Biashara yangu inaniingizia faida ya Tsh. 200,000 kila mwezi; Je, Niiache niende chuo?

Uko vizuri sana. Thanks kabisa na ujinga unaoitwa risk. Kila kitu ni risk. Kusoma. Kuishi. Kufa. Kuzaa. Kutembea. Kula biashara na vingine vyote. Ukiwa na degree unapata kazi utastaafu ukapata kiinua mgongo ukafungua biashara nayo ni risk. Hata ajira yenyewe ni risk. Tusiwatishe watu kuwa like ni risk very bad.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo laki mbili ni baada ya kulipa mshahara? Kama vipi tafuta "online courses " lakini ni ghali zaidi ya vyuo vyetu na utahitajika uwe na Internet stable
 
STK labda nchi nzima ziko 500 tu,halafu kila mwaka wanaohitimu vyuo wako 400,000.kwa mliofaulu hesabu piga probability ya kutembelea stk hapo...

Nimekuelewa sana A2G



probability ya kutembelea STK ni 0.00125. Na hiyo ni kwa wale wanaomaliza mwaka mmoja tu, je ukiunganisha na wa miaka mingine si inakuwa balaa.
 
Najuta kupoteza muda kusoma chuo bora uwe na mtaji ufanye biashara kuliko kuwa mtumwa wa mtu.
 
Kubabake yani ukienda Chuo ukaacha Project zako nitakuona bonge la Fala... Ms***nge.
Usifanye huo ujinga.
Chuo ni kupoteza muda.
Mimi Nina Degree tena First class ya UDSM. Niulize Nina nini cha maana.
Daaah mkuu imenitouch asee...

Mi najuta asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe mkuu upo pazuri sana kuajiriwa sio kuzuri ni utumwa tu, mi mwenyewe kuna mtego wa 30m nikifanikiwa kuzipata ntakuja kuwaomba ushauri nizifanyie nn ili ninyanyuke kibiashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bill gate aliondoka havard akiwa na 19 na amerudi kusoma akiwa na 60 tena tajiri wa dunia na hata huyu atarudi chuo akiwa ameshatoboa.......huyu sio mjinga.. huyu ni form 6 leaver.. tena aliyefaulu na kuchaguliwa udsm inshort sio kilaza...

kufaulu form 6 ni ngumu kuliko kupata degree kwa vyuo vingi....

so huyu anatakiwa apate elimu practical kwenye biashara yake maana hana ndoto za kuajiriwa...

masomo ya vyuo vikuu akiamua anajisomea hata kwa kusikiliza lecturez youtube kila siku...

elimu ni knowledge sio cheti

 
Uko sahihi kabisa mkuu. Kwani hiyo unamshauri asome elimu YA chuo kikuu youtube? Mimi nilishauri asome open university, Unaona youtube ni Bora zaidi sio? Manake biashara yake inamuingizia kipato cha kutosha kabisa.

(Halafu kusoma na kufaulu shule sio kutokuwa mjinga. Mukulu ameteua mawaziri wenye PhD na Kasema kitu kama vile ni wapuuza flani hivi).


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…