Biashara ya ukahaba imekithiri Sinza na kusababisha wakazi kuhama nyumba zao

Biashara ya ukahaba imekithiri Sinza na kusababisha wakazi kuhama nyumba zao

Mimi naiomba Serikali yetu sikivu ihalalishe Ukahaba, ili kuwe na Madanguro halali ili Idara za Afya na NGOs ziweze kuwasaidia ili wafanye Ngono salama.
 
Tanzania tumefikia hatua hii?
Kwanini lakini?
Imani ipo wapi?
Utu uko wapi? Serikali haikemei??
Jamii ipo wapi?
Hiko kijiji kipo wapi?
Nikienda Mimi sh ngapi?
Issues ni Maadili, social media, internet, role models, wazazi kukaa pamoja Kulea watoto, ugumu mkubwa wa maisha Kwa vijana.

Zamani hata kama mlikuwa maskini kijiji kizima, mtaa mzima wote mlisaidiana. Dini pia ilisaidia.
 
Wanasema mtaji ni smartphone

Smart phone inaweza kuwa mtaji au hasara inategemeana na anayeitumia.

Anaweza kuangalia porno siku nzima, na vitu vingine vya ajabu badala ya kutafuta opportunities, connections, fursa za biashara, kazi, kusoma vitabu, video zitakazomwelimisha.
 
Hii biashara ipo kabla Yesu hajaja duniani
Itakuwepo hadi atakaporudi. Muhimu kuidhibiti kwa maeneo fulani tu. Mbali na makazi ya watu.

Imagine watoto wako wawili (mvulana na msichana) wanatoka shule wanaona wanawake na mashoga wanajiuza mtaani kwenu.

Wakifika mbele kidogo wanaona condoms barabarani, watu wakivuta bangi, heroins, cracks, ugoro, gongo.

Wengine wakifanya mapenzi Kwa kificho Giza likiingia ukiwatuma dukani wanaona yote.

Unawatengezea mazingira gani. Usalama gani, utakuwa na uwepo gani wa kuwafundisha chochote cha maana kwenye mazingira hayo?

Sinza imezidi utapata mashoga na makahaba wengi kuliko sehemu zingine zenye mazingira rafiki kwa watoto.
 
Dar es Salaam. Biashara ya ukahaba imevamia kwa kasi baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar es Salaam, na kusababisha kero na adha kubwa katika makazi ya watu, hasa eneo la Sinza kiasi cha kuzifanya baadhi ya familia kuhama nyumba, Mwananchi limebaini.

Wazazi na walezi wanasema hali hiyo pamoja na kelele zinazosababishwa na muziki unaopigwa kwenye baa kubwa vimewasababishia ugumu usizoelezeka wa malezi ya watoto.

Uchunguzi wa Mwananchi umebaini biashara hiyo imekithiri katika mitaa mingi ya Sinza, hasa ile inayozunguka kumbi maarufu za starehe na hoteli kubwa.

Hali hiyo inayomulikwa kwa Sinza, ipo pia maeneo mengine kama Tabata, Ubungo, Kindondoni Buguruni na kwingineko, japokuwa ni kwa viwango tofauti.

Kutokana na hali ilivyo, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Godwin Gondwe hivi karibuni alikutana na watendaji na wenyeviti wa mitaa ili kujadili mambo mbalimbali, likiwemo la biashara hiyo huku akiwataka viongozi wa dini kulikemea suala hilo akisema utamaduni huo si wa Tanzania.

Wakazi wa maeneo husika wanasema mbali na kuwaletea changamoto ya malezi, hali hiyo imewalazimisha kubadili mifumo ya maisha ili kuzilinda familia zao.

“Nimelazimika kuhamia Goba kuwakwepa ‘madada poa’ na kelele za usiku kucha. Jirani na nyumba niliyokuwa naishi na familia yangu kuna gesti wanayotumia hao madada poa. Wanavuta bangi usiku kucha na asubuhi tunapotoka tunakuta kondomu zimetapakaa hadi magetini kwetu.

“Wakati mwingine wateja wao wanapaki magari yao kwenye uzio wa nyumba zetu na kuyatumia kufanya mapenzi badala ya kwenda gesti. Tumeripoti sana polisi hatuoni nafuu yoyote,” anasema Ally Mohamed aliyekuwa akiishi katika nyumba moja, nyuma ya baa ya Meeda, maarufu kama Kitambaa Cheupe.

Anaongeza kuwa “changamoto ya kulea watoto kule ilikuwa kubwa kwa kuwa akirudi saa moja usiku anakuta tayari (madada poa) wamejipanga mtaani, wakiona gari wanajiachia uchi, kumbe mtu unakwenda nyumbani akiwa na watoto.”

Mohamed anasema baadhi ya familia, kama ilivyo kwake, zimehama kuepuka kero na adha za ukahaba pamoja na kelele zinazotoka kwenye kumbi za starehe.
CCM imewaletea ugumu wa maisha. Inadhibiti wananchi kujiajiri hivyo wanageukia ushenzi ushenzi kama.huo na panyaroad.

Serikali imefeli
 
maisha yamekuwa magumu sana ndiyo maana jamii inajiingiza kwenye vitendo vichafu.

vitu kupanda bei inawagusa wananchi wa kipato cha chini
 
Nilikuwa namaanisha kuwa hio ndio akili. Tukbaliane tuu hii biashara ipo ila serikali uweke maeneo mahususi watu kuoata huduma hiyo na kodi ilipwe huku tukiangalia afya zao
Madanguro yatafanya wauzaji wa K kuwa salama na pia watachaangia pato la Taifa kwa kulipa kaushuru kadogo.
 
Ukahaba ni Service ambayo wote tunaihitaji maana Nyumbani mara nyingine vitimbi vitimbi mara unaambiwa nimechoka unatoka unaenda kuteleza kwa Kahaba.
Ila sasa ishu ipo kama ukisema hawa watu walipe kodi hapo itakuwa ngumu maana hawatataka kulipa kodi. Na sie wateja nao tutaona bei kubwa. Tigo ya buku sasa itauzwa buku mbili🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom