Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

Ahsante mkuu,
Vp kuhusu faida
Yan
Mfuko mmoja wa cement unatoa tofali ngap?
Tipa moja ya mchanga inaweza toa tofali ngap?
Then gharama za kununua mashine hasa ya mkono coz ndio naanza

Kibarua wa kufyatua per bag nimlipe ela nga

I dont expect to have a maximum profit at the lowest risk
Mkuu cha msingi ubora wa tofali unazofyatua unategeneana na aina ya mchanga, aina ya cement na maji unayitumia kumwagilia.

Maji yakiwa na kemikali au chumvi sana sio mazuri kwa kufyatulia matofali...., cement bora itabidi uwaulize wauzaji maana ubira wa cement nahisi zimetofautiana kipindi cha karibuni kuna cement nzuri zaidi

Ujitahidi pia kumwagilia maji kwa siku 7 za mwanzo asubuhi na jioni ili kupata quality nzuri na, kuzuia tofali kutoa ufa ambao utafabya uoate hasara ...

Pia inabidi kuwe na mchanganyiko sahihi wa cement na mchanga kutoa tofali bora,.....

Pia kuna suala la usimamizi direct...yani uwepo eneo la tukio mda wote vibarua wanavyofyatua ili wasikuibie cement.....

Vilevile utafute eneo zuri mkuu, eneo ambalo linafikika kwa urahisi, au lenye ujenzi mkubwa unaoendelea...... Uwe na office eneo hilohilo, ili iwe rahisi kuwahudumia wateja kwa haraka, pia daftari la kutunza kumbukumbu muhimu sana,
 
Ahsante mkuu,
Vp kuhusu faida
Yan
Mfuko mmoja wa cement unatoa tofali ngap?
Tipa moja ya mchanga inaweza toa tofali ngap?
Then gharama za kununua mashine hasa ya mkono coz ndio naanza

Kibarua wa kufyatua per bag nimlipe ela nga

I dont expect to have a maximum profit at the lowest risk
Mkuu cha msingi ubora wa tofali unazofyatua unategeneana na aina ya mchanga, aina ya cement na maji unayitumia kumwagilia.

Maji yakiwa na kemikali au chumvi sana sio mazuri kwa kufyatulia matofali...., cement bora itabidi uwaulize wauzaji maana ubira wa cement nahisi zimetofautiana kipindi cha karibuni kuna cement nzuri zaidi

Ujitahidi pia kumwagilia maji kwa siku 7 za mwanzo asubuhi na jioni ili kupata quality nzuri na, kuzuia tofali kutoa ufa ambao utafabya uoate hasara ...

Pia inabidi kuwe na mchanganyiko sahihi wa cement na mchanga kutoa tofali bora,.....

Pia kuna suala la usimamizi direct...yani uwepo eneo la tukio mda wote vibarua wanavyofyatua ili wasikuibie cement.....

Vilevile utafute eneo zuri mkuu, eneo ambalo linafikika kwa urahisi, au lenye ujenzi mkubwa unaoendelea...... Uwe na office eneo hilohilo, ili iwe rahisi kuwahudumia wateja kwa haraka, pia daftari la kutunza kumbukumbu muhimu sana,
 
Mkuu cha msingi ubora wa tofali unazofyatua unategeneana na aina ya mchanga, aina ya cement na maji unayitumia kumwagilia.

Maji yakiwa na kemikali au chumvi sana sio mazuri kwa kufyatulia matofali...., cement bora itabidi uwaulize wauzaji maana ubira wa cement nahisi zimetofautiana kipindi cha karibuni kuna cement nzuri zaidi

Ujitahidi pia kumwagilia maji kwa siku 7 za mwanzo asubuhi na jioni ili kupata quality nzuri na, kuzuia tofali kutoa ufa ambao utafabya uoate hasara ...

Pia inabidi kuwe na mchanganyiko sahihi wa cement na mchanga kutoa tofali bora,.....

Pia kuna suala la usimamizi direct...yani uwepo eneo la tukio mda wote vibarua wanavyofyatua ili wasikuibie cement.....

Vilevile utafute eneo zuri mkuu, eneo ambalo linafikika kwa urahisi, au lenye ujenzi mkubwa unaoendelea...... Uwe na office eneo hilohilo, ili iwe rahisi kuwahudumia wateja kwa haraka, pia daftari la kutunza kumbukumbu muhimu sana,
Na je lori moja la mchanga linatumia mifuko mingapi ya cement.
 
