Akija mdada mzuri ananihubiria hiyo network marketing yake mie nam-baharia kistaarabu..
Hao jamaa ni hatari.
Ni kikosi kazi kamili.
Huwa wanamsoma kwanza mtu anayeletwa kuja kupigwa somo la kujiunga. Wakijua wewe ni mtu wa kidini, basi watajipanga hadi angle za kidini, wakijua wewe ni mtu kisayansi wataweka kikosi cha watu wanaojua sayansi, kama wewe ni mtu wa kiheshima basi utashaanga unakutana na kikosi kazi za waheshimiwa siku hiyo.
Hapo ni mwendo wa Good morning!!!!!
Mkuu, wake up! Hao ni matapeli, watakupa maelezo ambayo kama huna ufahamu mkubwa utawaamini, tapeli anachotafuta ni wewe kumuamini.Mkuu unaweza kuelezea zaidi kuhusu Qnet? Kuna mtoto wa sister anawasumbua sana wazazi wake wajiunge na entrance fee ni 5m.
Baba ya mtoto(shemeji yangu) kaniuliza kama naijua na wanapataje pesa bahati mbaya sina ninalolijua kuhusu hiyo biashara. Wasiwasi wa shemeji yangu ni kwamba huo ni utapeli na mwanaye anashauriwa vibaya na kutumiwa na hao wenye biashara
Ajabu ni kwamba my sister anaelekea kuingia king maana ameanza ku side na mtoto kumshawishi baba yake wajaribu kum support binti aingie labda ni kweli kuna faida
Nilichokiona na kuwashauri ni kwamba hata wao wazazi hawajaelewa hiyo biashara inaendaje na watapataje faida? Kwahiyo wakikishe wanaelewa kwanza kabda ya kuingiza pesa yoyote huko
Hiyo 200USD unaipata kwa wiki au mwezi?Mkuu daah wambie wakae mbali, tatizo linakuja kwenye kumuunga mtu, Kwanza kumpata wa kumuunga ni kimbembe , wengine mpak wanaroga ili kuwaingiza kingi watu , mfano huyo bint amelipa m5, anatakiwa na yeye aingize watu wawili Kwanza ambao watatoa m5 kila mtu in total inakuwa m10, Kwa kazi hyo huyo bint atalipwa only us dollars 200, hapo ndo atatakiwa kutengeneza chain kila atayekuwa anaingia kwenye chain yake atakuwa anakula commission, hapo ili faida ionekane inabidi watu uliowaunga na wao waunge watu wa kutosha ili kutengeneza chain ndefu hapo ndo utamake money, kutengeneza chain ndo pagumu ndo mana 90% ya wanaojiunga wanaangukia pua, wanaowin ni Wale waliotangulia kujiuga mwanzo kabisa wakati kampuni inaingia nchini, .......
Hivi unaweza kujua kabisa kua ni wapigaji na ukaingia kwenye ofisi zao usichomoe.
Kwa mfano kwa tahadhari hii tuliyopewa hapa halafu nikaamua kwenda kujionea mwenyew kwenye hizo ofisi zao huku nikiwa najua kabisa sina nia ya kujiunga,inawezekana humo ndani mm kubadili maamuzi kweli?
Daaah, kuna jamaa yangu akinusurika na hii ishu, nikipata muda mzuri nitaeleza hapa.Hii ni point mkuu mafanikio yao yapo kina nadharia zaidi, utawaona wamevaa suti uchwara. Wameshika pesa na kupiga nazo picha lakini ukija katika maisha yao halisi wapo kawaida tu.
Mfano huyo jamaa wa Qnet ambayo kiingilio ni zaidi ya milioni nne. Ilifika hatua anatuma screenshot ya balance yake iliyo bank alikuwa na around milioni 3.7. Sikutaka kuwa mwepesi kuamini kuwa ile pesa imetokana na hiyo biashara, nikataka athibitishe kwa kunitumia bank statement ili nione vyanzo vya hiyo pesa. Ili nijiunge alishindwa kufanya hivyo.
Asante sana mkuu kwa ushauri. Actually baada ya mjadala wa jana hapa JF na kusoma maoni kutoka kwa watu tofauti nimeshampigia simu shemeji yangu nikamwambia astop kwanza then nitaongea nae kwa kirefu baadaeMkuu, wake up! Hao ni matapeli, watakupa maelezo ambayo kama huna ufahamu mkubwa utawaamini, tapeli anachotafuta ni wewe kumuamini.
Mwambie shemeji asithubutu kwa namna yoyote ile kuweka pesa zake humo.
