Biashara ya vipuri vya pikipiki: Ushauri, michango, mawazo

Biashara ya vipuri vya pikipiki: Ushauri, michango, mawazo

Wale wenye biashara za duka. Mnafanyaje Ufuatiliaji wa mauzo yote na bidhaa zilizopo dukani?

Unakuta duka lina makorokoro meengi tofauti tofauti, huwa mnafanyaje kujua mauzo ya siku husika? Bidhaa zipi zimeuzwa? Bidhaa zipi zimo dukani, n.k
 
Dimma,

Kwanza kabisa hongera kwa uthubutu, pili biashara ya spear usiifanye kama hujui hata kutofautisha bearings na matumizi yake wapi inafungwa na vifaa vingine kama hivyo.

Pia biashara hyo inahitaji uwepo wako ili kuweza kutambua mzunguko mzima wa biashara yako unaendaje, hiyo ikiwa ni pamoja na kujua vifaa gani vinakuwa rahisi kutoka ili visikosekane. Hapo ndio inaweza kuwa starting point yako. Spear sio kama ubwabwa kuwa umkabidhi jungu muuzaji huku ukiamini utamuhesabia plates.

Kingine ni location; hii Ina matter zaidi hasa mwanzoni unapo fikiria kufungua. MWISHO ni aina ya spear unayonunua ni kampuni gani,kuna spear ukinunua baada ya wiki ishasagika, kufanya return hutaruhusiwa Wala kuweza, hivyo umakini unahitajika.

Fuatilia hayo kwa muhtasari ukiwa tayari karibu kkoo tukuhudumie kwa Bei ya jumla nawe ukauze kwa rejareja.

Wasalaam.
 
Ili uwe sawa ungeenda kwenye maduka ya ma pro"wauzaji wa hizo spea ungekaa nao hata miezi 3 kujua ins and out ya hiyo biashara then ndio uamue kufungua yako. Kumbuka biashara yyte ili utengeneze faida lazima ujitoe kisawa sawa.
 
Imenifikirisha.

Kama huna idea hata chembe badili gia angani uangalie uwezekano wa kufanya biznes nyingine vinginevyo mbele ni giza!

Katika maisha kuna 'kujifunza' na 'kujaribu'.

Wewe mambo yote uliyoyafanya katika utafutaji wa riziki, ulizaliwa na uzoefu/uelewa nayo?

Katika utafutaji wa pesa duniani hapa, there's nothing risk-free. Najifunza then nafanya. Siogopi kupoteza.
 
Kwa kuwa umesema ni duka dogo nashauri uweke records za kila item katika mzigo unaoanza nao mf sprocket 8, bulb kubwa 6 nk kisha muuzaji anaandika kwenye daftari kila anapouza item fulani na idadi yake.

Mwisho wa wiki unahakiki kupitia list yako umeuza bulb ngapi na awali ulikuwa nazo ngapi. (hii ni simple stock taking kwa duka dogo na lengo ni kujua bidhaa ulizo nazo against ulizouza).

Ila kama lengo ni kufuatilia mlolongo wa mauzo in relation to utendaji na uaminifu wa muuzaji hilo ni suala lingine.
 
Kwanza kabisa hongera kwa uthubutu,pili biashara ya spear usiifanye Kama hujui hata kutofautisha bearings na Matumizi yake wapi inafungwa na vifaa vingine Kama hvyo.

Pia biashara hyo inahitaji uwepo wako ili kuweza kutambua mzunguko mzima wa biashara yako unaendaje,hiyo ikiwa ni pamoja na kujua vifaa gani vinakuwa rahisi kutoka ili visikosekane. Hapo ndio inaweza kuwa starting point yako. Spear sio kama ubwabwa kuwa umkabidhi jungu muuzaji huku ukiamini utamuhesabia plates.

Kingine ni location; hii Ina matter zaidi hasa mwanzoni unapo fikiria kufungua.MWISHO ni aina ya spear unayonunua ni kampuni gani,kuna spear ukinunua baada ya wiki ishasagika,kufanya return hutaruhusiwa Wala kuweza, hvyo umakini unahitajika.

