Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

Wangetutengenezea na bandari ya Kakola/Kalema pia hapo ziwa Tanganyika ingependeza sana
 
Wewe ni muongo unafanya kazi kwenye viwanda vya Simenti kwenye keyboard za computer tu usidanganye watu sie kila siku tupo kwenye hii biashara sema tukuambie , tusafirisha simenti kupeleka Kongo Burundi na watoto wanaenda choo acha upotoshaji.
Wewe mi sio kama wewe mwongo mi ni mkweli asilimia mia ila wew ni mfanya biashara ndio unataka kutudandanya

Tatizo unafikiri wote tunakaa kwaajili ya kudanganya watu
 

sikuelewi unajua, wewe mwenyewe unasema hakuna kiwanda kinachozalisha tani 1000 kwa siku, hapohapo unakubali Twiga inazalisha mpk 900 kwa siku na unajua Tanga Cement ndie alikuwa mzalishaji mkubwa wa cement kabla ya kuingia kwa DANGOTE... jee alikua anazalisha chini ya 1,000??
 
Haha, et niwe mkweli,, ok kuna Dangote, Lake cement wazalishaj wa Nyati cement, Twiga cement huyu anapga zaid ya tani laki 1 kwa mwezi.

Ukihitaji mzigo karibu.
Mijadala yenye ushahidi kama hii inapendeza.
Huyo jamaa uliyemjibu alitaka kutuingiza kwenye kichaka bila ya wewe kufyeka kichaka chake. Na wapo wengi wa namna hiyo humu JF.
 
Lakini 'installed capacity' yao ni kubwa zaidi kuliko hizo namba ulizotoa au sio?
Maana yake ni kuwa kama wanazalisha chini ya kiwango cha uwezo wao, kuna sababu zinazopelekea kufanya hivyo; mojawapo ikiwa ni pamoja na upatikanaji wa soko, au.... Sasa soko kama linapatikana DRC si watazidisha uzalishaji huo hadi kufikia uwezo wao wa uzalishaji?

Labda ungeeleza sababu zinazosababisha wazalishe chini ya kiwango, hapo hoja yako ingeeleweka.
 
Pinga pinga kazini
Saruji itoke pakistan mpaka ifike kalemie ni bora kununua ya Tanzania
Hujui kwamba export price ipo chini brother?
 
Mkuu uzalishaji chini ya kiwango kunatokana na aina ya mitambo yao ya kuzalishia cement kwa mfano mtambo ulio zinduliwa na raisi ulikujengwa kwa mategemeo ya kuzalisha tani 100 kwa saa lakini unazalisha tani 55 mpaka 60 kwa SAA

Manake ni kuwa ukipiga hesabu ni kuwa uwezo wa kuzalisha tani 1000 kwa siku ni ngumu
 
Kuelewa ni ngumu kama unasoma kwenye makaratasi na hauko kiwandani
 
Mijadala yenye ushahidi kama hii inapendeza.
Huyo jamaa uliyemjibu alitaka kutuingiza kwenye kichaka bila ya wewe kufyeka kichaka chake. Na wapo wengi wa namna hiyo humu JF.
Mkuu njoo tukutembeze kwe viwanda ujue uzalishaji ulivyo na si kuingizwa vichaka kama unavyo aminishwa hapa
 
Saruji inayozalishwa na viwanda vya ndani ni nyingi kuliko mahitaji ya ndani mkuu
 
Saruji inayozalishwa na viwanda vya ndani ni nyingi kuliko mahitaji ya ndani mkuu
Unajua sio kwanba uzalishaji unazidi watumiaji ila garama za kununua ziko juu zaidi

Kwa mfano ukiwa mbeya cement yao inauzwa 14500 kwa 15500

Wakati huo ukifika Iringa inauzwa 13500 mpaka 14500 wakipunguza Bei Haita tosha na kwa cement inayo pelekwa nje inauzwa Bei ya chini kuliko bei tunayo uziwa huku kwetu
 
Mkuu hakuna barabara yoyote inayojengwa kutoka Namanyere kwenda kasanga na wala sababu na huo mpango haipo ila kuna barabara iko hatua za mwisho kutoka sumbawanga/Matai kwenda kasanga
Pili kuna zaidi ya bandari ndogo 28 plus bandari kuu ya Kigoma kwenye mwambao wa ziwa Rukwa ambazo zinapatikana kwa kila mkoa mfano bandari ya Kabwe na New Kipili port zinajengwa huko Nkasi na serikali iko katika hatua za upembuzi yakinifu ili kuziunganisha na barabara za lami
Kwa Katavi kuna bandari ya karema nayo itapanuliwa mwaka huu wa fedha na mchakato wa kuiunganisha kwa lami kutoka mpanda mjini unaendelea
Mwisho ni kwamba ni bahati mbaya sana upande wa pili wa DRC hakuna miji mikubwa wala rasilimali za madini au nyinginezo za kuchochea biashara tofauti na kusini huko Lubumbashi na kaskazini jimbo la Bukavu thus why muingiliano wa biashara kati ya Tzn na drc mwambao mwa ziwa Tangangika ni kiduchu sana labda siku za baadae sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…