Biashara ya Uchawi Tanzania

Biashara ya Uchawi Tanzania

he is a normal human beingcreated in Heaven...
Elisha Ray :so far i believe every creature it starts frmheaven so do you.... thanks nwy
majimoto ni mchawi wadaraja la juu kabisa kwa mujibu ya maelezo yake,kama ni hotel huyu ni nyotatano ktk uchawi,NAHISI mkuu wa wachawi alimchukulia mkewe akakasirika na kuamuakutoboa siri za wachawi hapa!lol!

baadaye majimoto kwa mujibu wa posts zake akawa kama kaasi upande wa wachawi nakuamua kuja kwa Mungu lakini cha ajabu akawa bado anaenda kuchungulia vikao vyawachawi,kifupi majimoto a.k.a mbayuwayu hajajipambanua mpaka sasa yuko upandegani,kwa shetani au kwa Mungu,huyu jamaa ahera hayupo dunianihaonekani!
Ahhhgrrrrrr...sasa Mc Tilly Chizenga....alimchukulia kuwaalimuuliwa au alimmegea tu ?ila nasisi tumepata faida ya kujua siri zao pengineilipangwa tuu iwe hivyo
 
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza

Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida

Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.

Umesahau viongozi/wana siasa.
 
Dah! Mkuu majimoto mbona haurudi tu jaman? We missed u buddy!
 
Majimoto amekula kona aiseee sijui amepigwa biti?
 
Majimoto tumtafute kwenye ulimwengu wa roho inawezekana kapatwa na kitu si kawaida hata kusalimia hatumwoni kulikoni
 
Searching...............Please wait for a while, lambalamba is uploading...
48%
 
Sasa hivi zipo shule kabisa za kufundisha uchawi nchini Tanzania, Shule moja ipo Temeke masomo yake huchukua miaka saba hadi unahitimu.

Ukimaliza Temeke, unaweza kujiunga na elimu ya juu katika fani ya uchawi, chuo kipo Tanga hapo wanatoa digrii ya kwanza ya uchawi kwa miaka mitano.

Wanatoa pia digrii ya pili ya elimu ya ulozi ambapo utakaa darasani kwa miaka mingine mitano.

Master digrii ya ulozi, bado hapa nchini hakuna chuo, inapidi uende Mombasa nchini Kenya ndipo kilipo chuo kikuu cha elimu ya ulozi.

JESUS hates corruption JOIN HIM
 
...pale linapoishia Ziwa Tanganyika Kusini, kuna sehemu yaitwa kachala. Radi zinauzwa kuanzia Buku, Buku - jero
ukipata radi ya sh 5000/- jiangalie sana maangamizi yake. lakini sharti lake ukishabeba hiyo radi, limewashinda wengi sana. unaambiwa usikojoe popote mpaka utakapoitega hiyo radi njiani....Hata yule Golikipa wa timu ile pale..huwa anatembelea sana pale Ziwa Tanganyika...
Utamaduni wa mwafrika udumu!!
 
Very good Issue, for more views tafuta Vitabu vifuatavyo: Dangerous Prayers Part 1,2,3,4. na sara kuna
part 5 na 6
Kaza moyo kwelikweli utaposoma vitabu hivyo, naamini ukishatoka pale.. wewe ni BINGWA .
 
Very good Issue, for more views tafuta Vitabu vifuatavyo: Dangerous Prayers Part 1,2,3,4. na sara kuna
part 5 na 6
Kaza moyo kwelikweli utaposoma vitabu hivyo, naamini ukishatoka pale.. wewe ni BINGWA .



Hivyo vitabu vinapatikana wapi mkuu? kama kuna soft copy mwaga humu ndani
 
Hivyo vitabu vinapatikana wapi mkuu? kama kuna soft copy mwaga humu ndani
Mkuu, Soft copy zake ninazo za kumwaga. Lakini zinaitwa Dangerous Prayers (zingatia hapo Red hapo)
kuna kosa tumeshafanyamahali fulani, tukawagaia watu Pamphlet Page mbili-mbili tu. wakazisimamia usiku wa manane kwa muda wa siku Nane. kweli waliwaburuza wale vigagula hadi vingine vikafa kabisa!
Sasa. illtakiwa ndio iwe maisha yao ya kila siku (Life styles) maisha ya maombi, ukijisahau tu ndugu; umemchokoza Joka shimoni mwake, na wewe una kiwembe tu mkononi! unategemea nini baba? ibilisi (wachawi) ana hasira kushinda unavyofikiria.
Lakini kama uko fiti wewe mwenyewe, ntakutumia volume 1 kwanza. ujipime ubavu
 
