Biashara za chakula kuendelea kushamiri mchana hapa Dar mwezi wa Ramadhani ni uthibitisho kwamba waislamu ni wachache?

Biashara za chakula kuendelea kushamiri mchana hapa Dar mwezi wa Ramadhani ni uthibitisho kwamba waislamu ni wachache?

Status
Not open for further replies.

Uponyaji na uzima

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2015
Posts
666
Reaction score
1,255
Nimepita maeneo ya Magomeni, Ilala, Kinondoni, Buguruni, Temeke na Mbagala na kuona biashara nyingi za chakula zikiendelea Alhamisi, Ijumaa na hata leo Jumamosi asubuhi.

Maeneo tajwa hapo juu yalisemekana kuwa na wakazi ambao ni jamii ya kiislamu. Sasa naendelea kujiuliza kwanini biashara za chakula hazijasitishwa mida ya mchana. Au ni kwamba waislamu ni wachache sana hapa Dar?
 
Kama uku Zanzibar migahawa bubu ipo kibao kipindi hiki cha wenye dini yao kufunga usishangae uko dar

Uku Zanzibar chakula kikiwa tayari utajulishwa kwa simu na wanaopika ni wanawake wa kiislam

Waislam wengi tu hawafungi ila jioni kwa kuwa kunw chakula cha bwerere lazima watie kandhu kutafuta biriani
 
Nimepita maeneo ya magomeni, ilala, kinondoni, buguruni, temeke na mbagala na kuona biashara nyingi za chakula zikiendelea alhamisi, ijumaa na hata leo jumamosi asubuhi.

Maeneo tajwa hapo juu yalisemekana kuwa na wakazi ambao ni jamii ya kiislamu. Sasa naendelea kujiuliza kwanini biashara za chakula hazijasitishwa mida ya mchana. Au ni kwamba waislamu ni wachache sana hapa dar?
Mbona kwaresma ipo na biashara ya chakula inaendelea nayo tuseme wakristo ni wachache au nyie hamfungi? Kama nyie hamfungi basi na waislam hawafungi
 
Nimepita maeneo ya magomeni, ilala, kinondoni, buguruni, temeke na mbagala na kuona biashara nyingi za chakula zikiendelea alhamisi, ijumaa na hata leo jumamosi asubuhi.

Maeneo tajwa hapo juu yalisemekana kuwa na wakazi ambao ni jamii ya kiislamu. Sasa naendelea kujiuliza kwanini biashara za chakula hazijasitishwa mida ya mchana. Au ni kwamba waislamu ni wachache sana hapa dar?
Kwahiyo ulitaka tusile????
 
Me naomba ujibu tu hayo maswali uliyoulizwaaaa
 
Hata hao waislam kadri miaka inavyoenda wafungaji wanapungua, wameanza kuona si kitu kufunga zaidi ni imani tu. Ndio maana wengi wanaonekana wakila bila uficho.
 
Ni ngumu kumfungisha mama lishe mwezi mzima aziuze chakula mchana. Wanaoweza kuacha kuuza chakula mchana ni wale wenye migahawa mikubwa. Sasa mama lishe mwenye genge akiacha kuuza mwezi mzima mpaka ramadhan ipite si utamuua kwa njaa? Hizi funga kwa wengine ni mzigo mzito. Imani ibaki ni suala la mtu binafsi na mungu wake tusilazimishane kufunga
 
Kama uku Zanzibar migahawa bubu ipo kibao kipindi hiki cha wenye dini yao kufunga usishangae uko dar

Uku Zanzibar chakula kikiwa tayari utajulishwa kwa simu na wanaopika ni wanawake wa kiislam

Waislam wengi tu hawafungi ila jioni kwa kuwa kunw chakula cha bwerere lazima watie kandhu kutafuta biriani
Mzeebaba nipe namba ya mpishi yeyote nipo hapa mjini darajani napata tabu kinoma kupata chakula
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom