Biashara ya Uchawi Tanzania

Biashara ya Uchawi Tanzania

Uchawi upo na ukiamini upo ndio unaweza pambana anao na watakuogopa na hawatakushika na ukiongezea juu ya yote ukiwa na Mungui uwiiii hapo kumekucha

Kuna vijana wawili west africa huko walikuwa wanagonmbana na mwenye shamba moja kila wakati basi kwa wivu wao bila mtu kujua nani kila siku ikaanza mwenye shamba anakuta mazao wameharibiwa
Siku moja akavizia akajificha akawaona wanakuja mara wakapotea walipo basi wakaenda fanya shughuli as walijibadili kuwa vinyama fulani yule baba kufika akakuta pale walipopotelea akaona chombo kina maji ndio walitumia kujibadili basi akakichukua wasirudi wale watu hadi leo kama hawajafa waliwekwa kwenye zizi la wanyama kwa shrine ya kijiji. Upo hapo???
 
Samahani The Boss nilikuwa kijiji cha wachawi cha Ngende, ndani ya pori kubwa mkoani Lindi nina mengi ya kuwashirikisha, nimepita tu eneo lenye internet, bado niko vijijini.

Una fanya PhD ya Anthropology nini? Pole mkuu kazi nzito hiyo Mungu akutangulie angalia usije anguka!
 
Majimoto, wewe hufanyi kazi karibu na sheikh yahaya? Mbona unajua mambo mengi ya wachawi?
 
Best Answer - Chosen by Voters

Bismillahi Ar Rahman Ar Raheem
Quzibillahi Mina shytan Al Rajeem
Bismillahi Ar Rahman Ar Raheem

Question 1: Who are the jinn?

The jinn are among the creatures that Allah (swt) created. Allah (swt) created angels, jinn, mankind, animals, plants and others. Jinn have some qualities like human beings. These qualities are intellect, discrimination, freedom, and the power to choose between right and wrong, between true and false, as well as between good and bad.

from http://answers.yahoo.com/question/index?qid=20101208213909AATPCPs

Question 2: When did Allah (swt) create the jinn?

Allah (swt) created the jinn before Adam (pbuh) was created. Both were created in heaven and lived in paradise. One may read in Surah Al-Hijr (The Rocky Tract) [Qur'an, 15:26-27]. However, nothing was mentioned about the duration of time of the jinn's creation before Adam (pbuh).

Question 3: What are jinn created from?

Jinn are created from fire of hot wind [Qur'an, 15:27]; and from smokeless fire [Qur'an, 55:15]. They were originally made from fire and then molded and shaped in the form and shape that Allah (swt) wanted them to be. This means that they do not anymore possess their fiery nature. It is not known therefore, their final shape, form, and chemical composition. Since we cannot see them, therefore, it is not easy to do any analysis of their chemical nature. In contrast, mankind was created from soil, mud, and clay. They were molded as human beings. Our final form is no more mud or clay.

Question 4: Do jinn have bodies?

Yes and no! It depends upon the information that one has. One group of scholars believe that jinn do not have bodies of their own. They also do not inhabit bodies of other creatures. However, they do exist independently by themselves. Therefore, they do not know how they exist without bodies: smoke, flame, fire or what? The other group of scholars do believe that jinn do have bodies either definite or subtle. If their bodies are definite then they have some density; otherwise, if they are subtle, then they are so fine that our weak eyes cannot see them. One may read Surah Al-A'raf (The Heights) [Qur'an, 7:27]. Even if they are subtle they should have weight and density similar to that of the air itself.

Question 6: Do the jinn feel envy of us?

Yes. There are two types of evil eye: human and the jinn. One has to read regularly 'A'oozu Billahi Minash-shaitanir Rajeem. Also, by reading Ayah Al-Kursi and Al-Mu'awwazatain, one will be protected from the evil eyes of both the jinn and mankind.

Question 7: Are there messengers and prophets from within the community of jinn?

