Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

hii vp bei
 
wanakata karume ila duu ni bei juu me nilitoka arusha nikavifata dar nilijuta kwanza inatakiwa sa 10 usiku umeshafika viatu viko moshi tena bei ni nzur kuliko dar japo mzigo wanachukua dar na nairobi
Mtumba wa moshi ni mzuri sana
 
asante sana nlikua natafuta comment kama hii ya kunitia moyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…