Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Hivi maduka ya vifaa vya pikipiki Kariakoo yote ni ya vifaa vya Jumla?Fundi ni muhimu sana kuliko kitu kingine
1.uwe na fundí
2.uwe na location
3.Mtaji kias
Kkoo mtaa wa donge,swahili etc ndo mitaa ambayo tunapatikana wauzaj Wa jumla, usisite kututembelea
Bidhaa muhimu ni nyingi na zinategemeana na location na msimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara hii inaweza kugharimu bei gani mpaka duka likamilike??Ndugu hiyo biashara nimefanya faida ni kubwa lakini inakuja na masuala ya makadirio, kodi na usumbufu kadhaa!.. Pia ili uione faida isiyo na jasho sana uza spea feki, vifaa orijino kwa wabongo ni kama laana!.
Kitu kingine jua sana kufanya matangazo!.. Jishughulishe na vituo vya matangazo pamoja na kujitolea sana kuhudumia mteja kama ndio siku ya kwanza kuja dukani kwako!..
Uza spea mchanganyiko ukitaka tamaa ya faida kubwa lakini ukitaka jenga jina na heshima uza spea orijini pekee!.. Biashara ya spea imeingiliwa sana ukiamua kuwa wazi niambie eneo unalotakafungua Tz nikupe watu wa kukuongoza na ushauri!.
Nakutakia kila laheri kwenye biashara hiyo!.
Ndugu hiyo biashara nimefanya faida ni kubwa lakini inakuja na masuala ya makadirio, kodi na usumbufu kadhaa!.. Pia ili uione faida isiyo na jasho sana uza spea feki, vifaa orijino kwa wabongo ni kama laana!.
Kitu kingine jua sana kufanya matangazo!.. Jishughulishe na vituo vya matangazo pamoja na kujitolea sana kuhudumia mteja kama ndio siku ya kwanza kuja dukani kwako!..
Uza spea mchanganyiko ukitaka tamaa ya faida kubwa lakini ukitaka jenga jina na heshima uza spea orijini pekee!.. Biashara ya spea imeingiliwa sana ukiamua kuwa wazi niambie eneo unalotakafungua Tz nikupe watu wa kukuongoza na ushauri!.
Nakutakia kila laheri kwenye biashara hiyo!.
Samahani mkuu kama hautojari spea za pikipiki ulikuwa unachukulia wapi kwenye bei kidogo ya wastani
Msaada mkuu kama uliipataMi ninashida Na softcopy ya spea za piki piki kama kuna Mwenye nayo Tafadhali.
Biashara yoyote ile unaweza fanya ila vitu vikuu ambavyo lazima viwe checked:
1. Location
2. Capital (point kuu)
3. A,B,C za hiyo biashara.
Kama umeamua kufanya biashara hii na huna ujuzi hata wa kufungua taili nenda veta kuna short courses piga ili uwe na ABC
Maturity ya biashara yako hapa uwe mvumilivu sana maana unaweza dhani umechagua wrong business kipindi hiki kigumu unaweza fungua asubuhi mpaka jioni na usiuze hata 500.
Mkuu Tugusie kidogo kuhusu mtaji na Machimbo ya kupata spea kkoo..Ndugu hiyo biashara nimefanya faida ni kubwa lakini inakuja na masuala ya makadirio, kodi na usumbufu kadhaa!.. Pia ili uione faida isiyo na jasho sana uza spea feki, vifaa orijino kwa wabongo ni kama laana!.
Kitu kingine jua sana kufanya matangazo!.. Jishughulishe na vituo vya matangazo pamoja na kujitolea sana kuhudumia mteja kama ndio siku ya kwanza kuja dukani kwako!..
Uza spea mchanganyiko ukitaka tamaa ya faida kubwa lakini ukitaka jenga jina na heshima uza spea orijini pekee!.. Biashara ya spea imeingiliwa sana ukiamua kuwa wazi niambie eneo unalotakafungua Tz nikupe watu wa kukuongoza na ushauri!.
Nakutakia kila laheri kwenye biashara hiyo!.
Ni sahihi ukishafungua biashara muweke fundi pembeni kwa sharti la kumuuzia spareKuna rafiki yangu alianza hii biashara kwa mtaji wa mil 1.5 mambo yanaenda vizuri, yeye alitafuta location nzuri karibu na wanapopaki pikipiki na vile vile akatafuta fundi akawa anatengenezea hapo hapo.
Mkuu vip ulifanikiwa??Mkuu gkileo, mi nina frem ya biashara napenda kujua nikiwa na milion moja na.nusu naweza kufanya biashara hiyo ya vifaa kwa rejareja?
Mkuu hicho kipengere kimenivuta mnomimi ntakufungulia e-shop
Mkuu habari yako..!? Ulifanikiwa kuanza hii Biashara!?Asante mkuu kwa ushauri
Kuhusu kiasi cha mtaji, ungesema hata kiasi kwa uzoefu wako
Sent using Jamii Forums mobile app