Fuatilia hayo kwa muhtasari ukiwa tayari karibu kkoo tukuhudumie kwa Bei ya jumla nawe ukauze kwa reja reja.
Wasalaam

Mkuu, ahsante kwa kunipa mwanga. Umenifunza kitu
 
Kwa kuwa umesema ni duka dogo nashauri uweke records za kila item katika mzigo unaoanza nao mf sprocket 8, bulb kubwa 6 nk kisha muuzaji anaandika kwenye daftari kila anapouza item fulani na idadi yake. Mwisho wa wiki unahakiki kupitia list yako umeuza bulb ngapi na awali ulikuwa nazo ngapi. (hii ni simple stock taking kwa duka dogo na lengo ni kujua bidhaa ulizo nazo against ulizouza).

Ila kama lengo ni kufuatilia mlolongo wa mauzo in relation to utendaji na uaminifu wa muuzaji hilo ni suala lingine.

Positive and very relevant! Mkuu umelielewa vyema bandiko langu. Shukrani.

Yes, ni duka dogo tu la kuanzia. Hapo hapo kwenye stock taking: Bidhaa zilizopo against zilizouzwa. Hiki ndicho haswa nataka kujifunza. Kiongozi nakushukuru kwa mwanga huo as starting point.
 
Kwanza kabisa hongera kwa uthubutu,pili biashara ya spear usiifanye Kama hujui hata kutofautisha bearings na Matumizi yake wapi inafungwa na vifaa vingine Kama hvyo.

Pia biashara hyo inahitaji uwepo wako ili kuweza kutambua mzunguko mzima wa biashara yako unaendaje,hiyo ikiwa ni pamoja na kujua vifaa gani vinakuwa rahisi kutoka ili visikosekane.hapo ndio inaweza kuwa starting point yako.spear sio kama ubwabwa kuwa umkabidhi jungu muuzaji huku ukiamini utamuhesabia plates.kingine ni location;hii Ina matter zaidi hasa mwanzoni unapo fikiria kufungua.MWISHO ni aina ya spear unayonunua ni kampuni gani,kuna spear ukinunua baada ya wiki ishasagika,kufanya return hutaruhusiwa Wala kuweza,hvyo umakini unahitajika.

Fuatilia hayo kwa muhtasari ukiwa tayari karibu kkoo tukuhudumie kwa Bei ya jumla nawe ukauze kwa reja reja.

Wasalaam
Lengo ni kusaidiana. Hapa naona umeibua hoja mpya ambayo ni nzuri kwa beginner ingawa mwenye uzi hakuomba msaada katika hili.

Hoja ya list ya vifaa muhimu vya kuanza navyo dukani.

Nafahamu "brand" ya baadhi ya vifaa inategemea na eneo ulilopo lakini "aina" ya vifaa mara nyingi ni ile ile.

Namaanisha AINA ya kifaa ni brake handle,switch,dashboard lakini BRAND ni GN, HUOJIAO,BOXER,SANLG nk. Kwa hiyo ukiona inafaa unaweza kuorodhesha aina ya vifaa kwa anayehitaji aipate hapa lakini brand ataamua mwenyewe baada ya kufanya utafiti kwenye eneo lake kwa kuzingatia pikipiki gani zipo kwa wingi na vifaa vinavyorekebishwa mara kwa mara na mafund wa eneo hilo
 
Positive and very relevant! Mkuu umelielewa vyema bandiko langu... shukrani.

Yes, ni duka dogo tu la kuanzia. Hapo hapo kwenye stock taking: Bidhaa zilizopo against zilizouzwa. Hiki ndicho haswa nataka kujifunza. Kiongozi nakushukuru kwa mwanga huo as starting point.
Mkuu hapo baadae unaweza kufanya stock taking kwa kutumia programme za kompyuta,niliwahi kusoma humu JF kuna member anauza hiyo programme kwa bei nzuri tu itasaidia sana hata kwenye vipengele vingine vya management.
Wengi tunahofia muuzaji uliyemuajiri anaweza kuingiza vifaa vyake akauza pale ' free ride' wakat vya kwako vinabaki idadi ile ile.
 
Mkuu hapo baadae unaweza kufanya stock taking kwa kutumia programme za kompyuta,niliwahi kusoma humu JF kuna member anauza hiyo programme kwa bei nzuri tu itasaidia sana hata kwenye vipengele vingine vya management.
Wengi tunahofia muuzaji uliyemuajiri anaweza kuingiza vifaa vyake akauza pale ' free ride' wakat vya kwako vinabaki idadi ile ile.

Shukrani sana mkuu.
 
Lengo ni kusaidiana. Hapa naona umeibua hoja mpya ambayo ni nzuri kwa beginner ingawa mwenye uzi hakuomba msaada katika hili.

Hoja ya list ya vifaa muhimu vya kuanza navyo dukani.

Nafahamu "brand" ya baadhi ya vifaa inategemea na eneo ulilopo lakini "aina" ya vifaa mara nyingi ni ile ile.

Namaanisha AINA ya kifaa ni brake handle,switch,dashboard lakini BRAND ni GN, HUOJIAO,BOXER,SANLG nk. Kwa hiyo ukiona inafaa unaweza kuorodhesha aina ya vifaa kwa anayehitaji aipate hapa lakini brand ataamua mwenyewe baada ya kufanya utafiti kwenye eneo lake kwa kuzingatia pikipiki gani zipo kwa wingi na vifaa vinavyorekebishwa mara kwa mara na mafund wa eneo hilo

Naunga mkono hoja
 
Ili uwe sawa ungeenda kwenye maduka ya ma pro"wauzaji wa hizo spea ungekaa nao hata miezi 3 kujua ins and out ya hiyo biashara then ndio uamue kufungua yako. Kumbuka biashara yyte ili utengeneze faida lazima ujitoe kisawa sawa.

Sawa kiongozi. Nimekusoma
 
Huu uzi tangu 2010, August 23 mpaka leo sept 27, 2020 miaka 10 mwezi mmoja na siku 4 bado hauna info zilizoshiba japo kuna waliojitambulisha kwamba wanauza spea jumla. Sijui waTZ tunafeli wapi!!.
 
Lengo ni kusaidiana. Hapa naona umeibua hoja mpya ambayo ni nzuri kwa beginner ingawa mwenye uzi hakuomba msaada katika hili.

Hoja ya list ya vifaa muhimu vya kuanza navyo dukani.

Nafahamu "brand" ya baadhi ya vifaa inategemea na eneo ulilopo lakini "aina" ya vifaa mara nyingi ni ile ile.

Namaanisha AINA ya kifaa ni brake handle,switch,dashboard lakini BRAND ni GN, HUOJIAO,BOXER,SANLG nk. Kwa hiyo ukiona inafaa unaweza kuorodhesha aina ya vifaa kwa anayehitaji aipate hapa lakini brand ataamua mwenyewe baada ya kufanya utafiti kwenye eneo lake kwa kuzingatia pikipiki gani zipo kwa wingi na vifaa vinavyorekebishwa mara kwa mara na mafund wa eneo hilo
Kwa uzoefu wangu items ambazo ni fast moving kwa anayeanza biashara hii ni Kama ifuatavyo,
Engine oil petrol no.40, tube 300.17 ,275.17,300.18 clutch cable,speed cable,brake cable,acc.cable,chork cable.
Bearings 6200,6300,6004,6202,6302,628,6304,6205.spark plug,side mirror, winker lamp(indicators), head lamp,head cases,lamp holder,front bulbu,signal bulbu,tail lamp,peddle brake,gear leaver, handle bar, sprockets set,chain,front sprockets 14 teeth&13teeth,back sprockets, dimmer switch left,helmet glass1/2 and full,dash board,switch key,side cover,side cover lock,kick,spring kick,side spring,brake switch,clutch handle,brake handle,brake shoes,brake pads,brake line,rear hub,chain box,flasher,starting coil,wirering complete,rubber boots,handle gripe,fuel tank covers,kick shuft, sprockets shuft,cylinder complete,connecting load,engine block,valves,silcon,piston kit,valves grinding paste,gasket kit,block gasket,piston rings,gear leaver shuft,tire front 275.17-18 & back 300.17-18,410-16,
Clutch plates, clutch disck,clutch housing, Horne,shock absorber,foot rest,spring kick,brake fluid 250mg, crunk shaft, relay starter etc kwa mwanzo unaweza kuanza na hayo but zingatia location na kuwa mwaminifu kwa wateja wako na pia shirikiana na fundi wako katika kazi hii
Kuhusu mtaji angalau anza na million 5 Kama ni mjini na Kama ni pembeni unaweza kuanza na million mbili au 1.5 hapo utapata carton moja ya engine oil oryx,tube, bearing,bulbu, indicators,side mirror na cabble za clutch na acc.cabble pia na bolt size namba 8,10,12,13,17etc

Mwenyezi Mungu awabariki sana.
 
Back
Top Bottom