Wanaweza pia kusamehewa Kodi,na mimi nimetembea baadhi ya Nchi Kahaba kwenye Danguro sio lazima Penetration tu, mara nyingine anakukanda mwili mzima massage halafu unamlipa unasepa.Ila sasa ishu ipo kama ukisema hawa watu walipe kodi hapo itakuwa ngumu maana hawatataka kulipa kodi. Na sie wateja nao tutaona bei kubwa. Tigo ya buku sasa itauzwa buku mbili🤣🤣🤣🤣🤣
Mambo gani tena mkuu hebu fungukaKuna darasa la 7 mwaka 2010 alikuwa ana mambo ya ajabu sana........
Uoni hapo kati ya shekh na padri dhidi ya serikali nani atasema neno na likatekelezwa na hao dada poa,ni kiongozi gani dini anaweza kwenda kuhamisha dada powaa kwenye makazi Kam siyo kiongozi wa serikali ya ccm.Serikali ya ccm imeingiaje hapo??
Hata hivyo ni aibu kama taifa kukusanya kodi kwa makahaba wanaojiuza kwa buku 3Ila sasa ishu ipo kama ukisema hawa watu walipe kodi hapo itakuwa ngumu maana hawatataka kulipa kodi. Na sie wateja nao tutaona bei kubwa. Tigo ya buku sasa itauzwa buku mbili🤣🤣🤣🤣🤣
malaya wa kisasa ni call Girls, wako tagged, badoo, etc, ni kupiga simu tu yupo mlangoniSerikali ya mtaa inapenda,mnaweka sungusungu kamata kuazia saa nne atakae kamatwa faini ni 50000/biashara inakata fasta sana.malaya wakionaga kelo Huwa wanahamisha Kambi.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Ukahaba nimojawapo ya biashara kongwe Duniani .Haya yote ni matokeo ya sera mbovu za serikali ya CCM.
...Anaelekea ni CCM Lia Lia![emoji1] Hajui CCM Inaingiaje Hapo??? Anajua kuwa Nchi inaongozwa na CCM???Haina sera za kueleweka za mipango miji! mfano kutenganisha maeneo ya starehe, ibada, nyumba za kulala wageni, nk. kutoka kwenye maeneo ya makazi ya watu.
Una swali lingine?
Hao ndio Yesu anawahitaji, wadhambi kuliko wadio na dhambi.Sasa viongozi wa dini watakemeaje makahaba wasio na dini?
Vipi kuhusu mashoga?NAPENDEKEZA SULUHISHO: Iwe ni marufuku mtu kuonekana hadharani iwe usiku au mchana akiwa amavalia mavazi ya kikahaba!! Tukubaliane kuwa:
1. Hadharani maana yake ni mbele ya watu wengine. Hata kwenye kumbi za starehe ni hadharani! Hata kwenye bar na vilabuni ni hadharani!!
2. Mavazi ya kikahaba ni:
mwanamke haupaswi kuonekana
- Vazi lolote la kike ambalo halifiki nchi 6 chini ya magoti.
- Vazi lolote ambalo mpasuko wako wa nyuma unazidi sehemu ya mgoti na kuonesha mapaja wakati mhusika anatembea.
- Vazi lolote lililochanwa kwenye sehemu ya mapaja hivyo kuonesha mwili kupitia michaniko hiyo.
- Vazi lolote linaloonesha sehemu ya matiti/maziwa ya mwanamke. Ule mfereji unaotenganisha matiti/maziwa ya
3. Atakayepatikana kuvaa mavazi ya kikahaba achapwe viboko hadharani.
- Vazi lolote linaloshikamana na mwili/linalobana mwili kiasi cha kutokutenganisha mwili na vazi (skin tight)
- Vazi lolote linaloacha mgongo wazi. Kusiwe na uwazi chini ya mabega.
- Vazi lolote linaloangaza/transparent na kuonesha nguo za ndani!
4. Kama makahaba wanadai wako kwenye biashara, wakubali kufanya biashara zao bila kuleta kero kwa wengine. Kama makahaba nikikutana nao wakati narudi nyumbani usiku nikiwa na watoto wangu, lakini hawajavaa mavazi ya kikahaba, hakutakuwa na athari kwa wanangu!
Na wengine tuongeze makubaliano::
me nafkiri waanze kulipa kodi lakini pia wapewe machine za EFD ..Ili kila mwisho wa mwezi wapeleke returns TRAIla sasa ishu ipo kama ukisema hawa watu walipe kodi hapo itakuwa ngumu maana hawatataka kulipa kodi. Na sie wateja nao tutaona bei kubwa. Tigo ya buku sasa itauzwa buku mbili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah sasa itakuwa balaaa hiyo....waacha tuu watu wapeane utamu bila kodi....kodi watakusanya kwenye matumizi ya kawaida ya binafamu. Maana kutomber pacha wake pombe...so watapata hukome nafkiri waanze kulipa kodi lakini pia wapewe machine za EFD ..Ili kila mwisho wa mwezi wapeleke returns TRA
Km tigo ni 1000 before VAT
1000 × 1.18 = 1180 VAT Inclusive
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaingia nyavuni km shuti la Ihefu kwy wavu wa Yanga[emoji38][emoji851]Ni kosa kisheria unaingia nyavuni