Biashara ya samaki

Biashara ya samaki

Mi pia niko mwanza nataka kuanza iyo biashara niko nafanya research
kama unahitaji samaki wapo wa sample zote.
mfano wabichi ambao unasafirisha kwa basi ila mpaka wagandishwe kwenye friza n

a wanafungwa pamoja na pumba ambapo unaweza kusafirisha hata kwa siku hadi 3.
kama unahitaji ni inbox ni kuunganishe
 
Hiyo biashara ya samaki inategemeana na soƙo la huƙo mbeya .Huku mwanza itapata mzigo kuliangana na aina ya mzigo unao taƙa .1 wakukaushwa ƙwa moshi maarufu kama vibambala 2 sato wakukaanga 3 sangara wakukaanga.kuhusu usafiri kama utapenda kutumia ɓus ni pm
 
Hiyo biashara ya samaki inategemeana na soƙo la huƙo mbeya .Huku mwanza itapata mzigo kuliangana na aina ya mzigo unao taƙa .1 wakukaushwa ƙwa moshi maarufu kama vibambala 2 sato wakukaanga 3 sangara wakukaanga.kuhusu usafiri kama utapenda kutumia ɓus ni pm
Sawa mkuu ngoja nifuatilie kuhusu solo. Vip hao Sato ndio wanauzwaje?
 
kama unahitaji samaki wapo wa sample zote.
mfano wabichi ambao unasafirisha kwa basi ila mpaka wagandishwe kwenye friza n

a wanafungwa pamoja na pumba ambapo unaweza kusafirisha hata kwa siku hadi 3.
kama unahitaji ni inbox ni kuunganishe
Kat ya hizo sample ipi ni nzur zaid?
 
unaweze kuchukua wabichi tsh 2k to 3k per kilo japo sasahv wameshuka, then wakakukaangia we ukaenda kuuza jumla au rejareja, au kama una fresh food unaganisha kwenye friza then unasafirisha.
 
Kama kichwa kilivyojieleza naitaji msaada wa mawazo,mm ni bint naishi mwanza naitaji kuanza biashara ya kuuza samaki niwe nanuunua wabichi na kuwakaanga then nauza,ivo kwa mwenye uzoefu wa biashara hii anipe mawazo au jins inavyokua
chukua wa maji chunvi yani wa bahari upeleke mwanza utapiga pesa.mwanza ina muingiliano mkubwa sana wa makabila
 
Kama c mvuvi ukimiliki boti ndogo ya kuvua, alf unakabidhi wavuvi ili wawe wanakuletea hesabu, watakuacha salama kweli??
 
Hii ni biashara ngumu kupindukia na risk ni kubwa sana
Mm nlingiaga kichwakichwa nkapoteza hela ila nlingia kwenye uvuvi wa kuvua mongol bahari nlikula za uso Sina hamu

Ova
 
Mm nlingiaga kichwakichwa nkapoteza hela ila nlingia kwenye uvuvi wa kuvua mongol bahari nlikula za uso Sina hamu

Ova
management yake ni ngumu sana,uwezekano wa kupoteza ni mkubwa
 
management yake ni ngumu sana,uwezekano wa kupoteza ni mkubwa
Nlipoteza Big time maana wakati mwingi Nlikuwa nakwenda na madivers bahari 1) upatikanaji ulikuwa mgumu 2)jongoo bahari walikuwa hawana vibali,ila soko lake lilikuwa kubwa mno,
Ukiwanao kuuza ni faster sana
Nlinunua mashine hp 9 na na 15hp pmja na boti la faiber ili nrahisishe uvuwaji lkn upatikanaji sasa!
Mwisho wa siku serikali wakafanya opération ya ile mm Nlikuwa mmoja wa waliyoathirika.......

Ova
 
Hii ni biashara ngumu kupindukia na risk ni kubwa sana
Mkuu kila biashara ni ngumu na ni rahisi kwa upande mwingine! Ni maamuzi binafsi tu! Personally nawafahamu watu wanaofanya hii biashara na wanafanya vizuri sana!

Kitu kikubwa ni kuwa unahitaji kuwa na uelewa wa kutosha. Elimu ya hapa jf pekee haitoshi,you need some field experience. It matters the most.
 
Mkuu kila biashara ni ngumu na ni rahisi kwa upande mwingine! Ni maamuzi binafsi tu! Personally nawafahamu watu wanaofanya hii biashara na wanafanya vizuri sana!

Kitu kikubwa ni kuwa unahitaji kuwa na uelewa wa kutosha. Elimu ya hapa jf pekee haitoshi,you need some field experience. It matters the most.
Sijasema totally haiwezekani,nilichosema ni kwamba ni biashara ngumu sana Ku manage na risk ni kubwa.Uzoefu wangu hasa kwa uvuvi wa ziwa Victoria ni kwamba watu wanaofanya vizuri ni watu wachache wenye mitaji mikubwa na maarifa ya kutosha.90% wanafanya for the sake of survival.
 
Wadau naomba kujua mahitaji na bajeti ya biashara hii,na changamoto zake.

Eneo lipo mjini Arusha,naombeni ushauri
 
Back
Top Bottom