fransisco kinyaiya
Member
- Nov 20, 2017
- 13
- 0
Nitafute kwa maelewano zaidibei nzuri ni ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafute kwa maelewano zaidibei nzuri ni ipi?
Nitafute kwa maelewano zaidi ya ki biasharaWeka bei mkuu
Acha hivyo, ukienda kwa mhindi/mwarabu kaweka bei, sisi hatutaki wala kufikiria kuweka! Na hao gabacholi wanauza kinoma bidhaa zao, ukiingia saloon hakuna bei, waambiiwa baada ya kutazamwa juu chini! Sijuwi lini tutaacha huu ubabaishaji, mzungu anaweka bei kwenye samaki na kila bidhaa anayouza, anajiamini, sisi hatuweki, na anapiga hela ya nguvu mtandaoni..Mi huwa nakereka na hawa wafanyabiasha ambao wanasema nauza kitu bei nafuu au bei nzuri halafu hawaweki bei,huu ni ubabaishaji,hatujifunzi kwa wenzetu?!mfano,angalia makampuni yanayofanya biashara mitandaoni wanaweka bei ya bidhaa zao,halafu wewe ukiiona utajipanga kulingana na mfuko wako,bei nzuri kwako kwa mwingini ni mbaya,bei nafuu kwako kwa mwingine ni ghali.Tupia bei mtu aamue mwnyw!
Kilo nauza kilo 5500 mkuu kama kuna fursa changamkia xxHuyu jamaa anazingua na bei yake nafuu isiyoeleweka.
kuna jamaa anauza Tsh 6500 kwa kilo.
Kilo 5500 mkuubei nzuri ni ipi?
Kilo nitakuuzia 5500Weka bei mkuu
Kilo ni 5500 tuUnapatikaba wapi? Bei nzuri ngapi?
Samaki aina gani?. N.a. unawatoa mkoa gani?. Weka details sawa tufanye biashara.Kilo nauza kilo 5500 mkuu kama kuna fursa changamkia xx
Acha ubishi,,biashara ni Kazi,,mfano. Sato kilo 1 ni 4500 kwa dar ,,Dodoma ni 4000 singida ni 3800,tabora ni 3200,,be specific my friendNdo maana nimeweka namba ndugu sio kirabiashara lazima BEI uweke hadharani..ndo misingi ya biashara yetu iyo BEI zinatofautiana MKOA kwa MKOA
huyu atakuwa dalali hawezi fanya hivi,Acha ubishi,,biashara ni Kazi,,mfano. Sato kilo 1 ni 4500 kwa dar ,,Dodoma ni 4000 singida ni 3800,tabora ni 3200,,be specific my friend
Ndugu sio kwa soko LA SAS...labada unakumbuka BEI za 1960 ndugu samahn lakin kama jibu langu litakua limekukwazAcha ubishi,,biashara ni Kazi,,mfano. Sato kilo 1 ni 4500 kwa dar ,,Dodoma ni 4000 singida ni 3800,tabora ni 3200,,be specific my friend
Natoka mwanza sangara ndo 5500 kwa kiloSamaki aina gani?. N.a. unawatoa mkoa gani?. Weka details sawa tufanye biashara.