Yes. Allah (swt) has sent prophets and messengers to jinn from within the jinn community. Also, Allah (swt) sent Prophet Muhammad (pbuh) to mankind, to jinn, and to other creatures. In Surah Al-An'am (The Cattle), Allah (swt) explains that He sent messengers to men and to jinn. See Qur'an [6:130].
 
Hii series inatisha. Interesting though

Majimoto we umeyajuaje haya yote?

Je unasomea?
 
maji moto ana Identity nyingine(kapuni),style ya uandishi wao ni nzuri na fasaha,hamna kuchanyanganya changany swanglish ,ni dhahiri ni mtu makini na anachoandika kina full comand and attention ya msomaji.
kwa sasa majimoto hatokuwepo online kwa kipindi,then atarudi tena online,the other alias ID pia haipo online zote zitarudi tena online pindi majimoto akiwa free ktk shughuli zake atarudi
so this thread will be without majimoto for a while,nasikitika kuwa nitasubiri sana for the majimoto hot hot updates ktk hii field ya uchawi.

majimoto/other id ,nashauri uwe mwandishi wa vitabu na kuviuza kwani wengi tutavinunua,unao upeo na uwezo mzuri wa kuandika science fiction books,or theory za ukweli ukweli.

najua umeshajijua.
 
Hodi wenyewe? habari za siku? majimoto nimemkuta? aaaah umesema yupo safarini, atarudi lini? haijulikani? basi akija mwambie tunammiss.
Haya kwa heri, nitakuja tena baada ya siku chache.
 
Maji moto atarudi humu baada ya miezi sita,ameenda kazini,huko kazini kwao haruhusiwi kutumia internet
 
Watawala wa Taifa la Tanzania, kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, walifanya kila aina ya mbinu chafu za kuimarisha utawala wao, ili waweze tena kuongoza taifa la Tanzania.

Nimesema walifanya mbinu chafu zenye makufuru makubwa, na katika ulimwengu usiooneka walionekana waziwazi waliyokuwa wakiyafanya.

Moja ya kufuru walilofanya ni kuwekwa ndani ya majeneza na kushushwa makaburini, ambako walilala huko usiku mzima, huku wachawi wa nchi wakicheza uchi wa nyama juu ya makaburi hayo. Kisha waliapishwa na majini.

Lakini kibao kiligeuzwa ghafula katika ulimwengu usiooneka baada ya kuingiliwa na kundi kubwa la wanadamu waliokuwa wanamlilia Mwenyenzi Mungu juu ya hatima ya baadaye ya taifa la Tanzania.

Katika ulimwengu usioonekana, utawala uliokuwa ukioonekana kama mlima Kilimanjaro, uligeuzwa kichwa chini miguu juu, ulisagwasagwa, ukasambaratishwa kutoka jiwe la mlima hadi kuwa mavumbi matupu.

Kimsingi utawala wa taifa la Tanzania ulioliongoza taifa hili kutoka mwaka 1961 ulikoma rasmi mwezi Septemba 2010 katika ulimwengu usioonekana.

Kazi inayoendelea sasa ni kufanya yale yaliyotendeka katika ulimwengu usioonekana, yadhihirike katika ulimwengu unaooneka. Kawaida nguvu ya mtu au ya taifa ipo katika ulimwengu usioonekana, na matokeo yake hujitokeza taratibu kwenye ulimwengu unaoonekana.

Kwa sababu taifa la Tanzania kwa sasa hivi halipo kabisa katika ulimwengu usioonekana, yapo mambo kadhaa ambayo ni lazima yajitokeze katika ulimwengu unaoonekana.

a) Watawala walioondolewa katika ulimwengu usioonekana, kila jambo watakalojaribu kulifanya au kutenda katika ulimwengu unaoonekana wataishia kwenye aibu ya kukata na shoka.

b) Mambo hayo ya aibu yatakuwa yanafuta hati yao batili ya utawala polepole kwenye utawala unaoonekana.

c) Mwenyenzi Mungu hawezi kusimamisha utawala mpya kwenye utawala uliofanya makufuru makubwa kiasi hicho hadi, utawala huo ufutike kabisa katika ulimwengu unaooneka kama ulivyogeuzwa mavumbi katika ulimwengu usioonekana.

d) Njaa italiandama taifa, kwa sababu Mungu amegeuka, uso wake haupo tena juu ya taifa hili hadi makufuru yaliyofanyika yafutike.

e) Waliofanya makufuru hayo wajitayarishe kwa hasira kali ya Mwenyenzi Mungu.

