Biashara ya samaki

Biashara ya samaki

Ok tuanzie hapa ndoo moja samaki wanasafirisha sh ngapi??
Ile ya 20 lts au wanatumia kipimo gani kusafirisha samaki kwa ndege??
kwanini usitumia coldbox kama hili.unapanga fish wako wengi kuliko kutumia ndoo?.unaweka na seal hapo.

Bei sidhani kama ni kubwa sana,itakua wanalipa kwa kg.
52L_font_b_cool_b_font_font.jpg_140x140.jpg
 
kwanini usitumia coldbox kama hili.unapanga fish wako wengi kuliko kutumia ndoo?.unaweka na seal hapo.

Bei sidhani kama ni kubwa sana,itakua wanalipa kwa kg.
52L_font_b_cool_b_font_font.jpg_140x140.jpg

Ndo kubwa inasafrishwa kwa elfu.20. Ukchkua nyngi unafanyiwa discount kwa huku Mwanza na wanaosafrsha samak kwa ndege ni swis port.
 
Kwa ndege hatopata faida nzuri coz n bucha,kuna magar special yanatransfer samaki kwa bei rahisi

Mabucha mengi cku hzi wanatka mzgo unaofka cku hyo hyo..uctake faid kubwa kwa tamaa, kama unapata net profit 25 au 20 kwa ndoo.1 baada ya kuondoa operating expenses sio mbay kak. Ndege uhakika zaid na ni mda mfupi unapata mzgo.
 
ndo kubwa inasafrishwa kwa elfu.20..ukchkua nyngi unafanyiwa discount kwa uku mwanza..na wanaosafrsha samak kwa ndege ni swis port..
ndoo inabeba samaki wangapi kwa wastani?
 
Ndoo ni ya litre 20 idadi ya samaki haipo specific inategemeana na uzito wa kila samaki,kwa ndege ni gharama bt kama una soko la uhakika acha mzigo utoke fasta na ufaidke kidogo lakini katka speed ya haraka. .npo mwanza nimefanya sana hiyo biznes,sasa hivi natuma sato waliokaangwa dar,kwa mwenye soko anaweza kunicheck pia kwenye 0766453675 tukafanya yetu ili tutoke vijana. .inalipa sana ukiwa na soko la uhakika.
 
Kama kuna mtu yuko serious mimi naleta samaki aina ya Sato 500 kila siku ambazo ni 3,500 kwa week kutoka Mwanza.. Nasambaza mahotelini na kwenye bars, Ni PM nauza kwa bei ya jumla samaki wa size ya nusu kilo Tsh 3,750 naanza kuchukua order kuanzia 50.
 
Pamoja na maelezo mhimu ya King, na kwakuwa nipo kwenye mchakato wa kuanzisha hii biashara naomba niongezee kidogo. Mimi nategemea kuifanya katika kwa kiwango cha kati na hivyo wateja wangu wakuu nitategemea mahotel na watu wa kipato cha kati na siyo mama lishe. Mambo makuu ninayoyafikiria ni haya
  • Jina la kampuni linalofanana fanana na chakula-nitakuwa na matawi mikoa mitatu (Dodoma, Arusha, Dar)
  • Location ya biashara-nafikiria iwe kwenye junction kama mwenge kwa Dar
  • Means of Transportation-Nitakuwa na gari kubwa ya freezer kwaajiri ya kusafirishia kutoka Lake zone na kupeleka Arusha, Dar then Dodoma kabla haijageuza kurudi Lake Zone.
  • Nitakuwa na Gari ndogo kila centre kwaajili ya kusambaza kwa wateja wa kudumu kama wenye hotel na mashule.n.k
  • Nitakuwa na Deep freezer kwa kila kituo.
  • Nitakuwa na standby Generator kukabiliana na changamoto za TANESCO kwa kila kituo
  • Nitatengeneza machinjio ya kisasa-hii ni plan ya baadae baada ya kupata shamba la kutunzia mifugo
  • Nitakuwa na shamba la mifugo ambayo ndiyo malighafi yangu
  • Nitakuwa na kituo cha kukusanyia samaki hapo Mwanza-Natafuta mtaalam wa kutengeneza Coldroom
  • Bidhaa nitakazoanza nazo ni-Nyama ya Ng'ombe, Mbuzi, Kondoo. Kuku wa kisasa na kienyeji, Samaki aina ya Sato na Sangara, Lakini pia nitakuja na mchele kwa Arusha na Dodoma......tayari nina 100bags za kuanzia na nipo nafunga mshine ya kisasa ya kukoboa na kubangua mchele na kufunga 5, 10. 15, 20kg
  • Project to start in June 2014.