Mkuu, Soft copy zake ninazo za kumwaga. Lakini zinaitwa Dangerous Prayers (zingatia hapo Red hapo)
kuna kosa tumeshafanyamahali fulani, tukawagaia watu Pamphlet Page mbili-mbili tu. wakazisimamia usiku wa manane kwa muda wa siku Nane. kweli waliwaburuza wale vigagula hadi vingine vikafa kabisa!
Sasa. illtakiwa ndio iwe maisha yao ya kila siku (Life styles) maisha ya maombi, ukijisahau tu ndugu; umemchokoza Joka shimoni mwake, na wewe una kiwembe tu mkononi! unategemea nini baba? ibilisi (wachawi) ana hasira kushinda unavyofikiria.
Lakini kama uko fiti wewe mwenyewe, ntakutumia volume 1 kwanza. ujipime ubavu

Mbona unanitisha mkuu? mi si nafikiri ni vitabu vya usoma tu na kuongeza uelewa? Kwani kuna vitabu wachawi hawataki watu wasome? Mi sitaki ugomvi na mtu bwana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
MAOMBI YA KUSHINDANA by Senior Pastor Josephat Gwajima.

Sijapata kuona kitabu chenye nguvu za ajabu kama hiki kitabu, nilikuwa Dodoma mwaka juzi nikakutana na Mapadre wakikisoma wakawa wanashuhudia nguvu za hiki kitabu, bahati mbaya nilishindwa kukipata pale Dodoma, nikaangizwa kuwa kinapatikana Kawe katika Kanisa la Ufufuo na Uzima kwenye duka lao la vitabu.

Ndugu kama umepanga nyumba, na mwenye nyumba ni kikagula anza kutafuta chumba kama unataka kukisoma kitabu hiki, kwani ni hakika asubuhi yake atakufukuza ndani ya nyumba yake. Siku nilipoanza kusoma kitabu hiki, nyumba yangu ilipata mitikisiko ya ajabu, kipo chumba sehemu ya dari ilidondoka chini, mtaani alikuwepo mganga wa kienyeji alihama mtaa. Nilishangaa mambo yalivyobadilika mtaani, baadhi ya watu tuliozoeana sana wakawa wananikwepa hata ninapowasalamia hawajibu salamu.

Hiki kitabu huwasha moto wa ajabu kwenye ulimwengu wa Kiroho, ambao wachawi na mashetani wanaumiliki, sasa hivi yale matatizo ya watu wanatembea juu ya paa la nyumba usiku, unakaliwa na wachawi usiku unaamka umechoka vibaya sana asubuhi, magonjwa ya ajabu ajabu yasiyoisha, sasa hivi ni historia nyumbani kwangu.

Hakika MUNGU ni Neno, na neno ni MUNGU.
 
Hivyo vitabu vya Dangerous Prayers ndiyo vimezaa hiko kitabu cha 'Maombi ya kushindana' ingawa huyo Pastor amefasiri volume moja tu kati ya matoleo 6. ya vitabu hivyo.
Ninachowaomba kama kweli mko fiti kiroho, tafuteni hapo Efatha Bookshop Mwenge, msome vitabu orijino. hivyo vilivyo tafsiriwa vina mapungufu mengi sana.Nawahakikishia mkimaliza japo kimoja tu,...Mafisadi wote kwaheeeeeeeeeeerrrrri
 
Hivyo vitabu vya Dangerous Prayers ndiyo vimezaa hiko kitabu cha 'Maombi ya kushindana' ingawa huyo Pastor amefasiri volume moja tu kati ya matoleo 6. ya vitabu hivyo.
Ninachowaomba kama kweli mko fiti kiroho, tafuteni hapo Efatha Bookshop Mwenge, msome vitabu orijino. hivyo vilivyo tafsiriwa vina mapungufu mengi sana.Nawahakikishia mkimaliza japo kimoja tu,...Mafisadi wote kwaheeeeeeeeeeerrrrri
 
Back
Top Bottom