Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

kama unaweza.... chukua 5m tu katika mtaji wako.... kakusanye mafuta ya alizeti kutoka kwa wakamuaji pale kibaigwa, safirisha kisha sambaza madukani.... hutajutia
 
kama unaweza.... chukua 5m tu katika mtaji wako.... kakusanye mafuta ya alizeti kutoka kwa wakamuaji pale kibaigwa, safirisha kisha sambaza madukani.... hutajutia
hii ni ya msimu akiwa mfanyakazi atakua hana muda labda kipindi hiki cha corona mshauri biashara ya kilasiku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cement ktk hardware ni moja kati ya bidhaa zenye mzunguko sana

Kununulia kiwandani inatakiwa ujisajili kama wakala .. Mara nyingi makampuni ya cement yanakupa target ya idadi za gari (Tan 30)za kuzinunua kwa mwezi .. Mfano wapo wanaotaka ununue gar 10 kwa mwezi..

Hivyo wakala unajikuta lazima nawe ujumlishe ili kufikia target. Na kujumlisha unakuta 10m unafikia target kwa mwezi. Unashusha let say dukani kwako mifuko 200 mingine 400 unasambaza wanakupa cash unapress order tena ..

Mfano
Wapo wanaouza (kama haijabadilika) #32.5
11720x600= 7,032,000/=. Hapo jumlisha transport cost, jumlisha kushusha kila mfuko wastani 100/=
 
Ok japo kuna mtu kutoka Dangote cement kanipa mrejesho kuwa bei zake mpaka inafika kwngu ni 16200 16450 na 16700 kulingana na ubora wake 32N 42N na 42R katik uwiano huo.
Cement ktk hardware ni moja kati ya bidhaa zenye mzunguko sana

Kununulia kiwandani inatakiwa ujisajili kama wakala .. Mara nyingi makampuni ya cement yanakupa target ya idadi za gari (Tan 30)za kuzinunua kwa mwezi .. Mfano wapo wanaotaka ununue gar 10 kwa mwezi..

Hivyo wakala unajikuta lazima nawe ujumlishe ili kufikia target. Na kujumlisha unakuta 10m unafikia target kwa mwezi. Unashusha let say dukani kwako mifuko 200 mingine 400 unasambaza wanakupa cash unapress order tena ..

Mfano
Wapo wanaouza (kama haijabadilika) #32.5
11720x600= 7,032,000/=. Hapo jumlisha transport cost, jumlisha kushusha kila mfuko wastani 100/=

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii ni ya msimu akiwa mfanyakazi atakua hana muda labda kipindi hiki cha corona mshauri biashara ya kilasiku

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama itawezekana pia nipeni ushauri juu ya hii bei hapa kutoka Dangote company
IMG_20200506_134440.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na biashara hiyo inafanywa na watu wengi mno, tayari market yake ni saturated na hakuna wwtu wanaojenga sana siku hizi utapoteza hela tu. Tafuta biashara ambayo haina competition kubwa, be creative kama unataka pesa umiza kichwa. Cement retail ni bad business
 
Achana na biashara hiyo inafanywa na watu wengi mno, tayari market yake ni saturated na hakuna wwtu wanaojenga sana siku hizi utapoteza hela tu. Tafuta biashara ambayo haina competition kubwa, be creative kama unataka pesa umiza kichwa. Cement retail ni bad business
Huenda kwa mazingira hayo kaona opportunity hiyo na kajakupata uzoefu kwa wengine

Cement pesa haipotei hata kama hutakuwepo dukan .... hesabu IPO wazi
 
Nzega Tabora bado mji unakua hela ipo hapo muhim U balnce hela yako usianze na mabat yatakata mtaj kama nguvu ndogo muhm uskose Nondo japo pisi 60 mm10 mm12 zote 30 30 misumal nchi moja paka nchi tano na ya bat walau mfuko mmoja mmoja, siment japo mifuko 70 dangote 35 simba 35, rang za robo nusu lita moja lita nne lita kumi na lita ishirin japo kdogo kdogo, chokaa na gypsum powder singbody, weka bawaba nchi mbili paka nne nunua bawaba za shaba na zle rang ya gold.

Chukua gundi kidogo za mbao na za moto, weka mabomba ya choon makubwa na madogo chujio za choon kona za mabomba, weka blash nchi 2 3 4 na rola za kupakia rang, weka vifaa vnavyotumika na mafund kujengea mwiko pima maj tepu kamba mapipa n.k.

Weka wavu wa madirisha wa mbu wavu wa kuku weka waya mesh zle za matundu ya draft, weka vifaa vya umeme switch soket holder taa za barubu tube wire wa kufanyia wiring pima umeme mabomba ya umeme na tranka za kuptishia nyaya za umeme kwa kudokoa dokoa vtu vichache vchache ili mtu asikose kitu duka litakuwa vzur hapo Jumlisha na Maombi kumwomba Mungu Kwa Uwezo Wake Utafka Mbali All the best Anza usisubr upate milion100
 
Good! mchanganuo mzuri, Unafikiri angalau pesa kiasi gani unaweza anza biashara kwa bidhaa hizo tajwa?
 
Back
Top Bottom