King 999
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,872
- 8,374
i wish hii post+comment yako ingekuep0 kabla ya mwezi wa 11 mwaka 2019. asee kilichonitokea sikai niamini kila nikikumbuka mtu from uMILLIONAIRE to nothing inauma mnoooo yaanMkuu anza kukopesha kwa kina mama ama ama kikundi ambao wanahitaji pesa za kudouble ama kuweka akiba ili wapewe mkopo taasisi flani.
Pale wanapopokea pesa zao na wewe huyo, Unachukua chako.
Na hii unawapa wale ambao wana uhakika ndani ya wiki mmoja pesa watakuwa wamepata.riba (30%)
Sent from my SM-J320F using Tapatalk