Biashara ya ukopeshaji pesa kwa riba

Biashara ya ukopeshaji pesa kwa riba

mifuko ya cement
Kuna jamaa anakwepa mkono wa sheria wa microfinance act kwa kumiliki hardware

Wanapokuja kukopa hela wanaandikisha kama wamekopa kifaa cha ujenzi

Mfano mtu anayekuja kukopa laki moja anaandikisha kama amekopa mifuko 6 ya simenti

Kwenye kudaiana jamaa anadai hela ya sementi lakini ki ukweli anachodai ni hela yake aliyotoa na riba yake

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa anakwepa mkono wa sheria wa microfinance act kwa kumiliki hardware

Wanapokuja kukopa hela wanaandikisha kama wamekopa kifaa cha ujenzi

Mfano mtu anayekuja kukopa laki moja anaandikisha kama amekopa mifuko 6 ya simenti

Kwenye kudaiana jamaa anadai hela ya sementi lakini ki ukweli anachodai ni hela yake aliyotoa na riba yake

Sent using Jamii Forums mobile app
huyu katumia akili na bamutu mingi iko inafanya hv

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
 
wapelele BoT wametoa grace period had oktoba 2020, polisi utawaambia umeshafanya application ya leseni yoka BOT, na BOT bado kujujibu kutokana na mchakato wa maandalizi ya noti mpya.
hapo wadawa wako wanaweza anza kulipa madeni yako.
wale wadaiwa wengi wao walikuwa wa mikoan kwa hyio washarud kwao

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
 
Yeah sure; ni aina flani ya ujanja ujanja. Na mbaya zaidi huwa hawa akiki kama Mali ni zako kweli ama za wizi: wao wanapokea tu.

Sema microfinance nyingi sikuhizj hazifuati taratibu kama hizi ulizoziorodhesha.( wanafanya watakavyo sababu mamlaka zimelala)

BoT wametoa muongozo mzuri ila kama navyojua Tanzania nchi yangu kwenye swala la ufuatilaji na utekelezaji wa sheria zilizowekwa Mara nyingi ni mdogo.
hawapokei tu, n lazma uwe na receipt au ushahid wa umiliki halali wa hyo mali

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
 
Wengine anakupa ATM Card yake na ikikaribia mwisho wa mwezi anaenda kusema kule bank kwamba amepoteza card yake na mwishowe pesa yake ataitolea ndani(counter).
ndugu yang hapa nimesumarize ila ni story ndef yan jamaa ana conection na mabank managers yaan kila mda anaenda kucheki salio lako yan mda mwngne anabadili mpaka namba ya simu ya kwny account such that mshahara ukiingia bas yy ndo anakuwa wa kwanza kujua afu pia wana connection na mapolisi nk

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
 
Loan sharking ni dhambi.Watu huwa wanachomewa nyumba zao na kutekwa na wanaowadai.Kuna jamaa alikatwa mapanga usiku kwa sababu ya biashara hii.
 
Una uzito wa kg ngapi mkuu?
Huwa hufanyi mazoezi?
Una kitambi?
Hii biashara ni gym nzuri sana[emoji851]
Kila la kheri!
Habari wana Jamiiforums

Kwa mtu ambaye anafanya biashara ya kukopesha pesa kwa riba tunaomba atupe ikoje na hasara zake zikoje na jinsi ya kutatua izo changamoto.

Natanguliza shukrani.. Maana nimevutiwa sana natamani niifanye

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshaifanya hii biashara ina faida na hasara zake.....

FAIDA:
-Ni biashara ambayo inajiendesha bila uangalizi/usimamiz wa karibu, unaweza kua unafanya mishe zako zngne na biashara inaenda tu.

-Faida na hasara znajifidiana humo kwa humo, kuna walipaj wazuri na vmeo..zile riba unazopata kutoka kwa walipaj wazuri znafidia za wale vimeo.

-Haina gharama za uendeshaji, hapa singumzii micro

HASARA:
-Kutolipwa hela zako kwa wakati na mda mwngine kutolipwa kabsa

-Kuvunja mahusiano na watu wako wa karibu, hili lazma likutokee unapofanya hii biashara haliepukiki

-Kufilisika, hili ndo kubwa kwenye hii biashara inaweza filisi mtaji wko wote...unaweza kuposha mtu akakimbia, akapatwa na umauti

Ushauri wangu, kwa wakati huu wazo lako la kuanzisha hii biashara achana nalo ngoja hili gonjwa lipite[emoji111]
 
Ana leseni kutoka benki kuu? Kama hana basi atakuwa anafanya biashara haramu na kuna siku itam-cost sana. Kuna watu wameingia kwenye matata kwa sababu ya kufanya hii shuguli bila leseni halali. Na mara nyingi hutokea mkopeshaji atakapokutana na mkopaji jeuri na kuamua kuuza mali yake. Mkopaji akimua kwenda mbele ya sheria basi vinafumuka vitu vingine amabvyo vitabaki vinamshangaza na kumliza mkopeshaji.
Watu sasa hivi wamekuwa wajanja baada ya kuona wanadhulumiwa. Sasa wanafanya hivi;

Wewe si unataka mkopo wa laki moja Basi tunaandikishana kwamba nimekupa laki na nusu na utatakiwa kuirudisha siku fulani ukishindwa mwezi ukiisha anakuita mnaandikisha na tena ile laki na nusu sasa inakuwa 225,000/=

Sasa hapa hakiiuza Mali yako huna pa kwenda maana makubaliano yanaonesha alikupa pesa bila riba.