Asante sana mkuu nitafanya hivyo. Dakika chache zilizopita sister katoka kunipigia, kumbe kuna pesa 4.5m walishalipa kwa ajili ya degree course(undergraduate) ya online inayoendeshwa na na University moja inaitwa Quest University ipo Malaysia( ambayo ni Education Institution ya iliyo chini ya hao Qnet). Mtoto wa sister yupo UD mwaka wa kwanza sasa anataka kusoma online degree nyingine through hao Qnet
Kanitumia risiti ya hela waliyolipa bank naona kama ni malipo ya manunuzi ya commodities yaani hata haieleweki. Sasa mtoto ndio anawashinikiza wazazi wajiunge kununua products ili eti watengeneze pesa!
Sio Kwa mwez, ukiingiza hao watu ukapewa hyo ndo imetoka hvyo, cha msingi hao unaowaingiza wanatakiwa wapige kazi ya kuleta watu , na Wale wanaowaingiza na wenyewe wapige kazi kuleta watu, wakileta na wao watapata commission Yao na wewe utapata commission Kwa kila member anayeongezeka kupitia chain yako, wakat wanaingiza na we unapambana kuingiza kingi wengine ili chain iwe kubwa, Ila mara ya Kwanza sharti uingize watu wawili Kwanza do upate us dollar 200 na chain yako iwe activated, yaan kiufupi ili chain yako iwe activated zinatakiwa million 15 , ya kwako M5, na za maboya wengine wawili M 10, in return unapewa Dollar 200, na kazi inabaki kwako sasa kutengeneza chain sio kazi rahsi hata kidogo, labda uwe umezungukwa na middle-class people, kuna Mwamba wangu mmoja anaitwa Eliya Mroso tulipiga naye school Galanos Tanga, kampuni ya Qnet ilipoingia Tu nchini akajiunga fasta akaacha na chuo IFM, sa hv ni millionare mkubwa Sana and he is only 26yrs, advantage yake member karbia wote wa Qnet nchi nzima amekula commission zao , Ila wanaojiunga sa hv ni kimbembe kutoboaHiyo 200USD unaipata kwa wiki au mwezi?
Hahahaaa shemeji yangua alienda pia hapo kwenye ofisi yao Sinza. Anasema ni nyumba ipo ndani kidogo na hakuna hata fenicha sasa sijui wanasomajeKuna mdogo wangu anasoma SUA (mwaka wa kwanza) na mwingine Muhimbili (mwaka wa kwanza pia) nao wamelipia hizo online degree kwenye hicho chuo cha Malaysia, kuna siku walinipeleka huko kwenye QNet yao. Looh ni balaa tupu, sijui watu wanawezaje kudanganyika kirahisi vile na kuziingiza familia katika mizigo mizito ya kulipia gharama kubwa za masomo.
Nakumbuka mistari michache ya Fid Q isemayo:, ni mbaya kuhifadhi fuvu la kichwa cha mtu kwenye kabati, ni mbaya zaidi kuwa na ndugu halafu ni kichwa maji.
Inamaana kuna mtu mahali flani anafaidika ja hizo pesa hao wengine wanabaki kupiga debe tuMimi nilikoswakoswa, jamaa yangu aliniambia ukiweka M10 utapata faida kubwa na kwenye maisha yako hutonisahau. Lakn hadi leo yeye ni bodaboda. Huwa najiuluza nisingemsahau kwa hasara aliyonipa. Juz juz anakuja nimuazime kilo 1.
Halafu wanaongea sana,Tena Kama Hawa Q net ,eti pesa ya kuanzia Ni millioni 5,wakati huo mtu huna hata Mia mbovu
Hakuna kitu ka icho apo atapata Commission kwa kila MTU atakayemshawishi kujiungaKwamaana hiyo kama wazazi wamelipa 5m. mtoto atazipata zote kwa kulipwa kidogokidogo?
Asante sana mkuu nitafanya hivyo. Dakika chache zilizopita sister katoka kunipigia, kumbe kuna pesa 4.5m walishalipa kwa ajili ya degree course(undergraduate) ya online inayoendeshwa na na University moja inaitwa Quest University ipo Malaysia( ambayo ni Education Institution ya iliyo chini ya hao Qnet). Mtoto wa sister yupo UD mwaka wa kwanza sasa anataka kusoma online degree nyingine through hao Qnet
Kanitumia risiti ya hela waliyolipa bank naona kama ni malipo ya manunuzi ya commodities yaani hata haieleweki. Sasa mtoto ndio anawashinikiza wazazi wajiunge kununua products ili eti watengeneze pesa!