
 
Nimepita sehem nikaitwa Kaka twende tukatombane jamani utalipa guest 2000 mimi utanipa 3000.
Mimi: Sina hela dada asante!
Yeye: Kwani wewe una sh ngapi ongea usiogope.
Hapa ndipo tulipofikia wakuu.
Aisee
 
They do remain as buyers provided that they have decided to buy those prostitutes cheaply through what we call bride 'prices'.
they belong in that same category" prostitutes" no man with sound mind would go after prostitute if he is not a prostitute
 
Kwa maisha ya sasa, majukumu ya familia yanatimizwa kwa ushirikiano wa mume na mke, unless umeoa mwanamke ambae ni selfish
Kiasilia mwanamke ni mbinafsi na ndio maana hela ya mwanamke ni chungu na mara nyingi huambatana na masimango na manyanyaso.

Ndio maana kwenye nyumba kama mume ana laki tatu na mke ana milion jumla nyumba ina laki tatu, huwezi helewa hizi hesabu kama sio mwanaume.
 
Akistaafu huyo akiwa ktk utumish wa miaka 15 ina maana ana miaka 30, ndio unakutana nae Wewe sasa mwenye njaa ya KUOA unaweka ndani.
Sahihi kabisaa, jambo hili huwa nalitafakari saaaana, hivi hawa wasiooa wataoa wake wa aina gani, vitoto vidogo vinakushawishi kwa bei rahisi kabisa ufanye navyo ngono tena kwa barabara zote ile kuu na ile service road, hakika msiooa subirini mtaoa makahaba
 
Back
Top Bottom