Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wameamua kutumia rasilimali walizo kuwa nazo kurahisisha maisha. Wale ndugu zetu wa oa kijijini ndo utapata wife material,watafute mbinu mbadala.Nilitembelea rufiji hapo ikwiriri hali ni mbaya sana nikabahatika kufika mloka nako mambo ni fire..hakika huduma hii kabambe imewafikia...ni mwendo wa ulipo wapo.
#MaendeleoHayanaChama
Hapo sasa....ila hawa watu wanasaidia sana ma jobless buku 5 unakula kitu ambacho kinasevu imagine demu lodge ya bei rahisi efu 15 bado kula, posho...Ukahaba umekithiri lkn matukio ya kubakwa watoto yanashamiri....sasa jiulize makahaba wasinge kuwepo hali ingekuwaje?...
Tafuta mtu sahihiKila nikitaka kuoa nakuja kugundua mchumba ni muuzaji
Nalaumu kwasababu wateja wao wengi hawaogopi hatari yakupata vvu wengi wanapiga kavuTsh 2000 ya kijijini sio sawa na 2000 ya mjini.
Purchasing Power Parity.
Kwamba unalaumu bei elekexi kuwa 2000 kijijini
Kizazi hiki kinapitia changamoto nyingi sanaNilitembelea rufiji hapo ikwiriri hali ni mbaya sana nikabahatika kufika mloka nako mambo ni fire..hakika huduma hii kabambe imewafikia...ni mwendo wa ulipo wapo.
#MaendeleoHayanaChama
Hali ni mbaya kila konaWatu wameamua kutumia rasilimali walizo kuwa nazo kurahisisha maisha. Wale ndugu zetu wa oa kijijini ndo utapata wife material,watafute mbinu mbadala.
[emoji23][emoji23][emoji23]ukienda na elfu 20 unaweza kula wauzazi wengi sanaTanzania tumefikia hatua hii?
Kwanini lakini?
Imani ipo wapi?
Utu uko wapi? Serikali haikemei??
Jamii ipo wapi?
Hiko kijiji kipo wapi?
Nikienda Mimi sh ngapi?
Hahahaaa wewe ukienda bk tu kwakuwa nia yako imeonekana... Imagine utoke huko uliko mpaka Kijiji hichoTanzania tumefikia hatua hii?
Kwanini lakini?
Imani ipo wapi?
Utu uko wapi? Serikali haikemei??
Jamii ipo wapi?
Hiko kijiji kipo wapi?
Nikienda Mimi sh ngapi?
Ubakaji watoto wa kuchapwa bakora ni waganga wa kienyeji ndio upotosha watuUkahaba umekithiri lkn matukio ya kubakwa watoto yanashamiri....sasa jiulize makahaba wasinge kuwepo hali ingekuwaje?...
Waoaji hakunaHali ni mbaya wengine wazuri adi unashagaa kimemkuta nini kama angetulia angepata mtu wa kumstiri
Maneno yote haya ni ya kutafutia location tuTanzania tumefikia hatua hii?
Kwanini lakini?
Imani ipo wapi?
Utu uko wapi? Serikali haikemei??
Jamii ipo wapi?
Hiko kijiji kipo wapi?
Nikienda Mimi sh ngapi?
Na mimi nilitaka kumjibu kuwa mambo yako kwenye mtandao siku hizi. Na makahaba wako wa kila daraja na bei. Kuanzia wa kuhonga chakula na vinywaji mpaka wa kuhonga ukuu wa mikoa au wilaya au hata uwaziri.Siku hizi kuna ukahaba wa kidigitali, wanawake wanajiunga na App au website za kujiuza. Utamkuta online