Hili jambo ni hakika na kweli, na litatimia kwa asilimia 100%


HATI ya KIFO

Nimekuwa mbali na safu hii kwa muda, baada ya safari ya mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma, kwa sasa nipo Mbamba Bay kandokando ya ziwa Nyasa wilayani Mbinga. Yapo mambo yanayoonekana kuwa ni mambo ya heri, yameanza kujiinua kwa nguvu kubwa na bado yanazidi kujiinua ndani ya taifa la Tanzania.

Katika safu zangu ya nyuma niliweka maelezo kama yanavyosomeka hapo juu, kuhusu mambo yaliyolikuta taifa la Tanzania katika ulimwengu usioonekana, leo nitazungumzia baadhi ya mambo na harakati kubwa za kuzimu, wakijaribu kujinasua na anguko lililowapata.

Utawala ulioliongoza taifa ulisambaratishwa na kufutwa kabisa katika ulimwengu usiooneka, mwishoni mwa mwaka jana 2010, baada ya kufanya makufuru makubwa. Kusambaratishwa kwa utawala wa zamani wa dunia ya Tanzania, kumewapa taabu kubwa mamlaka za kuzimu ambazo zimejipanga upya kukabiliana na hali hiyo.

Kwa kuanzia kuzimu wamepandisha duniani majini mengi ya mlipuko, majini haya huwaingia wanaadamu na wakishawaingia hufanya kile walichoamriwa na kuzimu kukifanya wakiwa ndani ya watu hawa. Kujenga utawala ulioanguka katika ulimwengu usioonekana damu ya binadamu ni malighafi muhimu inayohitajika na ni lazima ipatikane kwa namna yoyote. Maazimio ya vikao vya kuzimu ni kupata mapipa mengi yaliyajaa damu za binadamu ili kazi ifanikiwe, na namna ya kuipata ni kusababisha ajali sehemu mbalimbali za nchi yetu, kazi hii kwa sasa inaendelea kufanyika kwa nguvu.

Hatua ya pili ni kuharakisha vifo vya watu kwa kuwauzia hati ya kifo kwa bei nafuu, vikao vilitambua matatizo ya maradhi aina mbalimbali waliyo nayo Watanzania wengi, na wengi wao wamekuwa siyo rahisi hata kidogo kuwatumia mawakala wao waliopo duniani wakijulikana kama waganga wa kienyeji. Hivyo haya majini ya mlipuko yalielekezwa yawaingie viongozi wa dini ya Kikristo, ambao walikuwa na mahusiano na kuzimu, kwa kufanya hivyo watu wengi wasiokubali huduma za waganga wa kienyeji watakamatika kirahisi, majini haya yakiwa ndani ya watumishi hawa huwatokea kwenye ndoto na kupewa miongozo jinsi ya kutenda kazi. Kimsingi kinachofanyika majini haya ndiyo yenyewe yanagawa hizo dawa zilizotoka kuzimu kwa kutumia mikono ya hawa wanadamu. Utabibu huu wa kuzimu unaonekana kuleta ahueni kwa baadhi ya watu, lakini ukweli ni kuwa KILA mtu aliyenyweshwa kikombe na majini haya, mambo makubwa na ya hatari sana yako mbele yake.

Nilizungumzia aibu watakayokuwa wanaipata watawala waliokataliwa, kwani kila jambo watakalolifanya kuwahadaa wananchi wataishia kwenye aibu, tumeshuhudia madudu yao waliyoyafanya katika harakati zao za kuibadili katiba ya Tanzania.
 
HATI ya KIFO

Nimekuwa mbali na safu hii kwa muda, baada ya safari ya mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma, kwa sasa nipo Mbamba Bay kandokando ya ziwa Nyasa wilayani Mbinga. Yapo mambo yanayoonekana kuwa ni mambo ya heri, yameanza kujiinua kwa nguvu kubwa na bado yanazidi kujiinua ndani ya taifa la Tanzania.

Katika safu zangu ya nyuma niliweka maelezo kama yanavyosomeka hapo juu, kuhusu mambo yaliyolikuta taifa la Tanzania katika ulimwengu usioonekana, leo nitazungumzia baadhi ya mambo na harakati kubwa za kuzimu, wakijaribu kujinasua na anguko lililowapata.

Utawala ulioliongoza taifa ulisambaratishwa na kufutwa kabisa katika ulimwengu usiooneka, mwishoni mwa mwaka jana 2010, baada ya kufanya makufuru makubwa. Kusambaratishwa kwa utawala wa zamani wa dunia ya Tanzania, kumewapa taabu kubwa mamlaka za kuzimu ambazo zimejipanga upya kukabiliana na hali hiyo.

Kwa kuanzia kuzimu wamepandisha duniani majini mengi ya mlipuko, majini haya huwaingia wanaadamu na wakishawaingia hufanya kile walichoamriwa na kuzimu kukifanya wakiwa ndani ya watu hawa. Kujenga utawala ulioanguka katika ulimwengu usioonekana damu ya binadamu ni malighafi muhimu inayohitajika na ni lazima ipatikane kwa namna yoyote. Maazimio ya vikao vya kuzimu ni kupata mapipa mengi yaliyajaa damu za binadamu ili kazi ifanikiwe, na namna ya kuipata ni kusababisha ajali sehemu mbalimbali za nchi yetu, kazi hii kwa sasa inaendelea kufanyika kwa nguvu.

Hatua ya pili ni kuharakisha vifo vya watu kwa kuwauzia hati ya kifo kwa bei nafuu, vikao vilitambua matatizo ya maradhi aina mbalimbali waliyo nayo Watanzania wengi, na wengi wao wamekuwa siyo rahisi hata kidogo kuwatumia mawakala wao waliopo duniani wakijulikana kama waganga wa kienyeji. Hivyo haya majini ya mlipuko yalielekezwa yawaingie viongozi wa dini ya Kikristo, ambao walikuwa na mahusiano na kuzimu, kwa kufanya hivyo watu wengi wasiokubali huduma za waganga wa kienyeji watakamatika kirahisi, majini haya yakiwa ndani ya watumishi hawa huwatokea kwenye ndoto na kupewa miongozo jinsi ya kutenda kazi. Kimsingi kinachofanyika majini haya ndiyo yenyewe yanagawa hizo dawa zilizotoka kuzimu kwa kutumia mikono ya hawa wanadamu. Utabibu huu wa kuzimu unaonekana kuleta ahueni kwa baadhi ya watu, lakini ukweli ni kuwa KILA mtu aliyenyweshwa kikombe na majini haya, mambo makubwa na ya hatari sana yako mbele yake.

Nilizungumzia aibu watakayokuwa wanaipata watawala waliokataliwa, kwani kila jambo watakalolifanya kuwahadaa wananchi wataishia kwenye aibu, tumeshuhudia madudu yao waliyoyafanya katika harakati zao za kuibadili katiba ya Tanzania.

Unamaanisha kikombe cha babu loliondo ni mpango maalum wa kishetani, kwa maana nyingine unamaanisha watu wasikimbilie kupata kikombe....
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Unamaanisha kikombe cha babu loliondo ni mpango maalum wa kishetani, kwa maana nyingine unamaanisha watu wasikimbilie kupata kikombe....
Na sio Loliondo tu, hivi sasa vikombe vipo sehemu nyingi...
 
