wambagusta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 2,825
- 2,292
Kuna rafiki yangu huku znz ana miaka kama 50 na kaka ake Ana miaka kama 60 wote wamefunga lakini awaeleweni awaongei hata salamu hakuna ibada awafanyi hizo chuki mpaka kwenye familia zao cha kushangaza nao wanafunga