Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja mm niwe shuhuda wa kile unachotaka kufanya mkuu...last year nilienda uganda mwez wa 6 kuchukua hzo hzo nguo za mtumba, nilikuwa na 5m...nilifikia hotel moja pale mukono inaitwa 24/7 ni hotel nzur na ipo barabaran pia kwenye ground floor pana ofisi za kampala coach hvyo unapata uhakika wa safari na kutunziwa mizigo yako pale ofisini kwao....kwa chini zaidi ya hiyo hotel kuna club wanajaa wanafunzi wa vyuo coz lile eneo la mkono lina vyuo vingi sana na utakutana na wabongo wa kutosha na wakenya......janguuu
wiseboy kosa ulilofanya hukufanya utafiti vizuri. Siku nyingine huulize kwanza maana kama haujafanya utafiti ukienda sehemu yoyote utaumizwa.
Kila nchi kuna maduka ya gharama na bei ya chini ni vizuri kujua maeneo kabla ujaenda
MUKONO ILIPO UCU KUNA KAMA 13 HADI 16 KILOMITA HADI KAMPALA KAMA SIJASAHAU SAWA wizeboy soko lako kwa bongo lipo wapi hasa ? Namaanisha mji gani?
MUKONO ILIPO UCU KUNA KAMA 13 HADI 16 KILOMITA HADI KAMPALA KAMA SIJASAHAU SAWA wizeboy soko lako kwa bongo lipo wapi hasa ? Namaanisha mji gani?
bei ya mtukula na kampala iko sawa?Mzigo nunulia Mtukula usivuke UG
Mzigo nunulia Mtukula usivuke UG
mkuu WIZEBOY pole sana kwa changamoto pia hongera sana kwa kutokata tamaa na kutafuta mbinu mbadala ili kuweka mambo sawa........inakuchukua mda gani mpaka kuja kufunga mzigo mwingine hapa dar na je? Vp kuhusu usafiri wa mzigo mpaka pale unapouzia?