The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Wenyeji wanasema ikigonga night ya saa sita ile Msakuzi na vumbi lote lile inaonakana kama Las Vegas vichupi nje nje.Pale kwa lipe, msakuz kuna madanga kibao yamejificha
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenyeji wanasema ikigonga night ya saa sita ile Msakuzi na vumbi lote lile inaonakana kama Las Vegas vichupi nje nje.Pale kwa lipe, msakuz kuna madanga kibao yamejificha
Ova
Kinacholalamikiwa ni ubovu wa mipango miji, Tanzania mtu anafunga baa sehemu yeyote Ile anayojisikiaKenya , South Africa, Dubai, UK, USA kote kuna madada poa, huko ni CCM pia?
Hio biashara sio rahis kuizia lakin kuwe na utararibu huwez ruhusu bar na guest zikajengwa jengwa hovyo kwenye makazi ya watu huo ni udhaifu wa serekaliNi kukuambia kuwa hizo ni tabia za binadamu dunia nzima, huwezi kuzizuia..hazitokanani na CCM uchumi mkubwa ama mdogo kitu gani. Ni kukosa uelewa kudhani kuiwa chama cha upinzani kikiingia eti matatizo yote ya kimaadili yataisha
Pale kwa lipe ni shigideeWenyeji wanasema ikigonga night ya saa sita ile Msakuzi na vumbi lote lile inaonakana kama Las Vegas vichupi nje nje.
Ww avha urongo...wapi kenya malaya wana lipa kodi ? Kenya ukahaba ni illegal business kama ilivyo Tz tuHuko wamejiwekea utaratibu wao. Hao makahaba wametengewa maeneo yao maalum kwa kazi hiyo! Na wanalipa kodi.
Pia nyumba za starehe, nyumba za kulala wageni, nyumba za ibada, nk. zina maeneo yao maalum! Na wanatumia pia sound proof.
Ni tofauti na Bongo, ambako hakuna utaratibu wowote ule wa kueleweka. Baa, nyumba za wageni, nyimba za ibada na kumbi za starehe zimechangayana na makazi ya watu.
pale Latema Road wapo ndani guest flaniWw avha urongo...wapi kenya malaya wana lipa kodi ? Kenya ukahaba ni illegal business kama ilivyo Tz tu
Serikali ya ccm imeingiaje hapo??
Haya yote ni matokeo ya sera mbovu za serikali ya CCM.
Angewapiga picha na video halafu akasambaza mtandaoni. Kama unasumbuliwa na vitu kama hivi, piga picha na video za wateja wa hao makahaba na namba zao za magari halafu ziweke Twitter, Insta, JF, Tik Tok, kila mahali.
Lkn sasa sio legal, wanafanya tu mbona hata hapa Tz yapo madanguro ya siri siri au pale kwa wahayapale Latema Road wapo ndani guest flani
Jichanganye etiii atatulia ni Mwendo wa jet, ulishawahi kuona kimondo kinavyokatiza usikuu yaani ni Shaaaaa kimepita,,, imeisha iyooo Nina mifano kama miwili ya haoo people ni noma sana.Yeye anadai kuwa ukipata mke kule anakuwa hana mambo mengi sababu amemaliza uhuni wote hana kipya cha kufanya so, mke atatulia
Kuna kipindi niliona makahaba wa kenya wanaandamana wakisema kazi yao itambulike kama official job kwa vile wanalipia kodi kama wafanyakazi wengine.Ww avha urongo...wapi kenya malaya wana lipa kodi ? Kenya ukahaba ni illegal business kama ilivyo Tz tu
Wajinga tu,Kuna kipindi niliona makahaba wa kenya wanaandamana wakisema kazi yao itambulike kama official job kwa vile wanalipia kodi kama wafanyakazi wengine.
Mantiki yako ya hao makamanda wa Polisi kuwa ni wanawake ni nini?Tatizo wanaopaswa kushughulikia tatizo la makahaba na wao huenda ni wateja wa makahaba hao!! Ni sawa na kupeleka kesi ya ngedele kwa nyani ukimshitaki kula mahindi shambani kwako, wakati ngedele alikuwa na nyani wakila mahindi hayo!
NAPENDEKEZA: Wakuu wa wilaya zote za Dar wawe wanawake. Makamanda wote wa polisi mikoa yote ya kipolisi Dar wawe wanawake. Wakuu wa vituo vyote vya polisi wawe wanawake. Hao wote chini ya mkuu wa mkoa wa Dar MWANAUME bila shaka watafanya kazi nzuri!