Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,961
Elfu sabini ndiyo niliyo maanishaHii ni laki saba au elf sabini kuweni siriazi bc!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elfu sabini ndiyo niliyo maanishaHii ni laki saba au elf sabini kuweni siriazi bc!
Kumbe watu tunamitaji tumetulia2!Elfu sabini ndiyo niliyo maanisha
OkSawa nitakutafuta nije kuchuku mzigo kwako kiongozi wangu
Mkuu hapo Memo mnachukua kwa bei ya jumla au rejareja. Wakati tunasoma tulikuwa tunatoroka kwenda kununua code kali za bei nafuu sana.wanakata karume ila duu ni bei juu me nilitoka arusha nikavifata dar nilijuta kwanza inatakiwa sa 10 usiku umeshafika viatu viko moshi tena bei ni nzur kuliko dar japo mzigo wanachukua dar na nairobi
Ni jumla na rejarejaMkuu hapo Memo mnachukua kwa bei ya jumla au rejareja. Wakati tunasoma tulikuwa tunatoroka kwenda kununua code kali za bei nafuu sana.
Mtu akihitaji kuchukua mzito kwako hapa mwanza anakupataje chief?144000 bei ya katoni kwa mwanza
Ni kweli hilo wazo zuri LAKINI tatizo NI NAMNA YA KUANZA UZI MPYA HUMU JF, UNAFANYAJE Mkuu?Hii comment ilitakiwa iwe uzi kabisa.
Mpe hapa hapa ili kila mwana JF afaidi, weye vipi?nitafte nikupe maelekezo
Meza ya Mjasiriamali Kariakoo, Kongo ni shilingi ngapi? Natamani sana kuwa na biashara huko Kongo.Baada ya kupitia huu uzi, hatimaye nimeanza rasmi biashara ya viatu kariakoo mtaa wa Kongo.
Nimepata na meza ya mjasiriamali.
Nimeanza na mtaji wa 3mil. Lengo ni kufikia mtaji wa 5mil.
Inategemea. Inaanzia 200kMeza ya Mjasiriamali Kariakoo, Kongo ni shilingi ngapi? Natamani sana kuwa na biashara huko Kongo.
Nitafute kwa namba yangu 0768480963Mtu akihitaji kuchukua mzito kwako hapa mwanza anakupataje chief?
Hiyo ni kukodi ??Inategemea. Inaanzia 200k
Ndio mkuuHiyo ni kukodi ??
Laki 2 ni kwa muda gani ?Ndio mkuu
Mbona ata mawazo tu ni mtaji mkuuKumbe watu tunamitaji tumetulia2!
Nitafute kwa namba yangu 0768480963
Kwa mwezi ChiefLaki 2 ni kwa muda gani ?
Sawa boss karibu sanaNitakucheki next week
Mkuu samahani niulize hiyo Vans umenunua kiasi gani na unauza kiasi ganiViatu vinalipa kweli kama una mtaj hata wa m1 baada ya mwaka unaweza kuwa na mtaj mkubwa sana .me nina biashara nyigine lkn baada ya vyuma kukaza. niliweka kimeza nje ya frem nikaanza na mtaji wa elf 70 nafata moshi naleta arusha vya mtumba. kuna kiatu unanunua elfu 5 kikiwa kichafu ukiosha unauza elf 20, kwa sasa mpaka natamani nihachie frem nibaki nje maana sikosi faida elfu 20 mpaka 30 kwa siku.View attachment 1583207View attachment 1583208View attachment 1583210View attachment 1583211View attachment 1583214View attachment 1583216