Tafadhali mawazo yenu. Nipo tayari kulipa gharama za Busness Plan ila kwa mtu mwenye input ya maana.

Mkuu june 2014 ndio hii! Tupe feeback
 
Salamu wana JF.

Nimepata mchongo, kuna mtu toka nchi za northern Africa anataka nifanye nae biashara ya samaki. Yaani namtumia samaki toka huku TZ kwa ndege.

Swali langu ni je, kama unataka ku-export samaki ni vibali gani vinatakiwa? Je unaweza ku-export kama individual bila kuwa na kampuni hasa kwa kuanzia?

Kama kuna mzoefu naomba anisaidie.

Pia kama kuna mtu anazo samaki toka lake victoria tunaweza kuongea jinsi ya kufanya hii biashara.

Asanteni sana
 
Salamu wana JF.

Nimepata mchongo, kuna mtu toka nchi za northern Africa anataka nifanye
nae biashara ya samaki. Yaani namtumia samaki toka huku TZ kwa ndege.

Swali langu ni je, kama unataka ku-export samaki ni vibali gani
vinatakiwa? Je unaweza ku-export kama individual bila kuwa na kampuni
hasa kwa kuanzia?

Kama kuna mzoefu naomba anisaidie.

Pia kama kuna mtu anazo samaki toka lake victoria tunaweza kuongea jinsi
ya kufanya hii biashara.

Asanteni sana

Mkuu wee upo mkoa gani? me samaki naweza kupata so kama vp 2wasiliane tufanye biashara mkuu.
 
Mkuu wee upo mkoa gani? me samaki naweza kupata so kama vp 2wasiliane tufanye biashara mkuu.


Kaka niko DAR, nashukuru unaweza kupata samaki ila cha kwanza tusaidiane kujua ni documents gani zinatakiwa kabla ya mzigo kupakiwa. Kama unazo details ni-PM simu yako
 
Nenda TFDA, TBS na mamlaka za usafiri wa anga, nadhani wana description za usafirishaji wa vyakula kwa ndege.

Au kama unataka shortcut tafuta shirika la ndege linalofanya safari za Tanzania na hiyo nchi, waulize gharama za kusafirisha samaki na docs gani unatakiwa uwe nazo
 
Nenda TFDA au Wizara inayohusiana na maswala hayo hata kabla ya kujua mambo ya kusafirisha. Kupata export documents yaweza kuwa issue kubwa kwa hapa kwetu kwa hiyo kabla ya kufanya chochote nenda wizara inayohusika au TFDA wakupe mchnganuo.
 
Nenda quality assurance offices za upande wa uvuvi watakusaidia then utatakiwa uwe na leseni au kibali cha kusafirisha hao samaki au products zote zinazotokana na samaki hicho utakipata huko huko ofisi za uvuvi.
 
Hao samaki wako hai au wakuvuliwa kwa ajili ya Chakula
 
Nenda quality assurance offices za upande wa uvuvi watakusaidia then utatakiwa uwe na leseni au kibali cha kusafirisha hao samaki au products zote zinazotokana na samaki hicho utakipata huko huko ofisi za uvuvi.

Ndo ziko wapi hizi office za quality assurance. Hili ni somo kwa watu wengi naombeni mnaojibu kama unazo details tuwekee hapa. Nimetembelea website za tfda na wizara ila sijaona details za kunifaa. Nisipopata data hapa nitapanga niende office zao.
 
Back
Top Bottom