Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

Wakuu habarini? nimefikiria kufanya biashara ya sandals, kwawenye uzoefu nabiashara hii naombeni ushauri juu yamtaji ninaoweza kuanzanao pia kwakuchukulia bidhaa na range yabeizake mimi nipo lindi.... Natanguliza shukran.
 
Pamoja sana chief nakutakia mamuzi mema kwenye safari yako ya mafanikio
 
Wakuu habarini? nimefikiria kufanya biashara ya sandals, kwawenye uzoefu nabiashara hii naombeni ushauri juu yamtaji ninaoweza kuanzanao pia kwakuchukulia bidhaa na range yabeizake mimi nipo lindi.... Natanguliza shukran.
Unataka kuuza sandals gani boss mtumba au shop
 
Ukitaka upate pesa ata kwa mtaji mdogo chukua hizo aina mbili za hapo chini
 
Merry Bennety sio merubenet. Sambarai moja hiyo.
 
Nipe muongozo wa mtaji wa 100K kariakoo.
 
Nipe muongozo wa mtaji wa 100K kariakoo.
Kwa mtaji wa laki moja nakushauri uwekeze kwenye viatu vya mtumba huko ndio rahisi kupata faida ni vinatumia mtaji mdogo nenda karume kaperembe buti zako kali kisha piga maji kinachobaki ni wewe kutega tu kumbuka location bora ya kuuzia ni muhimu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…