Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

Kampala hakuna shida kabisa,ukipanda gari za friends ukifika tu ofisini kwao kuna watu wa hotel inaitwa kilimanjaro inn wanakuja kupokea wateja,hiyo hotel ni nzuri coz ipo katikati ya maduka zipo na nyingine kama kk trust etc
Viatu mostly vipo jengo la capital ground floor na majengo mengine hapo hapo around
Tax mnalipia mpakani unaweza lipa mwenyewe au ukampa conductor afanye on ur behalf
Mzigo kusafirisha sio ghali kwa bus
Wanaongea kiswahili kiasi na english pia so hamuwezi shindwa kuelewana
Enjoy your trip
 
Habari msaada natamani sana kwenda uganda kwaajili ya biashara ya viatu, kununua kule nilete huku. Lakini sijui pakuanzia, nafikia wapi, hotel, masoko na bei za bidhaa, jinsi y kusafirisha mzigo taxes zikoje, sina mwenyeji kabisa.

Napata woga kidogo ila ni swala nalotamani kulifanya, msaada Ma boss

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama upo mwanza nitafute ata mimi nafanya hiyo biashara nitakuunganisha na watu wanaoenda kampala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani sana boss...umenip mwangaza
Kampala hakuna shida kabisa,ukipanda gari za friends ukifika tu ofisini kwao kuna watu wa hotel inaitwa kilimanjaro inn wanakuja kupokea wateja,hiyo hotel ni nzuri coz ipo katikati ya maduka zipo na nyingine kama kk trust etc
Viatu mostly vipo jengo la capital ground floor na majengo mengine hapo hapo around
Tax mnalipia mpakani unaweza lipa mwenyewe au ukampa conductor afanye on ur behalf
Mzigo kusafirisha sio ghali kwa bus
Wanaongea kiswahili kiasi na english pia so hamuwezi shindwa kuelewana
Enjoy your trip

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahhaha m sio wa bata kabisa sem kununua vitu vilivyonje ya budget ndo ntakuw makin maan mmh
Lakini pia Kiswahili wanaongea japo si sana, kwa hiyo mnaweza kuelewana bei. Moja ya changamoto ya Kampala ni kua kama wakijua wewe ni mgeni bas bei hua inachangmka kidgo. Yes, Kampala kuna vitu vingi vizuri kias unaweza ukanunua na kuvuka budget yako! Angalizo tu Hela ya nauli pamoja na hela ya kulipa boda(Mutukula) incase akina zakayo wakikuotea itenge pembeni kabisa ama ukishuka tu kata tiketi ya gari la kuludi.
Bata la kule nisiliongelee kabisa...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukran sana boss
Usiogope kuhusu lugha Kampala wafanyabiashara wa Uganda waliopo pale wengi wao kiswahili kinapanda.

Vitu ni bei nafuu ukienda na pesa utanunua vitu na bado utatamani ununue zaidi.

Mwaka juzi niliuliza kiatu aina ya Sebago hapo Kampala maduka karibu na Stendi ya daladala nikaambiwa ni elfu 40 ya Uganda (mitwalo minne), ambayo ukibadili kwa Tsh ilikuwa ni elfu 20.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu malazi kampala sio issue kabisa sababu ukipanda basi la friends kuna watu wa hoteli wanakuchukua mpaka hotelini kwao, kuna mpaka room za elfu 20 ya tz na inakuwa standard kwa wale wenye kujibana mnaweza lala hata wa 2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16] nimesoma nacheka huu uzi. Wewe dada nikiacha mengine yote ya kupata waliokupa namba za simu, mara sijui pm muwasiliane mara mkutane mwanza mie nakushauri kama ifuatavyo.

Kuna Uzi humu ukiutafuta unaelezea sana habari za Uganda na Wengine tumetoa uzoefu wetu wa kwenda mara ya kwanza.

Nakusisitiza nenda peke yako. (Sijui umenielewa)?

