Ubani huendana sana na ibada za kishirikina, kila jini lina ubani wa aina yake ambao ukichomwa na kusoma dua, jini hilo hutokea, na kama unataka kulituma utatakiwa ulimweshe kwanza damu ya kuku, mbuzi, ng'ombe au ya binadamu ndipo ulitume kwenda kudhuru watu. Ndiyo maana unapokwenda kwa mganga wa kishenzi atakutaka ulete kuku kwanza ndiyo afanye uchawi wake.
Majini yanafanya Wakristo walale usingizi mzito wakati wa adhana, kwani wakati huo ndio wakati yanakwenda kwenye ibada, na ibada za Wakristo zinawazuia kutembea. Pia yanawafanya Wakiristo walale usingizi mzito wakati wa mahubiri, ndiyo maana makanisani watu wengi hulala fofofo kabisa.