SHAMAC
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 1,343
- 3,561
Kubabake yani ukienda Chuo ukaacha Project zako nitakuona bonge la Fala... Ms***nge.
Usifanye huo ujinga.
Chuo ni kupoteza muda.
Mimi Nina Degree tena First class ya UDSM. Niulize Nina nini cha maana.
Nashukuru sana umemuandikia kwa herufi kubwa kabisa.