Phone4Sale Biashara ya simu kwa mtaji mdogo

Phone4Sale Biashara ya simu kwa mtaji mdogo

Kama hauna pesa jitangaze kabisa wewe ni dalali na utapata bei gani kama kamishen mtu akiagiza mzigo
Ukisoma vizuri tangazo unaelewa ukitaka dukani zipo za jumla zina bei yake na ukitaka bei ya kiwandani pia zipo ndiyo unatoa pesa tunakuagizia simu moja 17000 mpaka kukufikia
 
Dah bonge la idea ,je hiyo milioni moja laki Saba ya kuagizia ni pamoja na makato yenu kabisa ninyi Kama watu wa Kati au Kuna gharama zingine baada ya mzigo kufika ?
 
Back
Top Bottom