Biashara ya ukahaba imekithiri Sinza na kusababisha wakazi kuhama nyumba zao

Biashara ya ukahaba imekithiri Sinza na kusababisha wakazi kuhama nyumba zao

NAPENDEKEZA SULUHISHO: Iwe ni marufuku mtu kuonekana hadharani iwe usiku au mchana akiwa amavalia mavazi ya kikahaba!! Tukubaliane kuwa:
1. Hadharani maana yake ni mbele ya watu wengine. Hata kwenye kumbi za starehe ni hadharani! Hata kwenye bar na vilabuni ni hadharani!!
2. Mavazi ya kikahaba ni:
* Vazi lolote la kike ambalo halifiki nchi 6 chini ya magoti.
* Vazi lolote ambalo mpasuko wako wa nyuma unazidi sehemu ya mgoti na kuonesha mapaja wakati mhusika anatembea.
* Vazi lolote lililochanwa kwenye sehemu ya mapaja hivyo kuonesha mwili kupitia michaniko hiyo.
* Vazi lolote linaloonesha sehemu ya matiti/maziwa ya mwanamke. Ule mfereji unaotenganisha matiti/maziwa ya
mwanamke haupaswi kuonekana
* Vazi lolote linaloshikamana na mwili/linalobana mwili kiasi cha kutokutenganisha mwili na vazi (skin tight)
* Vazi lolote linaloacha mgongo wazi. Kusiwe na uwazi chini ya mabega.
* Vazi lolote linaloangaza/transparent na kuonesha nguo za ndani!
3. Atakayepatikana kuvaa mavazi ya kikahaba achapwe viboko hadharani.
4. Kama makahaba wanadai wako kwenye biashara, wakubali kufanya biashara zao bila kuleta kero kwa wengine. Kama makahaba nikikutana nao wakati narudi nyumbani usiku nikiwa na watoto wangu, lakini hawajavaa mavazi ya kikahaba, hakutakuwa na athari kwa wanangu!

Na wengine tuongeze makubaliano::
Hiyo ni solution isiyoangalia chanzo Cha tatizo. Tatizo litaongezeka Badala ya kupunguza.

Tatizo kuu ni CHAMA na Serikali ya KIJANI.

Wameleta gap kubwa kati ya maskini na TAJIRI. Shule za kata hawawekezi vya kutosha sababu watoto wao hawasomi huko.

Mtoto wa maskini akitokea shule Hana maarifa ya kutosha kujitegemea ndo unaona wanaongezeka dada poa na panya road.

Solution, tupambanie KATIBA mpya, itasaidia kuondoa GAP kati ya maskini na TAJIRI, shule za kata zitoe ELIMU Bora kuliko za Binafsi kama kipindi Cha Nyerere au kama ilivyo Kenya Kwa sasa. Tatizo Hilo litapungua sn.

Itaondoa ubadhirifu wa raslimali za sarikali, mikopo ya vikundi itawafikia wamama na wadada, wataacha KUKODISHA miili yao.
 
Sie hatuishi Kenya au s.afrika, TANZANIA tuna miiko yetu na utamaduni wetu.

Sisi ni Watanzania, usihalalishe UOVU, CCM ni WA kulaumiwa Kwa kila baya Kwa kuwa wanatoa watu wanaofanya maamuzi Kwa niaba yetu. Amen
Ni kukuambia kuwa hizo ni tabia za binadamu dunia nzima, huwezi kuzizuia..hazitokanani na CCM uchumi mkubwa ama mdogo kitu gani. Ni kukosa uelewa kudhani kuiwa chama cha upinzani kikiingia eti matatizo yote ya kimaadili yataisha
 
Ni kukuambia kuwa hizo ni tabia za binadamu dunia nzima, huwezi kuzizuia..hazitokanani na CCM uchumi mkubwa ama mdogo kitu gani. Ni kukosa uelewa kudhani kuiwa chama cha upinzani kikiingia eti matatizo yote ya kimaadili yataisha
Ndo Tubadili tupime hili na lile, wanang'ang'ania hapo Kwan ni mama zetu hao
 
mm huu mstari wa huyu mwamba sijauelewa kabisa mke mwema anapatikana kimboka kweli
Yeye anadai kuwa ukipata mke kule anakuwa hana mambo mengi sababu amemaliza uhuni wote hana kipya cha kufanya so, mke atatulia
 