Siku ya kwanza nilienda peke yangu, sikutaka kupelekwa na mtu nisiyemfahamu. Sasa ukiona yafaa wewe pelekwa na mnaokutana humu uone. (Utaliwa mpk ushangae) we si mwanamke wewe[emoji3][emoji3]

Sikwambii ufanye nn, ila soma nilivo safiri itakusaidia. Nilienda kukata uhamiaji hati ya dharula ya kusafiria. Kama sikosei ilikuwa 15000/=

Nikapanda gari ubungo, safari ikaanza, nikalala kahama, hapo nimevaa soksi ndefuuu mpk mapajani za mpira[emoji3][emoji3] humo nimepanga maburungutu ya millions zangu, alafu nikavaa suruali pana tu.

Kesho yake asbh tulitoka kahama nikaingia kampala saa 9 au 10 hivi. Safarini tayari kwenye gari kuna wafanya biashara tulianza kupiga stori njiani (huwakosi) ila sikuwaonesha mie ndio first time[emoji41]

Katika stori tu njiani, nilijua gest ya katikati ya mji, majengo ya bidhaa, lakini pamoja na yote nilitoka na ramani ya hivyo vyote hapa jamii forum (uzi upo) unaeleza mpaka gesti.

Tuliposhuka stand nikachukua boda nikamwambia nipeleke gest flan, alipojua mie Mtanzania akabadili lugha akaanza kugonga kiswahili (kibovu lakini). Prrrrrrrrri tuk tuk mpaka gesti nikalipia elfu 25 ya Uganda ilikuwa kama elfu 15/16 ya Tanzania. Nikalala

Hii gesti niliolala ingekuwa Tanzania basi nimelala karikakoo kabisaa, ukitoka nje ni maduka. Basi asbh mzee nikaanza kukata mitaa mwenyewe napita jengo mpk jengo na study. Lakin nilipolala hapo walilala pia watanzania wawili waanya biashara wazoefu, na mkongo mmoja ambao jioni ile kulikuwa na match chini sehemu ya chakula tukakaa tunapiga stori kabla ya kulala

Aisee katika story walinipa madini sana ya biashara, zinavofanyika, kupita mpakani, na kuongeza kipato kwa kubeba mzigo unapokuja uganda na unabeba unaporudi. So hakuna kusafiri kiboya.

Aisee ni mengi, siwezi eleza yote. Kesho yake kama nilivoeleza hapo juu nikafanya kuzunguka mwenyewe nikajua mengi, nikarud kulala kuwa sasa kesho naenda kununua. Usiku huo pia wakaja watanzania watatu wanawake pale lodge. Wawili toka dar, mmoja kigoma.

Aisee wale wadada tulikaa tujapiga story wakanipa ramani hadi nikahsi naamka tajiri leo. Kesho yake nikaingia nao madukani japo tuliachana, kila mtu akawa bize kufunga mzigo, ukishafungwa moja kwa moja kwenye gari. Kesho yake alfajiri safari

Hapo mnarudi njiani mko wengi, na stori kama zote (naimani ushanisoma eeh?) Utapewa mbinu na kila ujanja.

Dada imetosha. Ondoka nenda, mpk unafika ushakuwa mwenyeji. Kila la kheri.

Dumelang
 
[emoji16][emoji16][emoji16] nimesoma nacheka huu uzi. Wewe dada nikiacha mengine yote ya kupata waliokupa namba za simu, mara sijui pm muwasiliane mara mkutane mwanza mie nakushauri kama ifuatavyo.

Kuna Uzi humu ukiutafuta unaelezea sana habari za Uganda na Wengine tumetoa uzoefu wetu wa kwenda mara ya kwanza.

Nakusisitiza nenda peke yako. (Sijui umenielewa)?

