Page 94
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 5,204
- 15,207
Mkuu kabla ya kukushauri, wasaidie vijana ni aina gani ya biashara unaifanya. Ili wao waweze kuanzisha na kuiendeleza.
Ili hata utakapoondoka kwenda chuoni na biashara yako kufifia, mawazo yako na jitihada zako ziendelezwe na wengine.
Siyo vema hivyo net profit 200,000 izizime tu. Tueleze ni biashara gani na jinsi gani unaifanikisha.
Ili hata utakapoondoka kwenda chuoni na biashara yako kufifia, mawazo yako na jitihada zako ziendelezwe na wengine.
Siyo vema hivyo net profit 200,000 izizime tu. Tueleze ni biashara gani na jinsi gani unaifanikisha.