Huku mitaa ya kwetu, mtoto wa miaka 12 anakuuzia papuchi, na mama yake anagawa mbususu! Baba mtu ananunua papuchi ya mke wa jirani yake! Yaani ni vurugu bin Vurugu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
NAPENDEKEZA SULUHISHO: Iwe ni marufuku mtu kuonekana hadharani iwe usiku au mchana akiwa amavalia mavazi ya kikahaba!! Tukubaliane kuwa:
1. Hadharani maana yake ni mbele ya watu wengine. Hata kwenye kumbi za starehe ni hadharani! Hata kwenye bar na vilabuni ni hadharani!!
2. Mavazi ya kikahaba ni:
  • Vazi lolote la kike ambalo halifiki nchi 6 chini ya magoti.
  • Vazi lolote ambalo mpasuko wako wa nyuma unazidi sehemu ya mgoti na kuonesha mapaja wakati mhusika anatembea.
  • Vazi lolote lililochanwa kwenye sehemu ya mapaja hivyo kuonesha mwili kupitia michaniko hiyo.
  • Vazi lolote linaloonesha sehemu ya matiti/maziwa ya mwanamke. Ule mfereji unaotenganisha matiti/maziwa ya
mwanamke haupaswi kuonekana
  • Vazi lolote linaloshikamana na mwili/linalobana mwili kiasi cha kutokutenganisha mwili na vazi (skin tight)
  • Vazi lolote linaloacha mgongo wazi. Kusiwe na uwazi chini ya mabega.
  • Vazi lolote linaloangaza/transparent na kuonesha nguo za ndani!
3. Atakayepatikana kuvaa mavazi ya kikahaba achapwe viboko hadharani.
4. Kama makahaba wanadai wako kwenye biashara, wakubali kufanya biashara zao bila kuleta kero kwa wengine. Kama makahaba nikikutana nao wakati narudi nyumbani usiku nikiwa na watoto wangu, lakini hawajavaa mavazi ya kikahaba, hakutakuwa na athari kwa wanangu!

Na wengine tuongeze makubaliano::
Watoto wako kaa nao nyumbani kwako, acha kusumbua watu lol.
 
Huko wamejiwekea utaratibu wao. Hao makahaba wametengewa maeneo yao maalum kwa kazi hiyo! Na wanalipa kodi.

Pia nyumba za starehe, nyumba za kulala wageni, nyumba za ibada, nk. zina maeneo yao maalum! Na wanatumia pia sound proof.

Ni tofauti na Bongo, ambako hakuna utaratibu wowote ule wa kueleweka. Baa, nyumba za wageni, nyimba za ibada na kumbi za starehe zimechangayana na makazi ya watu.
Mkuu nchi za ulimwengu wa 3 hayo matatizo yanafana...hakuna nchi ya sub sahara africa ambayo haina hili tatizo

Matatizo mengi tuliyonayo tunaweza kuyatatua wananchi kwa kubadilisha attitude tu, wala sio serikali

Haya mambo ya kudhani serikali inatakiwa iwapangie kila kitu ndio yametufikisha hapa
 
ZAMANI SINZA ILIKUNI FAHARI KUPANGA NYUMBA, KWA SBB YA UWEPO WA WASOMI.
SIKU HIZI NI MAKAZI YA NYUMBA NDOGO NA MAKAHABA NA MASHOGA NA WALEVI NA MATAPELI
Yaan bila kutajwa mashoga bado, khaaaah.
 
Dini haiwezi zuia watu kufanya umalaya watu wataacha umalaya kama wakiwa na kazi na wakiacha uvivu
 
Ila tuambizane ukweli humu, wazazi wameshindwa sana kutimiza wajibu wao katika malezi ya watoto!! mtoto wa kike unamwona anavaa uchi uchi hata mbele yako unategemea nini! Kina mama ndio kabisaa!!! mtoto uchi uchi na mama uchi uchi!!
Weka neno "baadhi " ya kina Mama ..... siyo wote wanafanya hayo
 
Tatizo wanaopaswa kushughulikia tatizo la makahaba na wao huenda ni wateja wa makahaba hao!! Ni sawa na kupeleka kesi ya ngedele kwa nyani ukimshitaki kula mahindi shambani kwako, wakati ngedele alikuwa na nyani wakila mahindi hayo!

NAPENDEKEZA: Wakuu wa wilaya zote za Dar wawe wanawake. Makamanda wote wa polisi mikoa yote ya kipolisi Dar wawe wanawake. Wakuu wa vituo vyote vya polisi wawe wanawake. Hao wote chini ya mkuu wa mkoa wa Dar MWANAUME bila shaka watafanya kazi nzuri!
Mbona bunge linaongozwa na hao lakini sarakasi ndo zimezidi?
 
Back
Top Bottom