Duuh!! ivi nikwel hawa viumbe wamefikia hatua hizo. Coz ukianzisha biashara kama hii ni kwaajili yenu wote wa wili na watoto wenu hapo badae, aje tena kukuibia na kukusaliti, kama ni hivyo hawa viumbe nimaadui sasa nasio wenza tena.Yani unaoa mke ili umuachie biashara...ndoa na biashara zitakufa mapema sana.
KWa huo Mtaji Tafuta mtu muajiri na itakulipa tu.
Ni mashetani. Mpende mama yako mzazi tu.Duuh!! ivi nikwel hawa viumbe wamefikia hatua hizo. Coz ukianzisha biashara kama hii ni kwaajili yenu wote wa wili na watoto wenu hapo badae, aje tena kukuibia na kukusaliti, kama ni hivyo hawa viumbe nimaadui sasa nasio wenza tena.
Kwa hiyo ktk business plan yako moja ya strategy ni kuoa mwanamke pharmacist ili awe both wife and business partner! Safi sana ...Ukihitaji Andiko la wazo lako hili la mradi nipo hapa mkuu, gharama nafuu tuMimi ni Dr tabibu, nimeajiriwa serekalini mkoa wa Mwanza. Nahitaji ushauri, mkononi sasa ninamtaji wa 30m, nilikuwa nataka nianze biashara ya pharmacy, lengo langu ilikuwa mwaka huu niende chuo nikachukue diploma, kama ikiwezekana nipate mwanamke ambaye anachukua diploma ya pharmacy nimuoe then nije nifungue pharmacy aje akae yeye na kingine kama hamtojali kwa wale wa zoefu wa biashara hii kwa huo mtaji wa 30m senta ambayo sio mbaya makadirio ya haraka haraka kwa siku na kwa mwaka mzima naweza ingiza kiasi cha faida kama shingapi.
Mkuu niajiri nikuandikie business plan, tutafanya projections na utapata picha nzuri ya swali ulilouliza.Mimi ni Dr tabibu, nimeajiriwa serekalini mkoa wa Mwanza. Nahitaji ushauri, mkononi sasa ninamtaji wa 30m, nilikuwa nataka nianze biashara ya pharmacy, lengo langu ilikuwa mwaka huu niende chuo nikachukue diploma, kama ikiwezekana nipate mwanamke ambaye anachukua diploma ya pharmacy nimuoe then nije nifungue pharmacy aje akae yeye na kingine kama hamtojali kwa wale wa zoefu wa biashara hii kwa huo mtaji wa 30m senta ambayo sio mbaya makadirio ya haraka haraka kwa siku na kwa mwaka mzima naweza ingiza kiasi cha faida kama shingapi.
Mapenzi na kazi havikai pamoja...atachukua hela ya mtaji amtumie Dada yake alafu aje kujichekesha kwako.Duuh!! ivi nikwel hawa viumbe wamefikia hatua hizo. Coz ukianzisha biashara kama hii ni kwaajili yenu wote wa wili na watoto wenu hapo badae, aje tena kukuibia na kukusaliti, kama ni hivyo hawa viumbe nimaadui sasa nasio wenza tena.
Mwambie Dogo Swalehe alianzishe varangati[emoji23]Maisha magumu shemeji kaninyima chai aisee
Yupo kwa bibi yake mkuuMwambie Dogo Swalehe alianze varangati[emoji23]
Usimwache Dogo mbali na wewe ili aweze kuchota madini ya baba yake ingali mapema[emoji2][emoji2][emoji2]Yupo kwa bibi yake mkuu
Nitaftie kazi mkuu
Kumbe na madini mkuuUsimwache Dogo mbali na wewe ili aweze kuchota madini ya baba yake ingali mapema[emoji2][emoji2][emoji2]
Kuhusu kazi anza na kutafuta kadi ya chama kwanza(kidding)
Hahahaha, hujawahi kuniangusha legend.Kumbe na madini mkuu
Dogo namlea vizuri tumenunua laptop hapa tumepasua tunaifunga tunajifunza ufundi
Week ijayo tutafungua AC tuone inafanyaje kazi huku tunaangalia youtube
Magari ndio tunafundishana kila siku
I just want my kids to be knowledgeable to know the world to understand it
To argue reasonably and taking other people's arguments into consideration
But also to learn about self defence
Darasa la karate linaanza mwakani mwezi wa sita sa hivi mpira kwanza
Mi mwnyw pia sishauri Hilo, labda dokta nae awe anauza ,sio kumwachia mkeweDaktari una wazo zuri la kuanzisha biashara. Kiukweli nina mengi sana ya kukushauri lakini kwa sasa naomba nikushauri moja tu
(1). Kumuoa mwanamke ili aje asimamie biashara yako, sijaelewa. Angalia Tena, fikiria tena hilo daktari
Kila lakheri daktari.
Wanawake Wana masihara Sana na pesa, afu ukishamfungulia duka anajua unazo hela Sana zisizo na kaziMapenzi na kazi havikai pamoja...atachukua hela ya mtaji amtumie Dada yake alafu aje kujichekesha kwako.
Yaani wewe jamaaaBecause"WHO" allowed me to clerk and prescribe to patients. Shida yenu vijana wa bongo mnamakasiriko mno haswa mnapoona mtu ambaye maybe manalingana umri then anaongelea mambo makubwa ambayo ww hujawai kuwaza kwa umri wako au ulishafeli nakujikatia tamaa kwasababu ya kujichanganya na kukimbilia majukumu mapema ukazan kila kijana anafanya huo upuuzi nakujiaminiasha kila kijana mwenyew umri kama wako anamaisha kama ya kwako . Ndugu yangu nikwambie tu kitu kuna vijana wako very serious na Wana focus kubwa sana kwenye haya maisha na kwenye hii dunia.Huo udaktar unao uona labda mm najipendekeza sana kwenye hiyo taaluma.ila kitu ambacho hujui kijana kama mm mwenye ndo kubwa.hata kama ningeajiriwa kama specialist akili yangu haipo upande huo wa kuajiriwa najua tu one day Nita retire before 60 nakufanya biashara coz .najua mipambano yangu.
Kwahiyo unawaza kuoa ili kupata mfanyakazi wa biashara zako ili wewe mwenyewe uendelee na utumwa wa ajira??Shida yenu vijana mkisikia mtu ameweka mahali na swala la kuoa mnazani anaolea mihemko kama mihemko ambayo iliwafanya nyie mkimbilie kwenye ndoa ambazo sasaivi zinataka kuwatoa roho.sisi wengine swala la ndoa limeongelewa hapo ila nikitu ambacho ni swala extra sana katika maisha yetu kikubwa sisi tunaangalia ndoto zetu katika mafanikio kwanza hivyo vingine ndovinafuata.
Hatari sanaElimu ya pharmacy imewafanya wanawake kua makatili zaidi ya unavoweza kufikiria.
Mkuu,akishakaa dukani, uchumi akaushika, Na Kama alikua bright darasani, upendo kwako ukaisha, au anakupenda Sana (ana wivu sn) anataka kukucontrol atakavyo.
Aisee jiandae kugeuzwa msukule WA familia, na sio tena baba wa familia
Wafamasia wakiwa bright sn Ni zaidi ya waganga wa kienyeji.