HATI ya KIFO

Nimekuwa mbali na safu hii kwa muda, baada ya safari ya mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma, kwa sasa nipo Mbamba Bay kandokando ya ziwa Nyasa wilayani Mbinga. Yapo mambo yanayoonekana kuwa ni mambo ya heri, yameanza kujiinua kwa nguvu kubwa na bado yanazidi kujiinua ndani ya taifa la Tanzania.

Katika safu zangu ya nyuma niliweka maelezo kama yanavyosomeka hapo juu, kuhusu mambo yaliyolikuta taifa la Tanzania katika ulimwengu usioonekana, leo nitazungumzia baadhi ya mambo na harakati kubwa za kuzimu, wakijaribu kujinasua na anguko lililowapata.

Utawala ulioliongoza taifa ulisambaratishwa na kufutwa kabisa katika ulimwengu usiooneka, mwishoni mwa mwaka jana 2010, baada ya kufanya makufuru makubwa. Kusambaratishwa kwa utawala wa zamani wa dunia ya Tanzania, kumewapa taabu kubwa mamlaka za kuzimu ambazo zimejipanga upya kukabiliana na hali hiyo.

Kwa kuanzia kuzimu wamepandisha duniani majini mengi ya mlipuko, majini haya huwaingia wanaadamu na wakishawaingia hufanya kile walichoamriwa na kuzimu kukifanya wakiwa ndani ya watu hawa. Kujenga utawala ulioanguka katika ulimwengu usioonekana damu ya binadamu ni malighafi muhimu inayohitajika na ni lazima ipatikane kwa namna yoyote. Maazimio ya vikao vya kuzimu ni kupata mapipa mengi yaliyajaa damu za binadamu ili kazi ifanikiwe, na namna ya kuipata ni kusababisha ajali sehemu mbalimbali za nchi yetu, kazi hii kwa sasa inaendelea kufanyika kwa nguvu.

Hatua ya pili ni kuharakisha vifo vya watu kwa kuwauzia hati ya kifo kwa bei nafuu, vikao vilitambua matatizo ya maradhi aina mbalimbali waliyo nayo Watanzania wengi, na wengi wao wamekuwa siyo rahisi hata kidogo kuwatumia mawakala wao waliopo duniani wakijulikana kama waganga wa kienyeji. Hivyo haya majini ya mlipuko yalielekezwa yawaingie viongozi wa dini ya Kikristo, ambao walikuwa na mahusiano na kuzimu, kwa kufanya hivyo watu wengi wasiokubali huduma za waganga wa kienyeji watakamatika kirahisi, majini haya yakiwa ndani ya watumishi hawa huwatokea kwenye ndoto na kupewa miongozo jinsi ya kutenda kazi. Kimsingi kinachofanyika majini haya ndiyo yenyewe yanagawa hizo dawa zilizotoka kuzimu kwa kutumia mikono ya hawa wanadamu. Utabibu huu wa kuzimu unaonekana kuleta ahueni kwa baadhi ya watu, lakini ukweli ni kuwa KILA mtu aliyenyweshwa kikombe na majini haya, mambo makubwa na ya hatari sana yako mbele yake.

Nilizungumzia aibu watakayokuwa wanaipata watawala waliokataliwa, kwani kila jambo watakalolifanya kuwahadaa wananchi wataishia kwenye aibu, tumeshuhudia madudu yao waliyoyafanya katika harakati zao za kuibadili katiba ya Tanzania.


Mmmmh, hati ya kifo. Ngoja ni recall waliokunywa kikombe kwa babu, yule, yule, na yule, aaah, na yule.
 
Unamaanisha kikombe cha babu loliondo ni mpango maalum wa kishetani, kwa maana nyingine unamaanisha watu wasikimbilie kupata kikombe....

Wanakimbilia hati ya kifo inayouzwa kwa gharama ya shilingi mia tano.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Na sio Loliondo tu, hivi sasa vikombe vipo sehemu nyingi...

Majini ya milipuko yametapakaa juu ya anga yote ya Tanzania, baada ya muda kila kijiji kitakuwa na mteuliwa aliyeoteshwa ndoto na majini kugawa dawa kwa kikombe.
 
Back
Top Bottom