Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntakupa maelezo mazuri sana kama ukiwa serious yatakusaidia.
Mimi naishi dubai huu ni mwaka wa 6 sasa, siku moja nikiwa likizo Tz niliona maduka mengi yakiwa na cement toka arabuni na pakistan. Wale watu wanapata faida kubwa sana. Mfuko mmoja wa kiwango cha juu kuununua na kuutuma mpaka port Dar itakugharimu kama Tsh 3500, sasa tatizo ni kwenye kuutoa.
Kipindi kile ufisadi bandarini ulikuwa mkubwa wakanisumbua sana japo nilikuwa na mifuko 100 tu kwa ajiri ya kibanda changu. Pia TBS watachukua mfuko mmoja ili kupima ubora na gharama ilikuwa TSH 20,000. Ilikuwa mwaka jana, sijuhi kwa sasa. Homework unayotakiwa kuifanya ni kutafuta agent mzuri mwenye ofisi na umwulize process ya utoaji ilivyo.
Navyojua chaji za TRA si kubwa sana ila bandarini walinisumbua. Nina hakika kuna faida kubwa sana kama ukijua utoaji bandarini ulivyo na utapata faida kubwa zaidi kama utanunua mzigo mkubwa.
Nakutakia kila la kheri gharama za ujenzi kwa wenzetu huku ni ndogo sana ila wana tatizo la plots za kujengea. Sisi tatizo ni gharama za vifaa vya ujenzi wakati maeneo tunayo.
Karibu sana najisikia vizuri nionapo mtu anatafuta maisha.
Dah, watanzania wagumu sanaMkuu Kilo Saba saba, naomba muongozo wa bei elekezi za vifaa vya aina mbalimbali vyote, vya ICT hapo Dubai
Wewe ulikuwa unadhani Wabongo hawapendi kupanda ndege? ona Fastjet walivyotoa offer ya shilling 32,000/= ticket zinavyogombewa. Na wewe kama ni mzalendo kweli shusha bei ya hizo bei ziwe chini ya bei za Dubai uone kama kuna mtu ataagiza bidhaa nje.Hivi Tanzania sisi ni lini tuta Export? Ni sawa kuimport kutoka huko kwa sababu ya Bei yake ila tutambue kwamba tua kuza uchumi wa Dubai na si Tanzania ni kama ilivyo China, Huwa najiuliza kama hadi Milango tunaagiza nje ni huzuni sana wakati tuna mbao na hata Milango inayo tengenezwa na Wabongo ni Bora zaidi ya hiyo ya Kutoka Nje,
Mimi nazani imefika wakati tupende vya kwetu hata kama ni vibaya kiasi gani, China walivyo anza Kujitegemea walikuwa wakitengeneza Bidhaa mbaya na walikuwa wakichekwa sana na Nchi za Ulaya, Ila jamaa hawakukata Tamaa, kuna ile Tiper yao ambayo Ulaya waliidhihaki sana,
Ila leo hii zile Nchi zote zilizo kuwa zinaicheka China ziko mahututi na imebakia Moja tu nayo ni Ujerumani ambayo nayo itapitwa muda si mrefu,
Wewe akili yako ni ndogo kama puwa yako. wewe ulikuwa unadhani Wabongo hawapendi kupanda ndege? ona Fastjet walivyotoa offer ya shilling 32,000/= ticket zinavyogombewa. Na wewe kama ni mzalendo kweli shusha bei ya hizo bei ziwe chini ya bei za Dubai uone kama kuna mtu ataagiza bidhaa nje.
wewe ndo kuku kabisa na hakuna unacho jua, na ndo wale wl wanao apply CIVICS kwenye maswala ya Uchumi wa Nchi, kwani wao waliaanzia wapi? au unazani na nwao walianza kwa kushusha bei? China yenyewe bidhaa zake zamani zilkuwa ni ghali tu kama za Ulaya, tatizo unatumia Masaburi tu,
Ishu kama Milando au thamani za Ndani, Mbona za Kitanzania ni Bora kabisa kimataifa, ulisha wahi ona Thamani zinazo tengenezwa na Jeshi la Magereza? Ni bora kimataifa, Ila wabongo bora tukanunua zile za maghumashi kutoka Dubai,
Mwenzio anaongelea mambo ya bei na mfumo m-bovu wa kuendesha uchumi wa nchi hasa utitiri wa kodi. Mbao inatoka hapo Muheza maushuru njiani kibao hapo bado haijafika Dar kukung'utwa VAT. Mpaka magereza waipate na kuifanyia kazi ya kochi au mlango bei ishafika mara tano ya ile ya mbao na hapo bado tena kuchajiwa Vat ya pili kama mlango safi au kiti kwenye shoo room. Dubai wanaipata mbao yetu kwa robo tu ya makodi na maushuru ya kushibisha matumbo ya mafisadi utakayopambana nayo hapa bongo.wewe ndo kuku kabisa na hakuna unacho jua, na ndo wale wl wanao apply CIVICS kwenye maswala ya Uchumi wa Nchi, kwani wao waliaanzia wapi? au unazani na nwao walianza kwa kushusha bei? China yenyewe bidhaa zake zamani zilkuwa ni ghali tu kama za Ulaya, tatizo unatumia Masaburi tu,
Ishu kama Milando au thamani za Ndani, Mbona za Kitanzania ni Bora kabisa kimataifa, ulisha wahi ona Thamani zinazo tengenezwa na Jeshi la Magereza? Ni bora kimataifa, Ila wabongo bora tukanunua zile za maghumashi kutoka Dubai,
Kaka vya kwetu viko wapi ?kila kitu Mwinyi na Mkapa waliuza sasa kuna vitu gani au ni viwanda vipi vinavyozalisha Tanzania,hata vilivyopo bidhaa zake ni aghali kuliko bidhaa za nje,au kama unasema huenda tununue asali kutoka Tabora,ilaumiwe CCM na serikali yake na si wananchi ambao hawana kauli na michongo ya 10% waliyopata viongozi kwa kuuza viwanda tulivyokuwa navyo,Urafiki ,UFI vimekuwa yard za magari na nyumba za mapopo,si asavali kununua vitu Dubai bana,Tanzania iliondoka na Nyerere wacha kila mtu aangalie ustaarabu wake,pia waambie waliohodhi hela kwenye mabenki Uswisi warudishe wajenge viwanda hapa nchini ndipo tununue bidhaa made in TanzaniaHivi Tanzania sisi ni lini tuta Export? Ni sawa kuimport kutoka huko kwa sababu ya Bei yake ila tutambue kwamba tua kuza uchumi wa Dubai na si Tanzania ni kama ilivyo China, Huwa najiuliza kama hadi Milango tunaagiza nje ni huzuni sana wakati tuna mbao na hata Milango inayo tengenezwa na Wabongo ni Bora zaidi ya hiyo ya Kutoka Nje,
Mimi nazani imefika wakati tupende vya kwetu hata kama ni vibaya kiasi gani, China walivyo anza Kujitegemea walikuwa wakitengeneza Bidhaa mbaya na walikuwa wakichekwa sana na Nchi za Ulaya, Ila jamaa hawakukata Tamaa, kuna ile Tiper yao ambayo Ulaya waliidhihaki sana,
Ila leo hii zile Nchi zote zilizo kuwa zinaicheka China ziko mahututi na imebakia Moja tu nayo ni Ujerumani ambayo nayo itapitwa muda si mrefu,