Biashara ya vipuri vya pikipiki: Ushauri, michango, mawazo

Biashara ya vipuri vya pikipiki: Ushauri, michango, mawazo

Kwa uzoefu wangu kwakuwa hii biashara, ya spares za pikipiki especially bajaj nishawahi kufanya. Vitu vya msingi at list dukani kwako visikosekane ni kama vifuatavyo:- oil,Bering,gasket, bleckshoe,sporkect ,blag,rings,block, cilinder head ivyo kwa uchache.Kwa ushauri lazima uwe na fundi pembeni na ofic yako .
ongeza,cable za klach,side mirror,tairi,tube,indicator za sanlg na boxer,gia liva(chuma cha kupigia kiki) bolt nati za saizi kumi bulbu kubwa na ndogo,betri dry,cheni,reflekta,kava za taa za nyuma,honi,switch ya taa za bleki hizi nazo ni fast moving spea
 
ongeza,cable za klach,side mirror,tairi,tube,indicator za sanlg na boxer,gia liva(chuma cha kupigia kiki) bolt nati za saizi kumi bulbu kubwa na ndogo,kava za taa za nyuma,honi,switch ya taa za bleki hizi nazo ni fast moving spea
Ya kiongoz bolt size zote pamoja na washell ila changamoto kwa saizi kampuni ni nyingi za speare
 
Mimi nipo kwenye magari ila nitakushauri hapo number 2,usikose kuweka vimiminika hasa oils za kupima hii unanunua dumu la 20 litter unapima kwenye kopo bodaboda wengi ndo wanazotumia pamoja na brake fluids,pia oil kama Mogas,Oryx International na Total ndo nyingi wanazotumia.oil zinachangamsha sana biashara.

Pia ni vizuri umpate fundi mzuri wa kukaa eneo lako la biashara,coz wateja wengi wakinunua spare huwa wanapenda wafungiwe pia fundi atakuuzia vitu vyako kwa wateja waliomzoea ambao atawaita alipo.

Good luck!

Sent using Redmi Note 5
 
Kwa uzoefu wangu kwakuwa hii biashara, ya spares za pikipiki especially bajaj nishawahi kufanya. Vitu vya msingi at list dukani kwako visikosekane ni kama vifuatavyo:- oil,Bering,gasket, bleckshoe,sporkect ,blag,rings,block, cilinder head ivyo kwa uchache.Kwa ushauri lazima uwe na fundi pembeni na ofic yako .



ongeza,cable za klach,side mirror,tairi,tube,indicator za sanlg na boxer,gia liva(chuma cha kupigia kiki) bolt nati za saizi kumi bulbu kubwa na ndogo,betri dry,cheni,reflekta,kava za taa za nyuma,honi,switch ya taa za bleki hizi nazo ni fast moving spea

Chukua ushauri wa hawa wadau wawili,pia kuna vitu vya kusaidiana na fundi ikitokea mteja akanunua kitu na ni lazima viwepo kama Araldite,Epoxy Quick,{Gasket maker,hizi kuna kubwa na ndogo} na Super glue.

Kumbuka biashara ni uvumilivu,usianzishe biashala kichwani ukiwa na mawazo uliyofundishwa darasani kwamba utaanza kuiona faida ndani ya miezi sita ya mwanzo kama haikuwa hivyo basi ufunge duka,hapana!!!wengi huwa tunashindwa kuendana na hali halisi ya biashara kwa kudhani faida inaonekana mapema hasa kwa mtu anayeanza akiwa na mtaji mdogo maana inafika mahali faida utakayoipata ktk bidhaa hii itabidi uigeuze iwe mtaji wa kununua bidhaa nyengine ambayo haukuwa nayo hivyo hivyo mpaka unajikuta na wewe vitu vyote unavyo hapo ndo utakapoanza kuiona faida yako.

Faida ya mfanyabiashara aneyeunga unga huanza kuiona ndani ya mwaka na nusu au miaka miwili,hili linatakiwa likae kichwani mwako na ulielewe kweli kweli.

Sent using Redmi Note 5
 
Mimi nipo kwenye magari ila nitakushauri hapo number 2,usikose kuweka vimiminika hasa oils za kupima hii unanunua dumu la 20 litter unapima kwenye kopo bodaboda wengi ndo wanazotumia pamoja na brake fluids,pia oil kama Mogas,Oryx International na Total ndo nyingi wanazotumia.oil zinachangamsha sana biashara.

Pia ni vizuri umpate fundi mzuri wa kukaa eneo lako la biashara,coz wateja wengi wakinunua spare huwa wanapenda wafungiwe pia fundi atakuuzia vitu vyako kwa wateja waliomzoea ambao atawaita alipo.

Good luck!

Sent using Redmi Note 5

Mkuu kwny spea za magari used toka Japan tunaomba msaada wa abcd angalau mtaji kiasi gani wa kuanzia,fast moving items na mzigo unapatikama hapa hapa Bongo au mpk kwenda kufunga mzigo japan/Dubai mkuu?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu kwny spea za magari used toka Japan tunaomba msaada wa abcd angalau mtaji kiasi gani wa kuanzia,fast moving items na mzigo unapatikama hapa hapa Bongo au mpk kwenda kufunga mzigo japan/Dubai mkuu?


