Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tafuta soko nzuri na ujue watu wako wanahitaji nguo za aina agan, na uwe makini wakti wa kuchagu hayo mabelo wackupe bortion ucje kulia bure.ukiipatia unatoka fasta mno sio siri inalipa. Mi mwenyewe nasoma kwa kwa msaada wa kazi iyo.
heshima yako mkuu
Habari wajasriamali.
Nina mpango wa kuanza biashara ya kuuza mitumba kwa rejareja mikoani, naomba kujua hapa Dar sehemu naweza pata balo (sijui ndo robota) za mashati/suruali za ukweli ambayo yatakuwa rahisi kuuzika na bei zake zikoje? Mtaji wangu ni mdogo hivyo sitoweza kuifuata nje ya nchi maana nimeona post kadhaa humu ndani za kwenda kufuata nje. Naomba msaada wa haraka wajasirimali wenzangu. Natanguliza shukrani....
mkuu mtaji wako ni kiasi gani
Mkuu biashara ya mtumba ina msimu, namaanisha msimu wa kuuza sana nguo na hasa nguo za watoto na akina weshu ni miezi ya sikukuu hasa sikukuu za Eid na kipindi cha mavuno baadhi ya sehemu, kwa mfano asaiv ni misimu ya wafanyabiashara ya nguo mikoa ya kanda ya kati Dodoma, singida na maeneo ya jirani kama kilindi na handeni. usilogwe ufanye biashara ya nguo mwezi December, utalia.
Ushauri wangu kama unataka kwenda front mwenyewe ni heri ubaki upige hesabu zako za calculus,
vijana waliomaliza std 7 hutawaweza kwa hiyo biashara huko minadani.
Usiuze nguo za ndani tu yaani chup maana TBS watazaa na wewe
Ahsante wangu kwa ushauri. Nina soko tayari ninachohitaji ni nguo ziwe quality kuna sehemu nimeivumbua inalipa "kimahesabu" na ushindani ni mdogo sanaaaaaa!
:smile-big: Ndo maana una posts 2,256 since 2012 but I have 35 since 2009. Vurugu mechi tu :smile-big:
Sorry sikukuelewa. Thank u..I was just blessing you brother!!! I was just commanding your wish!!! what is the problem hapo?