Biashara ya vipuri vya pikipiki: Ushauri, michango, mawazo

Biashara ya vipuri vya pikipiki: Ushauri, michango, mawazo

kuna web ya mkenya mmoja ilikua na taarifa zote,mpaka adress za wholeseller pamoja na bei za spare,alikua anaresearch na kuuza infor.unamtumia mpesa yeye anakuwekea infor kwenye email.

nimeimissiplace sijui wapi.nikiipata ntakuwekea

Bado hujaipata?
 
Unaweza kabisa! Utachagua kuuza Vifaa vidogodogo ukiacha vile vinavyoshikilia hela nyingi
Hebu chukua mda uorodheshe hivyo vifaa vidogo vidogo na bei zake kwa bei ya jumla, au unitumie kwenye email yangi (demafa88@gmail.com)
 
Wadau,

Nina fremu ambayo nimeshailipia, pango itaanza kuhesabiwa Januari.

Sina uzoefu wala ujuzi wa biashara ya pikipiki ila inanivutia.
Kwa huu mtaji wangu wa laki 8 naweza kuanza hii biashara?

(Kama inawezekana) Ni vifaa gani naweza kuanza nayo kwa mtaji huu? (wajuzi nisaidieni mwongozo).

Ni vitu gani vya kuzingatia katika hii biashara?

Mzigo nataka nichukulie Kariakoo.
 
Sijajua kuhusu mtaji
ila kama umepata eneo unaweza ukatafuta na kijana ambaye ni fundi wa pikipiki akawa anatengeneza hapo hapo pikipik za wateja
kwa kutumia vifaa vinavyonunuliwa hapo kwako utauza zaidi
 
Sijajua kuhusu mtaji
ila kama umepata eneo unaweza ukatafuta na kijana ambaye ni fundi wa pikipiki akawa anatengeneza hapo hapo pikipik za wateja
kwa kutumia vifaa vinavyonunuliwa hapo kwako utauza zaidi
ushauri Mzuri ufanyie kazi
 
Kila la heri mkuu kwenye maisha kama unaona unaweza fanya kitu fanya sasa utafanikiwa ata kama ni laki anza nayo huo ndio uthubutu
 
Sijajua kuhusu mtaji
ila kama umepata eneo unaweza ukatafuta na kijana ambaye ni fundi wa pikipiki akawa anatengeneza hapo hapo pikipik za wateja
kwa kutumia vifaa vinavyonunuliwa hapo kwako utauza zaidi
Eneo limepatikana mkuu, wasiwasi wangu huu mtaji wangu tu. Nataka nipate mawazo ya wadau wenye ujuzi ndipo nione kama naweza kuanza Januari au niendelee kudunduliza kuongeza mtaji.
 
Kila la heri mkuu kwenye maisha kama unaona unaweza fanya kitu fanya sasa utafanikiwa ata kama ni laki anza nayo huo ndio uthubutu
Ingawa hujanipa taarifa mahususi ya biashara tajwa, Ila umenipa hamasa kubwa sana mkuu.
 
Ingawa hujanipa taarifa mahususi ya biashara tajwa, Ila umenipa hamasa kubwa sana mkuu.
Mtafute fundi pikipiki muombe aje apo mbele ya fremu yako afungue ofisi na yeye atakuambia vifaa gani vinatoka sana ila muwe na makubaliano ya kukulipa kiasi fulani na vifaa awe ananunua kwako
 
Nikipata hela nitafungua duka la kuuza bia na vinywaji vikali vya jumla ndani ya mwaka mmoja, naachana nayo naenda kununua gorofa upanga naishi humu maisha yangu yote yaliyo baki hapa duniani.....
 
Kima cha chini nitafute kama kiasi gani chief?
Ila kwanza haujasema upo maeneo gani na ni pikipiki gani kwanza zinapatikana maeneo hayo maana kuna baadhi ya pikipiki vifaa vyake ni ghali na nyingine vifaa vyake ni rahisi kidogo
 
Back
Top Bottom