Vijana wengi wa sasa wamekua kipindi clubs zishakufa. Enzi zetu unatoka Bils, unaenda Mambo club (Maisha club) mara unaenda Casanova ukishtuka saa moja asubuhi hujarudi home!Hayo mabaa ndiyo yamezidi! Tunazungumzia Night club! Sehemu yenye privacy ya kucheza mziki!
Hizo sio club mzee, ni bar kubwa.ELEMENT masaki, WARE HOUSE masaki, SAMAKI SAMAKI masaki, 124 masaki, wavuvi camp kidimbwi nk
Kuna clubs zipi sasa hivi? Najua moja imefunguliwa hapo Kona bar nasikia ni nzuri sana sijawahi kufika na nimesahau jina lake.Tembea mkubwa night club choice dar tu ziko nyingi saaaana. Yaani night club ni biashara ya pesa kuliko hizo open bar zenu za kitambaa.
Sasa sijajua umeangalia wingi kwa level ipi. Maana bar hizo ni chache sana zinazo perform kushinda night clubs.
Pitia masaki ujifunze.
Inaitwa Velvet, jamaa wameinvest sana shida ni haina strong marketing team. Pia triple 7 bado iko.Kuna clubs zipi sasa hivi? Najua moja imefunguliwa hapo Kona bar nasikia ni nzuri sana sijawahi kufika na nimesahau jina lake.
Ee hapo hapo.Hapo kwa mchina panatazamana na kituo cha mafuta?
Yes Velvet.Inaitwa Velvet, jamaa wameinvest sana shida ni haina strong marketing team. Pia triple 7 bado iko.
Pana laana hapo. Napita saa nne asubuhi kwenda kijiweni kwangu unakuta wanawake waliolewa wamevaa kihasara ndio kwaaanza wanatoka kuvuta sigara hapo nje!Ee hapo hapo.
Maison inajulikana. Si ndio whiskey 700,000/- huko?Club zipo mkuu sema hazijazi kama hizo bar kubwa, nenda Maison masakiz angalau hapo panapendeza ila panajaa sana kuanzia saa 6 kuendelea.
Hapo mshazunguka usiku hakieleweki mnaenda kujaribu San siroClub Sunsiro @ Sinza iliwahi kuvuma!
Ndio hapo niliingia, bia bei ya kawaida tu 2500 ila nikaona wahuni na wengine hawaeleweki eleweki hata mavazi mara wengine wakabane roba!Pana laana hapo. Napita saa nne asubuhi kwenda kijiweni kwangu unakuta wanawake waliolewa wamevaa kihasara ndio kwaaanza wanatoka kuvuta sigara hapo nje!
Triple 7 imeisha mkuu. Eneo lishauzwa Mlatie anatafuta kwingjne. Ile nayo ni bar kubwa tuInaitwa Velvet, jamaa wameinvest sana shida ni haina strong marketing team. Pia triple 7 bado iko.
Nikiwaona tu kwa nje wamepinda wote.Ndio hapo niliingia bia bei ya kawaida 2500 ila nikaona wahuni na wengine hawaeleweki eleweki hata mavazi mara wengine wakacne roba! Nikachukua boda inirudishe las carinyo.
Boda wa las carinyo akanikumbuka wakati nashuka akasema bro viph mbona umegeuka hujapaelewa kwa mchina?
Nikasema nimeona wanywaji wengi hatuendani, nimekunywa 2 tu.
Yess,saivi mtu akilewa anajikongoja kwake kwenda kwake mita 100Vi liquor store kibao kitaa watu wanakesha humo wanakula mziki na bia mpaka 6 in the morning hakuna kwenda mbali
Wanapokezana kupiga nyimbo kwenye BluetoothSiku hizi huku mtaani hadi vigrocery vimegeuka nightclubs so watu hawaendi mbali.
Zamani hayo maeneo yalibamba sana kwani maeneo ya kujirusha yalikuwa machache
N vina watoto wakaliVi liquor store kibao kitaa watu wanakesha humo wanakula mziki na bia mpaka 6 in the morning hakuna kwenda mbali
Yaani hilo limjengo likuubwa mavyumba ya kutosha very classic mziki mzuri ila ukiingia unajikuta uko peke yako 😀 same to vibez lounge nayo hivyo hivyoInaitwa Velvet, jamaa wameinvest sana shida ni haina strong marketing team. Pia triple 7 bado iko.