Biashara ya Uchawi Tanzania

he is a normal human beingcreated in Heaven...
Elisha Ray :so far i believe every creature it starts frmheaven so do you.... thanks nwy
Ahhhgrrrrrr...sasa Mc Tilly Chizenga....alimchukulia kuwaalimuuliwa au alimmegea tu ?ila nasisi tumepata faida ya kujua siri zao pengineilipangwa tuu iwe hivyo
 

Umesahau viongozi/wana siasa.
 
Jamani majimoto nasikia yuko likizo, tuvute subra. lol
 
Majimoto where are u???
We missing u jamani.....
 
Dah! Mkuu majimoto mbona haurudi tu jaman? We missed u buddy!
 
Majimoto amekula kona aiseee sijui amepigwa biti?
 
Majimoto tumtafute kwenye ulimwengu wa roho inawezekana kapatwa na kitu si kawaida hata kusalimia hatumwoni kulikoni
 
Searching...............Please wait for a while, lambalamba is uploading...
48%
 

JESUS hates corruption JOIN HIM
 
...pale linapoishia Ziwa Tanganyika Kusini, kuna sehemu yaitwa kachala. Radi zinauzwa kuanzia Buku, Buku - jero
ukipata radi ya sh 5000/- jiangalie sana maangamizi yake. lakini sharti lake ukishabeba hiyo radi, limewashinda wengi sana. unaambiwa usikojoe popote mpaka utakapoitega hiyo radi njiani....Hata yule Golikipa wa timu ile pale..huwa anatembelea sana pale Ziwa Tanganyika...
Utamaduni wa mwafrika udumu!!
 
Very good Issue, for more views tafuta Vitabu vifuatavyo: Dangerous Prayers Part 1,2,3,4. na sara kuna
part 5 na 6
Kaza moyo kwelikweli utaposoma vitabu hivyo, naamini ukishatoka pale.. wewe ni BINGWA .
 
Very good Issue, for more views tafuta Vitabu vifuatavyo: Dangerous Prayers Part 1,2,3,4. na sara kuna
part 5 na 6
Kaza moyo kwelikweli utaposoma vitabu hivyo, naamini ukishatoka pale.. wewe ni BINGWA .



Hivyo vitabu vinapatikana wapi mkuu? kama kuna soft copy mwaga humu ndani
 
Hivyo vitabu vinapatikana wapi mkuu? kama kuna soft copy mwaga humu ndani
Mkuu, Soft copy zake ninazo za kumwaga. Lakini zinaitwa Dangerous Prayers (zingatia hapo Red hapo)
kuna kosa tumeshafanyamahali fulani, tukawagaia watu Pamphlet Page mbili-mbili tu. wakazisimamia usiku wa manane kwa muda wa siku Nane. kweli waliwaburuza wale vigagula hadi vingine vikafa kabisa!
Sasa. illtakiwa ndio iwe maisha yao ya kila siku (Life styles) maisha ya maombi, ukijisahau tu ndugu; umemchokoza Joka shimoni mwake, na wewe una kiwembe tu mkononi! unategemea nini baba? ibilisi (wachawi) ana hasira kushinda unavyofikiria.
Lakini kama uko fiti wewe mwenyewe, ntakutumia volume 1 kwanza. ujipime ubavu
 

Mbona unanitisha mkuu? mi si nafikiri ni vitabu vya usoma tu na kuongeza uelewa? Kwani kuna vitabu wachawi hawataki watu wasome? Mi sitaki ugomvi na mtu bwana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
MAOMBI YA KUSHINDANA by Senior Pastor Josephat Gwajima.

Sijapata kuona kitabu chenye nguvu za ajabu kama hiki kitabu, nilikuwa Dodoma mwaka juzi nikakutana na Mapadre wakikisoma wakawa wanashuhudia nguvu za hiki kitabu, bahati mbaya nilishindwa kukipata pale Dodoma, nikaangizwa kuwa kinapatikana Kawe katika Kanisa la Ufufuo na Uzima kwenye duka lao la vitabu.

Ndugu kama umepanga nyumba, na mwenye nyumba ni kikagula anza kutafuta chumba kama unataka kukisoma kitabu hiki, kwani ni hakika asubuhi yake atakufukuza ndani ya nyumba yake. Siku nilipoanza kusoma kitabu hiki, nyumba yangu ilipata mitikisiko ya ajabu, kipo chumba sehemu ya dari ilidondoka chini, mtaani alikuwepo mganga wa kienyeji alihama mtaa. Nilishangaa mambo yalivyobadilika mtaani, baadhi ya watu tuliozoeana sana wakawa wananikwepa hata ninapowasalamia hawajibu salamu.

Hiki kitabu huwasha moto wa ajabu kwenye ulimwengu wa Kiroho, ambao wachawi na mashetani wanaumiliki, sasa hivi yale matatizo ya watu wanatembea juu ya paa la nyumba usiku, unakaliwa na wachawi usiku unaamka umechoka vibaya sana asubuhi, magonjwa ya ajabu ajabu yasiyoisha, sasa hivi ni historia nyumbani kwangu.

Hakika MUNGU ni Neno, na neno ni MUNGU.
 
Hivyo vitabu vya Dangerous Prayers ndiyo vimezaa hiko kitabu cha 'Maombi ya kushindana' ingawa huyo Pastor amefasiri volume moja tu kati ya matoleo 6. ya vitabu hivyo.
Ninachowaomba kama kweli mko fiti kiroho, tafuteni hapo Efatha Bookshop Mwenge, msome vitabu orijino. hivyo vilivyo tafsiriwa vina mapungufu mengi sana.Nawahakikishia mkimaliza japo kimoja tu,...Mafisadi wote kwaheeeeeeeeeeerrrrri
 
Hivyo vitabu vya Dangerous Prayers ndiyo vimezaa hiko kitabu cha 'Maombi ya kushindana' ingawa huyo Pastor amefasiri volume moja tu kati ya matoleo 6. ya vitabu hivyo.
Ninachowaomba kama kweli mko fiti kiroho, tafuteni hapo Efatha Bookshop Mwenge, msome vitabu orijino. hivyo vilivyo tafsiriwa vina mapungufu mengi sana.Nawahakikishia mkimaliza japo kimoja tu,...Mafisadi wote kwaheeeeeeeeeeerrrrri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…