Ama kweli kila zama na kitabu chake...naona sahivi Twanga pepeta inajikakamua kwenye kupiga bend ila sio kama zamani zikipiga Mango gardenBand zimepauka mbaya. Yaan huruma. Na mchezo wa Karaoke nao umefika tamati.
Amapiano etiAma kweli kila zama na kitabu chake...naona sahivi Twanga pepeta inajikakamua kwenye kupiga bend ila sio kama zamani zikipiga Mango garden
Karioke nayo naozo naona zimeanza kuchoka
Sijui wadau wa bar za usiku wanataka nini nowadays
Kwamba wazee wa sahivi kwa kuwa wanatembea na vibinti kwenye clubs , vibinti ambavyo vinapenda amapianoAmapiano eti
Mara mia aisee.. Huku nyimbo wanazotupigia wanajua wenyeweKusikilizishwa mavitu ambayo siyaelewi nimeamua kuchukua hatua
View attachment 2935661
Amapiano ni kerooooSiku izi ratiba za bar nyingi zinafanana.. zitapigwa ngoma tofauti tofauti ila ikifika tu saa saba au nane usiku apo ni amapiano mpk kukuche[emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inaitwa transformation...to the level where you can drink and play in a open zone.Ila ile biashara ya kufungiana ndani hakunaHabari wakuu,
Naona siku hizi zile Night Clubs ndani ya jiji la Dar es salaam hazipo tena zimefunikwa/replaced na Bar kubwa kubwa.
Mfano hapo nyuma palikuwa na club za mziki mbalimbali mfano Billcanas, Maisha basement, Ambiance n.k Lakini siku hizi zile Nights club zimevunjwa na kugeuzwa Lounge,Casinos au bar.
Siku hizi hata ukitaka kuingia club kwa ajili ya kucheza mziki, utahangaika sana tofauti za hapo nyuma kidogo badala yake utaishia kukaa kwenye bar, lounge kubwa kubwa kama vibez lounge, BM Lounge n.k ambazo si club bali ni bar zenye open space kwa ajili ya kukaa na kunywa pekee mziki upo lakini hauna privacy kama club.
Tusikie kutoka kwa wadhaminiMkuu mambo ya kubambia tumewaachia Dungadunga wazee wa charge
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Kitambaa hii iliyoungua?Kwa ufupi, Dar sahivi ni Kitambaa na Dance Club kama unapenda vurugu na hauna aibu.
Ya Sinza sasa.Kitambaa hii iliyoungua?
Aah ndo wadau wa Ile ya tabata wamehamia huko?Ya Sinza sasa.
Wapunguze kuzaliana afu wafanye nini?Wiki iliyopita kuna mtu humu alilalamika eti daladala zinajaza sana nikamjibu punguzeni kuzaliana, alitamani aning'oe masikio!
Mizunguko yote hiyo matumizi elfu ishirini, gari moja watu kumi.Vijana wengi wa sasa wamekua kipindi clubs zishakufa. Enzi zetu unatoka Bils, unaenda Mambo club (Maisha club) mara unaenda Casanova ukishtuka saa moja asubuhi hujarudi home!
Watumie muda wao kubeti na visungura na mo eneji ambavyo serikali imeruhusu kwa makusudi.Wapunguze kuzaliana afu wafanye nini?
aonekana unapenda sana kubambia dadeki..siku hizi watu wanaangalia maokoto, bar zinawapa pesa nyingi..tofauti na zama zile ambazo vibaka walikuwa wakiingia night clubs kwa ajili ya kwenda kuwaibia watu.Habari wakuu,
Naona siku hizi zile Night Clubs ndani ya jiji la Dar es salaam hazipo tena zimefunikwa/replaced na Bar kubwa kubwa.
Mfano hapo nyuma palikuwa na club za mziki mbalimbali mfano Billcanas, Maisha basement, Ambiance n.k Lakini siku hizi zile Nights club zimevunjwa na kugeuzwa Lounge,Casinos au bar.
Siku hizi hata ukitaka kuingia club kwa ajili ya kucheza mziki, utahangaika sana tofauti za hapo nyuma kidogo badala yake utaishia kukaa kwenye bar, lounge kubwa kubwa kama vibez lounge, BM Lounge n.k ambazo si club bali ni bar zenye open space kwa ajili ya kukaa na kunywa pekee mziki upo lakini hauna privacy kama club.