To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Hataree yaan💊Aisee kwa hio unashindua 5 unaongezwa na 1 ya nyengeza?! ☺️🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hataree yaan💊Aisee kwa hio unashindua 5 unaongezwa na 1 ya nyengeza?! ☺️🤗
Ila ni salama km Condom 😆Hataree yaan💊
NGos wanawasaidia wawasaidie Mara ngapiMimi naiomba Serikali yetu sikivu ihalalishe Ukahaba, ili kuwe na Madanguro halali ili Idara za Afya na NGOs ziweze kuwasaidia ili wafanye Ngono salama.
Issues ni Maadili, social media, internet, role models, wazazi kukaa pamoja Kulea watoto, ugumu mkubwa wa maisha Kwa vijana.Tanzania tumefikia hatua hii?
Kwanini lakini?
Imani ipo wapi?
Utu uko wapi? Serikali haikemei??
Jamii ipo wapi?
Hiko kijiji kipo wapi?
Nikienda Mimi sh ngapi?
Hii biashara ipo kabla Yesu hajaja dunianiTanzania tumefikia hatua hii?
Kwanini lakini?
Imani ipo wapi?
Utu uko wapi? Serikali haikemei??
Jamii ipo wapi?
Hiko kijiji kipo wapi?
Nikienda Mimi sh ngapi?
Wanasema mtaji ni smartphone
Hata hao UTI hawakosiTamaa ya kufanikiwa kwa haraka ndio inawafanya hivyo; na wewe mwanaume kwa nini uchukue wa 2000; kupata kitu safi ni kuanzia 50,000/=
Hadi vitoto vinatombana siku hizi. Darasa la saba huwakosi maeneoAcha makahaba waongezeke tu kwenye uchumi wanasema the higher the supply the lower the price, saivi hadi kuna tigo za buku huko Davies Kona, nilichoka aisee![emoji848]
Itakuwepo hadi atakaporudi. Muhimu kuidhibiti kwa maeneo fulani tu. Mbali na makazi ya watu.Hii biashara ipo kabla Yesu hajaja duniani
Hii sasa nsio akiliMimi naiomba Serikali yetu sikivu ihalalishe Ukahaba, ili kuwe na Madanguro halali ili Idara za Afya na NGOs ziweze kuwasaidia ili wafanye Ngono salama.
Nadhani ungejenga hoja.Hii sasa nsio akili
ha ha haHata hao UTI hawakosi
Nilikuwa namaanisha kuwa hio ndio akili. Tukbaliane tuu hii biashara ipo ila serikali uweke maeneo mahususi watu kuoata huduma hiyo na kodi ilipwe huku tukiangalia afya zaoNadhani ungejenga hoja.
CCM imewaletea ugumu wa maisha. Inadhibiti wananchi kujiajiri hivyo wanageukia ushenzi ushenzi kama.huo na panyaroad.Dar es Salaam. Biashara ya ukahaba imevamia kwa kasi baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar es Salaam, na kusababisha kero na adha kubwa katika makazi ya watu, hasa eneo la Sinza kiasi cha kuzifanya baadhi ya familia kuhama nyumba, Mwananchi limebaini.
Wazazi na walezi wanasema hali hiyo pamoja na kelele zinazosababishwa na muziki unaopigwa kwenye baa kubwa vimewasababishia ugumu usizoelezeka wa malezi ya watoto.
Uchunguzi wa Mwananchi umebaini biashara hiyo imekithiri katika mitaa mingi ya Sinza, hasa ile inayozunguka kumbi maarufu za starehe na hoteli kubwa.
Hali hiyo inayomulikwa kwa Sinza, ipo pia maeneo mengine kama Tabata, Ubungo, Kindondoni Buguruni na kwingineko, japokuwa ni kwa viwango tofauti.
Kutokana na hali ilivyo, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Godwin Gondwe hivi karibuni alikutana na watendaji na wenyeviti wa mitaa ili kujadili mambo mbalimbali, likiwemo la biashara hiyo huku akiwataka viongozi wa dini kulikemea suala hilo akisema utamaduni huo si wa Tanzania.
Wakazi wa maeneo husika wanasema mbali na kuwaletea changamoto ya malezi, hali hiyo imewalazimisha kubadili mifumo ya maisha ili kuzilinda familia zao.
“Nimelazimika kuhamia Goba kuwakwepa ‘madada poa’ na kelele za usiku kucha. Jirani na nyumba niliyokuwa naishi na familia yangu kuna gesti wanayotumia hao madada poa. Wanavuta bangi usiku kucha na asubuhi tunapotoka tunakuta kondomu zimetapakaa hadi magetini kwetu.
“Wakati mwingine wateja wao wanapaki magari yao kwenye uzio wa nyumba zetu na kuyatumia kufanya mapenzi badala ya kwenda gesti. Tumeripoti sana polisi hatuoni nafuu yoyote,” anasema Ally Mohamed aliyekuwa akiishi katika nyumba moja, nyuma ya baa ya Meeda, maarufu kama Kitambaa Cheupe.
Anaongeza kuwa “changamoto ya kulea watoto kule ilikuwa kubwa kwa kuwa akirudi saa moja usiku anakuta tayari (madada poa) wamejipanga mtaani, wakiona gari wanajiachia uchi, kumbe mtu unakwenda nyumbani akiwa na watoto.”
Mohamed anasema baadhi ya familia, kama ilivyo kwake, zimehama kuepuka kero na adha za ukahaba pamoja na kelele zinazotoka kwenye kumbi za starehe.
Madanguro yatafanya wauzaji wa K kuwa salama na pia watachaangia pato la Taifa kwa kulipa kaushuru kadogo.Nilikuwa namaanisha kuwa hio ndio akili. Tukbaliane tuu hii biashara ipo ila serikali uweke maeneo mahususi watu kuoata huduma hiyo na kodi ilipwe huku tukiangalia afya zao
Nakubaliana nawe kabisaMadanguro yatafanya wauzaji wa K kuwa salama na pia watachaangia pato la Taifa kwa kulipa kaushuru kadogo.
Ukahaba ni Service ambayo wote tunaihitaji maana Nyumbani mara nyingine vitimbi vitimbi mara unaambiwa nimechoka unatoka unaenda kuteleza kwa Kahaba.Nakubaliana nawe kabisa
Ila sasa ishu ipo kama ukisema hawa watu walipe kodi hapo itakuwa ngumu maana hawatataka kulipa kodi. Na sie wateja nao tutaona bei kubwa. Tigo ya buku sasa itauzwa buku mbili🤣🤣🤣🤣🤣Ukahaba ni Service ambayo wote tunaihitaji maana Nyumbani mara nyingine vitimbi vitimbi mara unaambiwa nimechoka unatoka unaenda kuteleza kwa Kahaba.