Na je lori moja la mchanga linatumia mifuko mingapi ya cement.
Mkuu inategemea uchakachuaji utakaoufanya sasa mkuu mfano kuna wengine mfuko mmoja wa cement wanatoa tofali 55,60 wengine 70 ila kwa usahihi inatakiwa kutoa matofali 40 tu.....sasa licha ya hayo yote roli trip moja inakula ni mifuko 13 au 14 kutegemea na aina ya mchanga, na si zaidi ya hapo mkuu....
 
Mkuu inategemea uchakachuaji utakaoufanya sasa mkuu mfano kuna wengine mfuko mmoja wa cement wanatoa tofali 55,60 wengine 70 ila kwa usahihi inatakiwa kutoa matofali 40 tu.....sasa licha ya hayo yote roli trip moja inakula ni mifuko 13 au 14 kutegemea na aina ya mchanga, na si zaidi ya hapo mkuu....
Ahsante kwa kunifungua roho na macho mkuu nashukuru sana kwa ushauri wako live long son
 
Ahsante kwa kunifungua roho na macho mkuu nashukuru sana kwa ushauri wako live long son
Hamna shida mkuu, all the best.....ushauri wa mwisho kama utakuwa vizuri mfukoni unaweza muajiri jamaa ukawa unamlipa kwa tenda anazokuletea yani yeye anaenda zunguka mji mzima anatafuta tenda akipata tenda ndo unamlipa kiasi fulani kutokana na makubaliano......
 
Hamna shida mkuu, all the best.....ushauri wa mwisho kama utakuwa vizuri mfukoni unaweza muajiri jamaa ukawa unamlipa kwa tenda anazokuletea yani yeye anaenda zunguka mji mzima anatafuta tenda akipata tenda ndo unamlipa kiasi fulani kutokana na makubaliano......

Mkuu unaweza ni unhanisha na mtu wakala wa chokaa aliepo tanga anaeweza kusafirisha to geita
 
Habari wakuu.

Navutiwa sana kufanya aina hii ya biashara naomba msaada wa kujuzwa kuhusu yafuatayo:-

1 Mtaji
2 Upatikanaji wa vifaa
3 Faida
4 Changamoto
5 Location (iwe dodoma)
6 Ushauri kwa ujumla

Ahsante
Mtaji: Mteja ( Ukiwa na wateja, unaweza kuanza hata na mtaji SIFURI )

Upatikanaji wa vifaa: Dar ni nafuu zaidi ( ila usije kichwa kichwa ).

Faida: Ipo kulingana na mahitaji ya eneo.
 
Huyo mchangiaji wa kwanza kasha eleza vema mimi naeleza unataka uuze materials yapi, kwa sasa hii biashara ina kodi ya mapato kubwa kuliko biashara nyingine unazo zifahamu ww.

Unauza materials ya foundations ya nyumba au ya finishings.

Mi ningekushauri kwa sasa uza ya finishing mfano tails, rangi, wallpaper, toilets equip, vifaa umeme, n.k.

Cement, mchanga, misumara, nondo hayo ni foundations.

Fanya kazi wateja wakiaamu kuja wapo.
 
Huyo mchangiaji wa kwanza kasha eleza vema mimi naeleza unataka uuze materials yapi, kwa sasa hii biashara ina kodi ya mapato kubwa kuliko biashara nyingine unazo zifahamu ww.

Unauza materials ya foundations ya nyumba au ya finishings.

Mi ningekushauri kwa sasa uza ya finishing mfano tails, rangi, wallpaper, toilets equip, vifaa umeme, n.k.

Cement, mchanga, misumara, nondo hayo ni foundations.

Fanya kazi wateja wakiaamu kuja wapo.

Shukrani mkuu
 
Ukiuza bei nafuu utapiga hela hadi ukimbie

Mafundi watakuwa wanawatajia bei wateja wao ..bei za maduka mengine
Halafu wanakuja kwako ili wapate faida

Utajikuta unauza hadi unachoka

Lakini inategemea na aina ya bidhaa sio zote kwa mfano cement.
Vipi nikianza na uuzaji wa cement tu itakuwaje?
 
Back
Top Bottom