Sent from my iPhone using JamiiForums

Biashara ya spare za used nimeiacha mwaka wa pili huu mkuu kipindi hiko nilikuwa nadili hasa na body parts ila mchina alitoa copy vitu vingi soko likavurugika.

Kwa sasa naogopa kumshauri mtu kuingia ktk biashara hii ila mtaji wake at least uwe na $30,000 hii nimekadiria kwa mjasiliamali wa kawaida wakushirikiana na wenzake kujaza kontena maana container kulijaza peke yako linataka mtu uwe na pumzi kweli kweli.

Ile biashara ilikuwa nzuri sana ila tatizo spare mpya zikaivuruga,unakuta mfano headlight ya Raum new au IST used inauzwa 250K mchina anaitoa taa hiyo hiyo japo kwa low quality ila bei ni rafiki 120K tu so kwa uchumi huu wa Magu mtu atakimbilia plan b ambayo ni Chinese na wewe uliyeenda kuchukua mzigo Dubai unabaki unaifuta taa yako vumbi tu haiuziki kwa wakati japo wapo ambao bado wanavumilia maumivu kwa kununua spare used.

Niwe mkweli mkuu kwa sasa siwezi kusema vitu vinavyotembea faster coz nipo nje ya chuck kwenye hiyo kazi kwa muda kidogo.
 
hapo ndo anatakiwa akaulize kampuni geniune wakiwemo "SFQZ" kama sijakosea jina
SFQZ, SP SANLING na Tire KINGSTONE hivi ni vitu vya kampuni ya 7 General ni imara sana ila ukinunua inategemea na eneo kama wateja ni waelewa maana sehemu nyingine wateja wanapenda vitu vya bei vya bei rahisi tu bila kujali uimara wa kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fundi ni muhimu sana kuliko kitu kingine

1.uwe na fundí

2.uwe na location

3.Mtaji kias

Kkoo mtaa wa donge,swahili etc ndo mitaa ambayo tunapatikana wauzaj Wa jumla, usisite kututembelea

Bidhaa muhimu ni nyingi na zinategemeana na location na msimu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fundi ni muhimu sana kuliko kitu kingine

1.uwe na fundí

2.uwe na location

3.Mtaji kias

Kkoo mtaa wa donge,swahili etc ndo mitaa ambayo tunapatikana wauzaj Wa jumla, usisite kututembelea

Bidhaa muhimu ni nyingi na zinategemeana na location na msimu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu kwa ushauri

Kuhusu kiasi cha mtaji, ungesema hata kiasi kwa uzoefu wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nipo kwenye magari ila nitakushauri hapo number 2,usikose kuweka vimiminika hasa oils za kupima hii unanunua dumu la 20 litter unapima kwenye kopo bodaboda wengi ndo wanazotumia pamoja na brake fluids,pia oil kama Mogas,Oryx International na Total ndo nyingi wanazotumia.oil zinachangamsha sana biashara.

Pia ni vizuri umpate fundi mzuri wa kukaa eneo lako la biashara,coz wateja wengi wakinunua spare huwa wanapenda wafungiwe pia fundi atakuuzia vitu vyako kwa wateja waliomzoea ambao atawaita alipo.

Good luck!

Sent using Redmi Note 5
Asante kaka kwa ushauri maridhawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara ya spare za used nimeiacha mwaka wa pili huu mkuu kipindi hiko nilikuwa nadili hasa na body parts ila mchina alitoa copy vitu vingi soko likavurugika.

Kwa sasa naogopa kumshauri mtu kuingia ktk biashara hii ila mtaji wake at least uwe na $30,000 hii nimekadiria kwa mjasiliamali wa kawaida wakushirikiana na wenzake kujaza kontena maana container kulijaza peke yako linataka mtu uwe na pumzi kweli kweli.

Ile biashara ilikuwa nzuri sana ila tatizo spare mpya zikaivuruga,unakuta mfano headlight ya Raum new au IST used inauzwa 250K mchina anaitoa taa hiyo hiyo japo kwa low quality ila bei ni rafiki 120K tu so kwa uchumi huu wa Magu mtu atakimbilia plan b ambayo ni Chinese na wewe uliyeenda kuchukua mzigo Dubai unabaki unaifuta taa yako vumbi tu haiuziki kwa wakati japo wapo ambao bado wanavumilia maumivu kwa kununua spare used.

Niwe mkweli mkuu kwa sasa siwezi kusema vitu vinavyotembea faster coz nipo nje ya chuck kwenye hiyo kazi kwa muda kidogo.

Thnxs sana for the info mkuu,so mtu anaeza kuendana na soko kwa kununua hizo spares za kichina ili akidhi mahitaji ya walaji sio mkuu?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Thnxs sana for the info mkuu,so mtu anaeza kuendana na soko kwa kununua hizo spares za kichina ili akidhi mahitaji ya walaji sio mkuu?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Yes kaka,wengi sasa hivi wananunua vitu vipya kutokana na bei iko chini na vinakuwa na uhakika wakupatikana japo wapo ambao bado wanapenda bidhaa za used.
 
Yes kaka,wengi sasa hivi wananunua vitu vipya kutokana na bei iko chini na vinakuwa na uhakika wakupatikana japo wapo ambao bado wanapenda bidhaa za used.

Shukrani sana mkuu for the info,be blessed.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom