Sawa ila nimeshafika kiwandani.kule wanatengeneza Law Material ila process zote za kukamilika karatasi zinafanyika kenya, pale Mufindi huwa wanafanya hatua ya kwanza na baadae wanasafirisha kupeleka kenya kwa kukamilisha karatasi
Milion 15,mkuu inatosha kuanzia; usirudi nyuma kama una mtaji, Fanya maamuzi ya mwendo kasi
ninahitaji kuprint kitabu chenye kurasa 80 chenye picha hivyo printing iwe ya rangi na ninahitaji vitabu 5000 itanigharimu kiasi gani?
upo wapi wewe?Habari wakuu,
kichwa cha habari hapo juu chahusika, nimeamua kujishughulisha na hii biashara ya stationery najua kwa maeneo mengi hapa dar biashara imekuwa saturated lakini bado naamini kutakuwa na nafasi ambayo naweza kujikuza na mimi, hivyo naombeni kwa wanaojua enep ambalo naweza locate biashara yangu, iwe ni mtaani kwenye taasisi kama vyuo na shule.
Ahsanteni sana.
Nitumie no zako nikutafute tuongeeUpo wapi wewe?
Nipo Dar mkuuUpo wapi wewe?
nishakutumia mkuu pmnitumie no zako nikutafute tuongee
Poa mkuuTafuta maeneo yaliokaribu na college yeyote ile angalia kama hakuna mtu anapiga hii bize fungua hapo hapo
Wadau habari zenu za jioni.
Naomba kujua gharama ambazo zinahusu hii BIASHARA ukiachana na flame.
Nahitaji kufahamu hasa
1. Photocopy machine
2. Sprinter
3. Mazagazaga mengine ya ndani
4. Mambo mengine ya mhimu katika BIASHARA hii...ukiongezea hata majuzi ya biashara hii utakuwa umenisaidia....
Natanguliza shukulani za DHATI..
Kaka nashukulu sana umenipa Mwanga.MKUBHI,
Biasharahii ni nzuri kama uko eneo lililozungukwa hasa na taasisi za elimu hasa vyuo vya elimu ya juu au ualimu/
Biashara hii watuwengi wamekimbilia huko lakini usikate tamaa,Uwe na mtaji usiopungua milioni 3.5.
MCHANGANUO.
1.PHOTOCOPY=Tafuta photocopy aina ya canon ir2020 ni vema ukapata used iliyokwenye condition nzuri na iwe imetoka nje mojakwamoja isiwe imetumika hapa.pia angalia imetoa copy ngapi kwani photocopy kumbukumbu ya idadi ya copy iliyotoa toka ilipoanza kutoa copy ya kwanza.
Na pia aina hii itakufaa kwakuwa inaweza kuitumia kama printer pia ukiunganisha kwenye computer.
Gharama yake kuanzia 1.8m.
2.PRINTER=Hapa uutaitaji ya colour ambayo unaweza kujaza wino inamitungi yake modogo ya kujaza wino iko nje ,
Tafuta epson l1300 gharama yake kuanzia laki 5.5
3.MAMBO MENGINE=Haya ni ya kawaida ni kununua books na vifaa vingiine vya stationary anza taratibu usijaze mzigo mkubwa nunua items kwa kiwango kidogo kwanza.
MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRICA
PATRICE LUMUMBA
Nami pia nimekupata vyema.MKUBHI,
Biasharahii ni nzuri kama uko eneo lililozungukwa hasa na taasisi za elimu hasa vyuo vya elimu ya juu au ualimu/
Biashara hii watuwengi wamekimbilia huko lakini usikate tamaa,Uwe na mtaji usiopungua milioni 3.5.
MCHANGANUO.
1.PHOTOCOPY=Tafuta photocopy aina ya canon ir2020 ni vema ukapata used iliyokwenye condition nzuri na iwe imetoka nje mojakwamoja isiwe imetumika hapa.pia angalia imetoa copy ngapi kwani photocopy kumbukumbu ya idadi ya copy iliyotoa toka ilipoanza kutoa copy ya kwanza.