Siku ya kwanza nilienda peke yangu, sikutaka kupelekwa na mtu nisiyemfahamu. Sasa ukiona yafaa wewe pelekwa na mnaokutana humu uone. (Utaliwa mpk ushangae) we si mwanamke wewe[emoji3][emoji3]

Sikwambii ufanye nn, ila soma nilivo safiri itakusaidia. Nilienda kukata uhamiaji hati ya dharula ya kusafiria. Kama sikosei ilikuwa 15000/=

Nikapanda gari ubungo, safari ikaanza, nikalala kahama, hapo nimevaa soksi ndefuuu mpk mapajani za mpira[emoji3][emoji3] humo nimepanga maburungutu ya millions zangu, alafu nikavaa suruali pana tu.

Kesho yake asbh tulitoka kahama nikaingia kampala saa 9 au 10 hivi. Safarini tayari kwenye gari kuna wafanya biashara tulianza kupiga stori njiani (huwakosi) ila sikuwaonesha mie ndio first time[emoji41]

Katika stori tu njiani, nilijua gest ya katikati ya mji, majengo ya bidhaa, lakini pamoja na yote nilitoka na ramani ya hivyo vyote hapa jamii forum (uzi upo) unaeleza mpaka gesti.

Tuliposhuka stand nikachukua boda nikamwambia nipeleke gest flan, alipojua mie Mtanzania akabadili lugha akaanza kugonga kiswahili (kibovu lakini). Prrrrrrrrri tuk tuk mpaka gesti nikalipia elfu 25 ya Uganda ilikuwa kama elfu 15/16 ya Tanzania. Nikalala

Hii gesti niliolala ingekuwa Tanzania basi nimelala karikakoo kabisaa, ukitoka nje ni maduka. Basi asbh mzee nikaanza kukata mitaa mwenyewe napita jengo mpk jengo na study. Lakin nilipolala hapo walilala pia watanzania wawili waanya biashara wazoefu, na mkongo mmoja ambao jioni ile kulikuwa na match chini sehemu ya chakula tukakaa tunapiga stori kabla ya kulala

Aisee katika story walinipa madini sana ya biashara, zinavofanyika, kupita mpakani, na kuongeza kipato kwa kubeba mzigo unapokuja uganda na unabeba unaporudi. So hakuna kusafiri kiboya.

Aisee ni mengi, siwezi eleza yote. Kesho yake kama nilivoeleza hapo juu nikafanya kuzunguka mwenyewe nikajua mengi, nikarud kulala kuwa sasa kesho naenda kununua. Usiku huo pia wakaja watanzania watatu wanawake pale lodge. Wawili toka dar, mmoja kigoma.

Aisee wale wadada tulikaa tujapiga story wakanipa ramani hadi nikahsi naamka tajiri leo. Kesho yake nikaingia nao madukani japo tuliachana, kila mtu akawa bize kufunga mzigo, ukishafungwa moja kwa moja kwenye gari. Kesho yake alfajiri safari

Hapo mnarudi njiani mko wengi, na stori kama zote (naimani ushanisoma eeh?) Utapewa mbinu na kila ujanja.

Dada imetosha. Ondoka nenda, mpk unafika ushakuwa mwenyeji. Kila la kheri.

Dumelang
Unaendelea na biashara au umeacha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Panda basi hadi Kampala unaingia saa 1 jioni kama umeanzia safari Mwanza na kama umelala Bukoba utaingia saa 7 mchana. Kwenye hoteli utakayofikia ongea na meneja akupatie tax dreva anayemfahamu yeye akupeleke kwenda kukutembeza na si vibaya ukatenga elfu 10 ya Tz akakupatia hata binti wa kukutembeza kwa miguu. Nakuhakikishia hautajutia kwenda Kampala, na nakuhakikishia wazo uliloendanalo ukikanyaga tu jijini Kampala utabadiri msimamo na kujikuta kila kitu unataka ununue maana kinalipa tu. Mie siku ya kwanza baada ya kukanyaga jijini nilishindwa kununua chochote ikabidi nirudi kwanza chumbani kulala nikitafakari ninunue nini na niache nini.View attachment 1026446

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha mbali mkuu kwa hii pic. I miss Kampala
 
[emoji16][emoji16][emoji16] nimesoma nacheka huu uzi. Wewe dada nikiacha mengine yote ya kupata waliokupa namba za simu, mara sijui pm muwasiliane mara mkutane mwanza mie nakushauri kama ifuatavyo.

