Biashara ya Night Club Dar imekufa?

Biashara ya Night Club Dar imekufa?

Kuna siku nimeamka asubuhi saa 12 nina mzuka wa kula bata, nikaenda las carinyo sikupaelewa. Nikachukua boda hadi chimbo lingine sikupaelewa pia, boda akasema nikupeleke kuna chimbo lingine wanasema kwa mchina karibu na makaburini kinondoni.

Kufika naingia ndani japo ni padogo lakini watu shazi wamekesha wanakunywa.
Sikukaa sana kwa vile niliona hatuendani.
Siku hizi hizo nights club zipo kwenye frame tu kwa uwekezaji kidogo.
Hahahahahahahahahahahaha............
Duh!!
Alfajri mkuu unatafuta chimbo la kula bata..!
 
Kuna siku nimeamka asubuhi saa 12 nina mzuka wa kula bata, nikaenda las carinyo sikupaelewa. Nikachukua boda hadi chimbo lingine sikupaelewa pia, boda akasema nikupeleke kuna chimbo lingine wanasema kwa mchina karibu na makaburini kinondoni.

Kufika naingia ndani japo ni padogo lakini watu shazi wamekesha wanakunywa.
Sikukaa sana kwa vile niliona hatuendani.
Siku hizi hizo nights club zipo kwenye frame tu kwa uwekezaji kidogo.

Tatizo kwa mchina mashoga Wengi sana ila ni penyewe ile ile Ukitoka hapo unaenda 1245 Shisha pekee 80,000 ndegeresi.
 
Pana laana hapo. Napita saa nne asubuhi kwenda kijiweni kwangu unakuta wanawake waliolewa wamevaa kihasara ndio kwaaanza wanatoka kuvuta sigara hapo nje!

Hapo kaka hata asubuhi inavyofika huwezi jua ni kwere sana,kama ni jumapili ukitoka nje Unaona Watu wanaenda kanisani, tatizo ni moja mashoga na ule msikiti.
 
Tatizo kwa mchina mashoga Wengi sana ila ni penyewe ile ile Ukitoka hapo unaenda 1245 Shisha pekee 80,000 ndegeresi.
Na ndicho kilichonikimbiza mimi. Yaani kuingia tu mashoga kibao halafu wanachukuliana poa tu na masharobaro wa mule plus wahuni. Sasa mimi hata nilivyovaa nikaona hapa nimepotea njia, nikanywa safari 2 nikatembea.
 
Kuna siku nimeamka asubuhi saa 12 nina mzuka wa kula bata, nikaenda las carinyo sikupaelewa. Nikachukua boda hadi chimbo lingine sikupaelewa pia, boda akasema nikupeleke kuna chimbo lingine wanasema kwa mchina karibu na makaburini kinondoni.

Kufika naingia ndani japo ni padogo lakini watu shazi wamekesha wanakunywa.
Sikukaa sana kwa vile niliona hatuendani.
Siku hizi hizo nights club zipo kwenye frame tu kwa uwekezaji kidogo.
20240313_190407.jpg

Hapo kwa Mchina ndiyo hamna kitu kabisa nimepita muda huu 😀
 
Habari wakuu,

Naona siku hizi zile Night Clubs ndani ya jiji la Dar es salaam hazipo tena zimefunikwa/replaced na Bar kubwa kubwa.

Mfano hapo nyuma palikuwa na club za mziki mbalimbali mfano Billcanas, Maisha basement, Ambiance n.k Lakini siku hizi zile Nights club zimevunjwa na kugeuzwa Lounge,Casinos au bar.

Siku hizi hata ukitaka kuingia club kwa ajili ya kucheza mziki, utahangaika sana tofauti za hapo nyuma kidogo badala yake utaishia kukaa kwenye bar, lounge kubwa kubwa kama vibez lounge, BM Lounge n.k ambazo si club bali ni bar zenye open space kwa ajili ya kukaa na kunywa pekee mziki upo lakini hauna privacy kama club.
Ni shida sana hawataki tucheze mziki.
Walianza kuvunja Bilicanas ya Mbowe.
Waliobakia wote wamepigwa mikodi mpaka wameammua kufunga disco clubs zote.
 
Kuna siku nimeamka asubuhi saa 12 nina mzuka wa kula bata, nikaenda las carinyo sikupaelewa. Nikachukua boda hadi chimbo lingine sikupaelewa pia, boda akasema nikupeleke kuna chimbo lingine wanasema kwa mchina karibu na makaburini kinondoni.

Kufika naingia ndani japo ni padogo lakini watu shazi wamekesha wanakunywa.
Sikukaa sana kwa vile niliona hatuendani.
Siku hizi hizo nights club zipo kwenye frame tu kwa uwekezaji kidogo.
Lascarinyo bila shaka ulikutana na watu ndio wanaondoka... wanaondokaga saa 1 pale asubuhi 😂😂
 
Back
Top Bottom