Biashara ya ukahaba imekithiri Sinza na kusababisha wakazi kuhama nyumba zao

Biashara ya ukahaba imekithiri Sinza na kusababisha wakazi kuhama nyumba zao

Hali ya ukahaba imekuwa Ni waswa had kwenye stutus watu wamjiuza sas HV jus nipokea msg just watup kuchelinnaona mwanamke nikamwambia mbna sikupat umepata wapin namba zangu kabla cjatype ya pili akanitumia video ya ex nikamuambia umekosea namba akasema swal lkn hata wee unaweza kutaka
 
NAPENDEKEZA SULUHISHO: Iwe ni marufuku mtu kuonekana hadharani iwe usiku au mchana akiwa amavalia mavazi ya kikahaba!! Tukubaliane kuwa:
1. Hadharani maana yake ni mbele ya watu wengine. Hata kwenye kumbi za starehe ni hadharani! Hata kwenye bar na vilabuni ni hadharani!!
2. Mavazi ya kikahaba ni:
  • Vazi lolote la kike ambalo halifiki nchi 6 chini ya magoti.
  • Vazi lolote ambalo mpasuko wako wa nyuma unazidi sehemu ya mgoti na kuonesha mapaja wakati mhusika anatembea.
  • Vazi lolote lililochanwa kwenye sehemu ya mapaja hivyo kuonesha mwili kupitia michaniko hiyo.
  • Vazi lolote linaloonesha sehemu ya matiti/maziwa ya mwanamke. Ule mfereji unaotenganisha matiti/maziwa ya
mwanamke haupaswi kuonekana
  • Vazi lolote linaloshikamana na mwili/linalobana mwili kiasi cha kutokutenganisha mwili na vazi (skin tight)
  • Vazi lolote linaloacha mgongo wazi. Kusiwe na uwazi chini ya mabega.
  • Vazi lolote linaloangaza/transparent na kuonesha nguo za ndani!
3. Atakayepatikana kuvaa mavazi ya kikahaba achapwe viboko hadharani.
4. Kama makahaba wanadai wako kwenye biashara, wakubali kufanya biashara zao bila kuleta kero kwa wengine. Kama makahaba nikikutana nao wakati narudi nyumbani usiku nikiwa na watoto wangu, lakini hawajavaa mavazi ya kikahaba, hakutakuwa na athari kwa wanangu!

Na wengine tuongeze makubaliano::

Ukubaliane na nani? Si uende Taliban walipo wenzio
 
Wanao paswa kukomesha hiyo hali nao ni wateja wa hao makahaba, nawambieni hali hiyo sio dar tu ni kote nchini,
Upo sahihi, yanayotamalaki bungeni ni ushahidi tosha ...wabunge wanazungumzia zaidi ngono kuliko maendeleo
 
Wakuu wa vituo vyote vya polisi wawe wanawake. Hao wote chini ya mkuu wa mkoa wa Dar MWANAUME bila shaka watafanya kazi nzuri!
Kote sawa isipokuwa kwenye red, awe mwanamke tena mjeda
 
Manispaa siku hizi inatoa vibali bila kujali kuwa hayo ni makazi ya watu, kuanzia bar na haya Makanisa fulani yanayopiga mziki 24/7 katikati ya makazi ya watu,ni kero sana.........
Kuna mamlaka fulani zinatakiwa kufutwa kabisa zinatumia fedha ya umma bila tija
 
Nasikia wanaume wa Dar wanakula chips tuu, hili linawezekana vipi? wanawasingizia tuu
 
Inashindiwa kusimamia mipango miji.
Hao wanawake watakuwa wanafuata wateja kwenye bar, hotel au Lodge zilizo karibu na makazi ya watu.

Binadamu Lazima wapangwe kwenye miji ukiwaachia wajijengee tu au kufanya biashara kwenye makazi bila usimamizi thabiti miji inakuwa shagalabagala. Kuna sehemu makazi ya watu kuishi yanachangamana na Bar, hotel,lodge, gereji, karakana. Kuna sehemu unakuta kinyozi ni jirani na mghawa wanatofautiana milango tu.
Serikali ya ccm imeingiaje hapo??
 
Wanakuwa kwenye maeneo au mitaa maalumu. Huwezi kukuta wanazurura katika mitaa ya watu. Madada poa wanafuata wateja Bar kubwa, Hoteleni na Lodge. Makazi ya watu hayatakiwi kuwa karibu na hizi biashara ila Sinza ni kawaida kukuta watu wanaishi pua na mdomo na hizi biashara.
Haya ni matokeo ya usimamizi mbovu wa mipango miji.
Kenya , South Africa, Dubai, UK, USA kote kuna madada poa, huko ni CCM pia?
 
Centralization ya madaraka ni tatizo kubwa sana nchi, upangaji na usimamzi wa miji ni jukumu la serikali za mitaa kwenye dunia iliyoendelea. Hii ni kazi iliyopaswa kufanywa na Halmashauri za miji kwa kushirikiana na serikali za mtaa.
Serikali iifumue NEMC na kuunda chombo kingine chenye nguvu na kiwe na askari wa kudhibiti hali hiyo au vinginevyo SUMA JKT wakabidhiwe jukumu hilo la kuwatoza faini wanaosababisha hiyo adha kwa wananchi na siyo Dar tu
 
Dar es salaam kila mahali hawa watu wapo mimi naishi Mbezi Makabe jumapili moja nilienda kule wanakoita Msakuzi nako kuna dada poa,jamaa zangu wanaishi Bunju wananiambia nako kuna malaya Mbagala hii ya Chamazi nako wapo ni utamaduni unaohama.

Nashauri hasa nje ya miji zitungwe sheria zitakazowabana wamiliki wa bar na kumbi za starehe kutoruhusu kwa namna yoyote kuonekana kwa ishara zisizokuwa za kistaarabu nje ya maeneo yao.
 
Back
Top Bottom