Na pia aina hii itakufaa kwakuwa inaweza kuitumia kama printer pia ukiunganisha kwenye computer.
Gharama yake kuanzia 1.8m.
2.PRINTER=Hapa uutaitaji ya colour ambayo unaweza kujaza wino inamitungi yake modogo ya kujaza wino iko nje ,
Tafuta epson l1300 gharama yake kuanzia laki 5.5
3.MAMBO MENGINE=Haya ni ya kawaida ni kununua books na vifaa vingiine vya stationary anza taratibu usijaze mzigo mkubwa nunua items kwa kiwango kidogo kwanza.
MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRICA
PATRICE LUMUMBA
MKUBHI,
Biasharahii ni nzuri kama uko eneo lililozungukwa hasa na taasisi za elimu hasa vyuo vya elimu ya juu au ualimu/
Biashara hii watuwengi wamekimbilia huko lakini usikate tamaa,Uwe na mtaji usiopungua milioni 3.5.
MCHANGANUO.
1.PHOTOCOPY=Tafuta photocopy aina ya canon ir2020 ni vema ukapata used iliyokwenye condition nzuri na iwe imetoka nje mojakwamoja isiwe imetumika hapa.pia angalia imetoa copy ngapi kwani photocopy kumbukumbu ya idadi ya copy iliyotoa toka ilipoanza kutoa copy ya kwanza.
Na pia aina hii itakufaa kwakuwa inaweza kuitumia kama printer pia ukiunganisha kwenye computer.
Gharama yake kuanzia 1.8m.
2.PRINTER=Hapa uutaitaji ya colour ambayo unaweza kujaza wino inamitungi yake modogo ya kujaza wino iko nje ,
Tafuta epson l1300 gharama yake kuanzia laki 5.5
3.MAMBO MENGINE=Haya ni ya kawaida ni kununua books na vifaa vingiine vya stationary anza taratibu usijaze mzigo mkubwa nunua items kwa kiwango kidogo kwanza.
MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRICA
PATRICE LUMUMBA
Asante kwa ufafanuzi wako mzuri, naamini mleta mada atakuwa amepata mwanga kwa kiasi flani juu ya biashara hii. Mimi binafsi nimenufaika sana. Kuna jambo ninaomba ufafanuzi wa kina mkuu juu ya idadi ya copy ambazo mashine imeishatoa. Swali langu ni kuna ukomo wa copy ambazo photocopy mashine ikizifikia ndio unakuwa mwisho wake wa kutumika?MKUBHI,
Biasharahii ni nzuri kama uko eneo lililozungukwa hasa na taasisi za elimu hasa vyuo vya elimu ya juu au ualimu/
Biashara hii watuwengi wamekimbilia huko lakini usikate tamaa,Uwe na mtaji usiopungua milioni 3.5.
MCHANGANUO.
1.PHOTOCOPY=Tafuta photocopy aina ya canon ir2020 ni vema ukapata used iliyokwenye condition nzuri na iwe imetoka nje mojakwamoja isiwe imetumika hapa.pia angalia imetoa copy ngapi kwani photocopy kumbukumbu ya idadi ya copy iliyotoa toka ilipoanza kutoa copy ya kwanza.
Na pia aina hii itakufaa kwakuwa inaweza kuitumia kama printer pia ukiunganisha kwenye computer.
Gharama yake kuanzia 1.8m.
2.PRINTER=Hapa uutaitaji ya colour ambayo unaweza kujaza wino inamitungi yake modogo ya kujaza wino iko nje ,
Tafuta epson l1300 gharama yake kuanzia laki 5.5
3.MAMBO MENGINE=Haya ni ya kawaida ni kununua books na vifaa vingiine vya stationary anza taratibu usijaze mzigo mkubwa nunua items kwa kiwango kidogo kwanza.
MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRICA
PATRICE LUMUMBA