Biashara ya ukahaba imekithiri Sinza na kusababisha wakazi kuhama nyumba zao

Na wa Mwanayamala, Tandika, Kinondoni, keko nao wamehama? ni watoto gani wanakuwa macho na kuranda barabarani nyakati za usiku, sema tu mwandishi alitaka kumpaisha mkuu wa wilaya ili aonekane anafganya kazi, akakague na na kuongea na wakuu wa Tanesco basi.
 
Nilitembelea rufiji hapo ikwiriri hali ni mbaya sana nikabahatika kufika mloka nako mambo ni fire..hakika huduma hii kabambe imewafikia...ni mwendo wa ulipo wapo.

#MaendeleoHayanaChama
Njoo hadi Kisaki hapa uone Malaya walivyo wengi, mshahara tushapata huku bwawa la Nyerere
 
Wanao paswa kukomesha hiyo hali nao ni wateja wa hao makahaba, nawambieni hali hiyo sio dar tu ni kote nchini, kwa sasa kulea watoto imekuwa ni mtihani mzito makahaba kila mahali, hakuna anayejali.
Hapana tatizo ni kuwepo mazingira wezeshi kama kumbi za starehe ndannk ya makazi ya watu
 
Hii biashara ya Sodoma na Gomola imeshaishinda Dunia.

Cha kufanya Serikali iwajengee nyumba flats wasajiliwe wapewe number walipe kodi - ili wateja waende sehemu moja kwa uhuru - watoke huku katika makazi yetu, ni aibu unapita na mama mkwe au na watoto unakutana na kituko kimevaa chupi tu ziwa nje mapema saa moja na nusu ucku.
 
Hahahaha Pole sana mkuu. Hama huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…