Kubabake yani ukienda Chuo ukaacha Project zako nitakuona bonge la Fala... Ms***nge.
Usifanye huo ujinga.
Chuo ni kupoteza muda.
Mimi Nina Degree tena First class ya UDSM. Niulize Nina nini cha maana.
Dah inaboa kichizi yani, mwisho wa siku kumbe degree sio maisha yani kama tulivyoaminishwa na wazee wetu bali imebaki kuwa intellectual joy. Jiulize ile ada ya miaka mi3 au mi4 ungeitawanya katika biashara ndogo ndogo tatu au 4 ungekuwa wapi sahivi kaka???Kubabake yani ukienda Chuo ukaacha Project zako nitakuona bonge la Fala... Ms***nge.
Usifanye huo ujinga.
Chuo ni kupoteza muda.
Mimi Nina Degree tena First class ya UDSM. Niulize Nina nini cha maana.
Ngeli kwa maana ya English? If yes I'm akay.
Kijana ngeli unaiweza au inakupiga chenga.? Kuna zawadi nzuri nataka nikupatie kwa sababu naona kuna kitu kikubwa sana unakosa kumkichwa.
Una dim light sio mwanga kamili
SHAMAC Hebu shauri mdau hapa. Mimi Niko sorted na bado nakusanya formal and informal education. Sasa maana yangu YA kusema atafute shule ni kuwa itamuongezea uwezo wa kukabiliana na changamoto (confidence pia).
Mshawishi kwa Nini asiende chuo? Hizi matambo zetu za ku-define elimu zitamkonfyuzi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
ASANTEKomaa na biashara kwasababu chuoni huenda ili mwisho wa siku upate kuajiriwa sasa kama umeweza kujiajiri what next?? Open another business
Una habari wahitimu huwa ni zaidi ya laki 6, lakini ajira ni elfu 70 kwa mwaka?
Verybad.....ila hata ukiangalia hali za maprofesa wetu vyuoni si nzuri kwakweli,Kubabake yani ukienda Chuo ukaacha Project zako nitakuona bonge la Fala... Ms***nge.
Usifanye huo ujinga.
Chuo ni kupoteza muda.
Mimi Nina Degree tena First class ya UDSM. Niulize Nina nini cha maana.
Ndiyo na imani yangu nikuwa kati ya hao 70,000Una habari wahitimu huwa ni zaidi ya laki 6, lakini ajira ni elfu 70 kwa mwaka?