Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

Ahsante sana kwamaelezo mazuri mkuu. Umetufungua macho wengi. Na km in Nguo za special Kwa kariakoo ni upande gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio unakaiwa uwe na leseni ya biashara hiyo.Kama unafanya kwenye jiji au manispaa(URBAN) kwa mwaka sh 50,000.kama upo ktk Halmashauri za kawaida(RURAL DISTRICTS) ni chini ya 50,000/= TRA utalipia kutokana na mauzo yako.
 
Mamboz!
Siku za nyuma nilipost kama nataka kuanzisha biashara ya lipsticks, naomba ushauri kwa sasa nipo tayari na Mungu akipenda mwanzo wa mwezi wa 10 nitaanza rasmi business......napenda kujua kwa wenye uwezo kama hii biashara itafaa kwa kipindi hiki
Nawasilisha
 
Angalia soko lako mkuu.

Unalenga kuwauzia kina nani, unauza jumla au rejareja au vyote kwa pamoja.

Dar au mpaka mikoani na nchi jirani.

Inategemea bei yako mkuu je ni vunja bei au...?.

Tuanze na hayo kwanza.
 
Angalia soko lako mkuu.

Unalenga kuwauzia kina nani, unauza jumla au rejareja au vyote kwa pamoja.

Dar au mpaka mikoani na nchi jirani.

Inategemea bei yako mkuu je ni vunja bei au...?.

Tuanze na hayo kwanza.
Nataka kuanza kuintroduce kwa marafiki zangu na kwenye whatsapp groups then nitajitangaza rasmi instagram

Nitaangalia na uhitaji wa watu but kwa kuanza nitaanza kuuza rejareja hapo baadae ndo nitauza kwa jumla

Nitaanza na dar coz ndo ninapoishi ila Mungu akisaidia nitapeleka mpaka mikoani

Price itakuwa affordable wala sitaweka bei kubwa
 
Nataka kuanza kuintroduce kwa marafiki zangu na kwenye whatsapp groups then nitajitangaza rasmi instagram

Ooh okay, kama ni hivyo pia si mbaya coz uta-minimize baadhi ya costs zisizo na ulazima.

Nitaangalia na uhitaji wa watu but kwa kuanza nitaanza kuuza rejareja hapo baadae ndo nitauza kwa jumla

Yah, coz wanasema usipime kina cha maji kwa miguu miwili, Anza kwanza kiasi, wateja wakiwa wengi utaongeza zaidi.

Nitaanza na dar coz ndo ninapoishi ila Mungu akisaidia nitapeleka mpaka mikoani

Ni kweli MUNGU akisaidia, ila japo upo Dar ila naamini mpaka mikoani utatuma mzigo na tafuta wateja mpaka mikoani coz bei ya perfume kwa Dar sio sawa na mkoani mamii.

Price itakuwa affordable wala sitaweka bei kubwa

Safi.
 
Ooh okay, kama ni hivyo pia si mbaya coz uta-minimize baadhi ya costs zisizo na ulazima.
Yah costs zitapungua

Yah, coz wanasema usipime kina cha maji kwa miguu miwili, Anza kwanza kiasi, wateja wakiwa wengi utaongeza zaidi.
Kweli kabisa ni muhimu kuanza na kidogo kwanza

Ni kweli MUNGU akisaidia, ila japo upo Dar ila naamini mpaka mikoani utatuma mzigo na tafuta wateja mpaka mikoani coz bei ya perfume kwa Dar sio sawa na mkoani mamii.
Ni lipsticks.....unachosema ni ukweli nitafanyia kazi ushauri wako
 
Mkuu,,kwa taarifa nilizonazo ni kuwa mitumba kutoka Kenya ndio iko bomba sana coz ile grade 1 haijachakachuliwa,hukuti matambala yaani yote iko very smart. Kiukweli nipo ktk process za kwenda kenya kufungasha mzigo nilete Tanzania hebu nitosheleze na hili,nikweli mitumba ya kenya ina ubora kuishinda ya Uganda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…