God save us
 
Huu mzik ni hatar mzee alaf sasa kesi za madai mahakamn mdaiwa akishakibal kosa anapew achague yy atalip kwa muda gan kwahiy utashangaa pesa yako inazunguk mwaka mzima mkonon kwa mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka pia kuna kifungu katika kesi ya madai kinachosema mtu kama anakudai anaweza akachukua Mali yako inayolingana na kiasi anachokudai na akaiuza na asiwe na kesi ya Kujibu.

Wale wanaokubali nakuomba wapewe mda wa kulipa ni wale ambao hawajaweka kitu bond. Ukisha weka Mali yako bond we lipa tu.

God save us
 
Ni biashara inayolipa sana, ni kati ya Biashara Nzuri sana, ila mwisho wake ni mbaya sana! I naleta vilio, magomvi na kuharibu mahusiano!

Kama wewe ni mtu tu mwenye concious na Imani ya sini yeyote, tafuta namna iliyonyoka zaidi ya kutafuta pesa
Nilimwambia baby mama nataka kufanya hi kitu akanipinga kwa asilimia kubwa sana . sasa hapa naweza nifanye kimya kimya ama

God save us
 
yeye anacheza rough moja kubwa kuliko maana yy anakopesha watumish wa serikali na wanaoelekea kustaafu tuuu. anachofanya n kwamba anakupa mkopo then mnaandiishiana kwamba mshahara ukiingia bas yy anaenda kutoa pesa alokukopesha plus riba then ndo unaenda kuchukua ATM yako (mana wakat wa kuchukua mkopo unaacha atm, na sometime huwa anabadlisha hata paswed za atm ili usije ukaenda kusema umeipoteza). sasa bhaana kwa wastaafu ndo utacheka maana anaweza kumkopesha mtumishi laki 2 yaan ile mkopaji.anaondoka tu,jamaa anaongeza sifuri moja inakuwa milion 2 sasa njoo uone riba yake saasa asee watu huwa wanalia n balaa.

japo jamaa anapata pesa but its certain kind of robbery.

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
Huyo ni jangili

God save us
 
Kumbuka pia kuna kifungu katika kesi ya madai kinachosema mtu kama anakudai anaweza akachukua Mali yako inayolingana na kiasi anachokudai na akaiuza na asiwe na kesi ya Kujibu.

Wale wanaokubali nakuomba wapewe mda wa kulipa ni wale ambao hawajaweka kitu bond. Ukisha weka Mali yako bond we lipa tu.

God save us

Sijaongelea bond sijaongelea Biblia, nimesema ni magomvi, na kwangu mie amani Ina thaman sana! Kama una mtizamo tofauti ni sawa!
 
Sasa ukishasajili, hiyo biashara haiwezi kuwa na faida kiasi hicho,

Maana ninachojua mimi BOT ndio wanapanga hadi ukomo wa riba, sasa wakopeshaji hawa wa kitaa wanaweka riba ya 30%to 50% kwa mwezi ambayo kwa mwaka ni 360% to 600%. Hiki kitu BOT hawapo tayari kuruhusu

Kwa hiyo bora ku apply mbinu ya kuchukua mali za wakopaji kama bond ili kupiga maisha (japo ni illegal). Nadhani kuna loop holes za kukwepa mkono wa sheria hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeiekezea hiyo loop hole

God save us
 
[emoji120][emoji120] ubalikiwee
Nimeshaifanya hii biashara ina faida na hasara zake.....

FAIDA:
-Ni biashara ambayo inajiendesha bila uangalizi/usimamiz wa karibu, unaweza kua unafanya mishe zako zngne na biashara inaenda tu.

-Faida na hasara znajifidiana humo kwa humo, kuna walipaj wazuri na vmeo..zile riba unazopata kutoka kwa walipaj wazuri znafidia za wale vimeo.

-Haina gharama za uendeshaji, hapa singumzii micro

HASARA:
-Kutolipwa hela zako kwa wakati na mda mwngine kutolipwa kabsa

-Kuvunja mahusiano na watu wako wa karibu, hili lazma likutokee unapofanya hii biashara haliepukiki

-Kufilisika, hili ndo kubwa kwenye hii biashara inaweza filisi mtaji wko wote...unaweza kuposha mtu akakimbia, akapatwa na umauti

Ushauri wangu, kwa wakati huu wazo lako la kuanzisha hii biashara achana nalo ngoja hili gonjwa lipite[emoji111]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom