Mfufua Nyuzi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2024
- 412
- 395
- Thread starter
- #41
Hazina privacy! Unashindwa hata kuchombeza warembo 😀Mibaa ina miziki mikubwa, madj na dancing floor. Ndiyo minight club yenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hazina privacy! Unashindwa hata kuchombeza warembo 😀Mibaa ina miziki mikubwa, madj na dancing floor. Ndiyo minight club yenyewe.
Hahahahahahahahahahahaha............Kuna siku nimeamka asubuhi saa 12 nina mzuka wa kula bata, nikaenda las carinyo sikupaelewa. Nikachukua boda hadi chimbo lingine sikupaelewa pia, boda akasema nikupeleke kuna chimbo lingine wanasema kwa mchina karibu na makaburini kinondoni.
Kufika naingia ndani japo ni padogo lakini watu shazi wamekesha wanakunywa.
Sikukaa sana kwa vile niliona hatuendani.
Siku hizi hizo nights club zipo kwenye frame tu kwa uwekezaji kidogo.
Muda mwingine unakuta una amka asubuhi tu kuna roho ya kula bata inakujia.Hahahahahahahahahahahaha............
Duh!!
Alfajri mkuu unatafuta chimbo la kula bata..!
Raha saanaWanapokezana kupiga nyimbo kwenye Bluetooth
1245 panakuhusu ww, ingia na hela tu. Hmna amapiano lbda aje msanii, hyping pale balaa. Yaani dj humuoni ila huyo hyperKila sehemu kwenye night club wanapiga Amapiano
Nonsense
Kuna siku nimeamka asubuhi saa 12 nina mzuka wa kula bata, nikaenda las carinyo sikupaelewa. Nikachukua boda hadi chimbo lingine sikupaelewa pia, boda akasema nikupeleke kuna chimbo lingine wanasema kwa mchina karibu na makaburini kinondoni.
Kufika naingia ndani japo ni padogo lakini watu shazi wamekesha wanakunywa.
Sikukaa sana kwa vile niliona hatuendani.
Siku hizi hizo nights club zipo kwenye frame tu kwa uwekezaji kidogo.
Pana laana hapo. Napita saa nne asubuhi kwenda kijiweni kwangu unakuta wanawake waliolewa wamevaa kihasara ndio kwaaanza wanatoka kuvuta sigara hapo nje!
Na ndicho kilichonikimbiza mimi. Yaani kuingia tu mashoga kibao halafu wanachukuliana poa tu na masharobaro wa mule plus wahuni. Sasa mimi hata nilivyovaa nikaona hapa nimepotea njia, nikanywa safari 2 nikatembea.Tatizo kwa mchina mashoga Wengi sana ila ni penyewe ile ile Ukitoka hapo unaenda 1245 Shisha pekee 80,000 ndegeresi.
Kuna siku nimeamka asubuhi saa 12 nina mzuka wa kula bata, nikaenda las carinyo sikupaelewa. Nikachukua boda hadi chimbo lingine sikupaelewa pia, boda akasema nikupeleke kuna chimbo lingine wanasema kwa mchina karibu na makaburini kinondoni.
Kufika naingia ndani japo ni padogo lakini watu shazi wamekesha wanakunywa.
Sikukaa sana kwa vile niliona hatuendani.
Siku hizi hizo nights club zipo kwenye frame tu kwa uwekezaji kidogo.
Cha ajabu, nyuma kuna msikiti mbele kuna msikiti na kanisa. Huwa napaona kwa nje tu,wanaotoka humo wanakueleza kinachoendelea.Hapo kaka hata asubuhi inavyofika huwezi jua ni kwere sana,kama ni jumapili ukitoka nje Unaona Watu wanaenda kanisani, tatizo ni moja mashoga na ule msikiti.
Ni shida sana hawataki tucheze mziki.Habari wakuu,
Naona siku hizi zile Night Clubs ndani ya jiji la Dar es salaam hazipo tena zimefunikwa/replaced na Bar kubwa kubwa.
Mfano hapo nyuma palikuwa na club za mziki mbalimbali mfano Billcanas, Maisha basement, Ambiance n.k Lakini siku hizi zile Nights club zimevunjwa na kugeuzwa Lounge,Casinos au bar.
Siku hizi hata ukitaka kuingia club kwa ajili ya kucheza mziki, utahangaika sana tofauti za hapo nyuma kidogo badala yake utaishia kukaa kwenye bar, lounge kubwa kubwa kama vibez lounge, BM Lounge n.k ambazo si club bali ni bar zenye open space kwa ajili ya kukaa na kunywa pekee mziki upo lakini hauna privacy kama club.
Haha kuna siku nimeingia maisha club basement nikaponda sana raha kuja kutoka nje ni saa mbili asubuhi dadakeVijana wengi wa sasa wamekua kipindi clubs zishakufa. Enzi zetu unatoka Bils, unaenda Mambo club (Maisha club) mara unaenda Casanova ukishtuka saa moja asubuhi hujarudi home!
Velvet ipo wapi?Yaani hilo limjengo likuubwa mavyumba ya kutosha very classic mziki mzuri ila ukiingia unajikuta uko peke yako 😀 same to vibez lounge nayo hivyo hivyo
Hapa 1245 nitapita siku moja. Nightlife imenipita for a while1245 panakuhusu ww, ingia na hela tu. Hmna amapiano lbda aje msanii, hyping pale balaa. Yaani dj humuoni ila huyo hyper
Lascarinyo bila shaka ulikutana na watu ndio wanaondoka... wanaondokaga saa 1 pale asubuhi 😂😂Kuna siku nimeamka asubuhi saa 12 nina mzuka wa kula bata, nikaenda las carinyo sikupaelewa. Nikachukua boda hadi chimbo lingine sikupaelewa pia, boda akasema nikupeleke kuna chimbo lingine wanasema kwa mchina karibu na makaburini kinondoni.
Kufika naingia ndani japo ni padogo lakini watu shazi wamekesha wanakunywa.
Sikukaa sana kwa vile niliona hatuendani.
Siku hizi hizo nights club zipo kwenye frame tu kwa uwekezaji kidogo.
Hakunogi huko hahahaMaison inajulikana. Si ndio whiskey 700,000/- huko?
Where is it ?Yes Velvet.
Ilipokuwa kona bar hapo sinzaWhere is it ?