Kuna Uzi humu ukiutafuta unaelezea sana habari za Uganda na Wengine tumetoa uzoefu wetu wa kwenda mara ya kwanza.

Nakusisitiza nenda peke yako. (Sijui umenielewa)?

Siku ya kwanza nilienda peke yangu, sikutaka kupelekwa na mtu nisiyemfahamu. Sasa ukiona yafaa wewe pelekwa na mnaokutana humu uone. (Utaliwa mpk ushangae) we si mwanamke wewe[emoji3][emoji3]

Sikwambii ufanye nn, ila soma nilivo safiri itakusaidia. Nilienda kukata uhamiaji hati ya dharula ya kusafiria. Kama sikosei ilikuwa 15000/=

Nikapanda gari ubungo, safari ikaanza, nikalala kahama, hapo nimevaa soksi ndefuuu mpk mapajani za mpira[emoji3][emoji3] humo nimepanga maburungutu ya millions zangu, alafu nikavaa suruali pana tu.

Kesho yake asbh tulitoka kahama nikaingia kampala saa 9 au 10 hivi. Safarini tayari kwenye gari kuna wafanya biashara tulianza kupiga stori njiani (huwakosi) ila sikuwaonesha mie ndio first time[emoji41]

Katika stori tu njiani, nilijua gest ya katikati ya mji, majengo ya bidhaa, lakini pamoja na yote nilitoka na ramani ya hivyo vyote hapa jamii forum (uzi upo) unaeleza mpaka gesti.

Tuliposhuka stand nikachukua boda nikamwambia nipeleke gest flan, alipojua mie Mtanzania akabadili lugha akaanza kugonga kiswahili (kibovu lakini). Prrrrrrrrri tuk tuk mpaka gesti nikalipia elfu 25 ya Uganda ilikuwa kama elfu 15/16 ya Tanzania. Nikalala

Hii gesti niliolala ingekuwa Tanzania basi nimelala karikakoo kabisaa, ukitoka nje ni maduka. Basi asbh mzee nikaanza kukata mitaa mwenyewe napita jengo mpk jengo na study. Lakin nilipolala hapo walilala pia watanzania wawili waanya biashara wazoefu, na mkongo mmoja ambao jioni ile kulikuwa na match chini sehemu ya chakula tukakaa tunapiga stori kabla ya kulala

Aisee katika story walinipa madini sana ya biashara, zinavofanyika, kupita mpakani, na kuongeza kipato kwa kubeba mzigo unapokuja uganda na unabeba unaporudi. So hakuna kusafiri kiboya.

Aisee ni mengi, siwezi eleza yote. Kesho yake kama nilivoeleza hapo juu nikafanya kuzunguka mwenyewe nikajua mengi, nikarud kulala kuwa sasa kesho naenda kununua. Usiku huo pia wakaja watanzania watatu wanawake pale lodge. Wawili toka dar, mmoja kigoma.

Aisee wale wadada tulikaa tujapiga story wakanipa ramani hadi nikahsi naamka tajiri leo. Kesho yake nikaingia nao madukani japo tuliachana, kila mtu akawa bize kufunga mzigo, ukishafungwa moja kwa moja kwenye gari. Kesho yake alfajiri safari

Hapo mnarudi njiani mko wengi, na stori kama zote (naimani ushanisoma eeh?) Utapewa mbinu na kila ujanja.

Dada imetosha. Ondoka nenda, mpk unafika ushakuwa mwenyeji. Kila la kheri.

