Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Na pia hata upate shida vipi hachomoi hata senti.. ktk hiyo 1m
 
Mie binafsi SIOI.
 
Hivi,mda ulotumia kutafakari haya na kuyaandika,ungekuwa unatafakari jambo la maana,si ungekuwa mbali kabisa?! Ngono ngono tu. Ngono,ngono tu. Af kesho mnaanza ohh mchina anatuuzia vitu fake, ohhhh wahamiaji haramu wamejaa nchini. Badara ya kazi na mawazo ya kujenga, mawazo hayo yatakusaidia nini labda!
 
Namba 5 ndio trending saa hizi nawajua watatu ndio "cover" ya biashara yao halisi.
 
Namba 5 ndio trending saa hizi nawajua watatu ndio "cover" ya biashara yao halisi.
Mie kuna mmoja yupo IG anauza nguo, sasa kila nikipost insta story na yeye anacomment, juzi hapo kanitumia bikini et anauza nimuungishe, nikamuuliza mimi navaa bikini..? Akacheka ohh et nimnunulie Wife au Mwanamke wangu. Nikamwambia sina kama vipi nikununulie wewe mwenyewe uvae.. akacheka.. akasema sawa, nikamwambia achague anazotaka then weekend hapo aje achukue hela ila moja avae niione.

Akaitikia kwa furahaa sana.. soo namsubiri hapo jpil niione bikini kama imemkaa vzr.
 
Nishatafakari mambo mengi ya msingi.. na huwenda nikawa nimefanya mambo mengi ya msingi kuliko wewe.
 
Ndio yule anaanzia na Sh...

Nawajua watatu ila policy za JF hazitaki name calling.

Hao wengine makazi yao ni Mwanza.

Kipo kingine ni safari za Kahama -Dar ,Mwanza Dar na pipa kila wiki wasiojua wanajidanganya ni duka tu la nguo😃😃
 
Ndio yule anaanzia na Sh...

Nawajua watatu ila policy za JF hazitaki name calling.

Hao wengine makazi yao ni Mwanza.

Kipo kingine ni safari za Kahama -Dar ,Mwanza Dar na pipa kila wiki wasiojua wanajidanganya ni duka tu la nguo😃😃
Hahah, mbona kama mule mule...? Jina Username linaanzia na __sh.. alafu ile name yenyewe inaanzia na N..

Obviously wapo wengi 90% ni indirect business, kuna mmoja et anauza Biriani Ijumaa na katika tangazo lake la biriani kaweka na picha yake sasa najiuliza kuna uhusiano gani wa biashara ya chakula na kujipachika picha yako kwenye Tangazo.
 
Mulemule..

Yupo mwingine handle yake inaanzia na M ....5 mwishoni ana boutique ule mji wa madini..ni geresha tu nyuma ya pazia biashara halisi ni muuzaji wa biashara kongwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…