Dumelang
Ulikuw unchkua mzgo gn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekusoma snaaaa nimekuelewa , asante kwa ushauri wako ntakifanyia kazi 100%
[emoji16][emoji16][emoji16] nimesoma nacheka huu uzi. Wewe dada nikiacha mengine yote ya kupata waliokupa namba za simu, mara sijui pm muwasiliane mara mkutane mwanza mie nakushauri kama ifuatavyo.

Kuna Uzi humu ukiutafuta unaelezea sana habari za Uganda na Wengine tumetoa uzoefu wetu wa kwenda mara ya kwanza.

Nakusisitiza nenda peke yako. (Sijui umenielewa)?

Siku ya kwanza nilienda peke yangu, sikutaka kupelekwa na mtu nisiyemfahamu. Sasa ukiona yafaa wewe pelekwa na mnaokutana humu uone. (Utaliwa mpk ushangae) we si mwanamke wewe[emoji3][emoji3]

Sikwambii ufanye nn, ila soma nilivo safiri itakusaidia. Nilienda kukata uhamiaji hati ya dharula ya kusafiria. Kama sikosei ilikuwa 15000/=

Nikapanda gari ubungo, safari ikaanza, nikalala kahama, hapo nimevaa soksi ndefuuu mpk mapajani za mpira[emoji3][emoji3] humo nimepanga maburungutu ya millions zangu, alafu nikavaa suruali pana tu.

Kesho yake asbh tulitoka kahama nikaingia kampala saa 9 au 10 hivi. Safarini tayari kwenye gari kuna wafanya biashara tulianza kupiga stori njiani (huwakosi) ila sikuwaonesha mie ndio first time[emoji41]

Katika stori tu njiani, nilijua gest ya katikati ya mji, majengo ya bidhaa, lakini pamoja na yote nilitoka na ramani ya hivyo vyote hapa jamii forum (uzi upo) unaeleza mpaka gesti.

Tuliposhuka stand nikachukua boda nikamwambia nipeleke gest flan, alipojua mie Mtanzania akabadili lugha akaanza kugonga kiswahili (kibovu lakini). Prrrrrrrrri tuk tuk mpaka gesti nikalipia elfu 25 ya Uganda ilikuwa kama elfu 15/16 ya Tanzania. Nikalala

Hii gesti niliolala ingekuwa Tanzania basi nimelala karikakoo kabisaa, ukitoka nje ni maduka. Basi asbh mzee nikaanza kukata mitaa mwenyewe napita jengo mpk jengo na study. Lakin nilipolala hapo walilala pia watanzania wawili waanya biashara wazoefu, na mkongo mmoja ambao jioni ile kulikuwa na match chini sehemu ya chakula tukakaa tunapiga stori kabla ya kulala

Aisee katika story walinipa madini sana ya biashara, zinavofanyika, kupita mpakani, na kuongeza kipato kwa kubeba mzigo unapokuja uganda na unabeba unaporudi. So hakuna kusafiri kiboya.

Aisee ni mengi, siwezi eleza yote. Kesho yake kama nilivoeleza hapo juu nikafanya kuzunguka mwenyewe nikajua mengi, nikarud kulala kuwa sasa kesho naenda kununua. Usiku huo pia wakaja watanzania watatu wanawake pale lodge. Wawili toka dar, mmoja kigoma.

Aisee wale wadada tulikaa tujapiga story wakanipa ramani hadi nikahsi naamka tajiri leo. Kesho yake nikaingia nao madukani japo tuliachana, kila mtu akawa bize kufunga mzigo, ukishafungwa moja kwa moja kwenye gari. Kesho yake alfajiri safari

Hapo mnarudi njiani mko wengi, na stori kama zote (naimani ushanisoma eeh?) Utapewa mbinu na kila ujanja.

Dada imetosha. Ondoka nenda, mpk unafika ushakuwa mwenyeji. Kila la kheri.

Dumelang

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom