Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio hawauzi uji ? Yaani ukiomba uji kumbe ni chai ?Kuna wengine huku mtaani wanajifanya wanauza uji ni balaa
kumbe we ni mwanaume[emoji44][emoji44]Wapuuzi kuna siku nilitaka kumlamba binti mabanzi na hiyo sehemu marufuku kwenda tena!
Ngoja ukolee kwanza, sikuhizi hata condom za jero hamnaSiku Trump na Msaada Kutoka Kwa Watu Wa Marekani wakisitisha kutununulia ARV, hali itakuwa mbaya sana!
Vipi mkuu alikuwa anatumia na lile vumbi lao?Ila mnapenda wenyewe kufanyiwa mauchafu hayo na kunyofolewa hela zenu...Kuna mkongo alikuaga Hapo maeda enzi za jk...alikua anajua Sana ishu za nywele kusuka na kushona weaving balaa aisee. Basi kumbe alikua "baharia". .anakusuka anakukalisha chini..kichwa Cha msukwaji anakibananisha kwenye zip Yale( wasukwaji mtaelewa position hii) yaan unakua unaona mbona jamaa anasuka taratibu then anahema balaa anatoa kbs miguno..hapo anakusifia oh una joto Sana we kichwani.mara una mguu mzuri...lahaulaa hapo hapo unaskia abdala kichwa wazi kaamka...ghaflq unaskia kuloa shingoni...
Sasa nikaja gundua anapiga bao shingoni kwa wanawake..akimaliza kukusuka anakuambia Kuna massage for free...ukizingatia maisha ya chuo then unaambiwa kitu free uniazama room anakumassage kama ndo mnajiandaa kusex..yaan yule mkongo naskia alizalisha wake za watu Kama 7!.. ukiona hapafai wewe usirudi Tena..Mara ya mwisho nimeenda saloom kwake ndo nikakuta ugomv wanawake wanachambana kisa mkongo[emoji38][emoji38][emoji38]!
daah 🤣🤣🤣🤣.asiyenazo atalinyanyua au alipakate kabisa au akalianike nje kabisa!..
Hivi wewe Mirembe ulitoroka au uliruhusiwa?ukabaki kula kwa macho ili hali ushapewa password ...boya kweli weeee
Tutafute tu heladaah 🤣🤣🤣🤣
Ni muda mkuu btn 2008-2009! Hilo vumbi si naskia ni toleo jipya? Ila sijui..maana nilimhama
Nasikiaga kwenye nyimbo za stamina, sijajua ni toleo la karne gani. Anyway tupo zama za mapenzimapenzi hivi. Tabu kwetu tusio na vipaumbele hivyo.Ni muda mkuu btn 2008-2009! Hilo vumbi si naskia ni toleo jipya? Ila sijui..maana nilimhama
Baada ya kuwachanganya ndio uka mhama samahani lakiniNi muda mkuu btn 2008-2009! Hilo vumbi si naskia ni toleo jipya? Ila sijui..maana nilimhama
𝐊𝐦 𝐮𝐧𝐚𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐢𝐦𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐢𝐩𝐨 𝐤𝐮𝐬𝐡𝐨𝐭𝐨?Tabata bima opposite na St Mary's
Ndiyo..baada ya kutuzalisha ndo nikamhamaBaada ya kuwachanganya ndio uka mhama samahani lakini
Nime note apo ulipo sema cha Congo kilikuwa bado hakija julikana!!Ndiyo..baada ya kutuzalisha ndo nikamhama
Wanasaikolojia ya kusoma status ya mtu , hoe hae namba upewe ya nini
Vizuri Sana aisee. VIP na ww unataka kumchek akushughulikie?Nime note apo ulipo sema cha Congo kilikuwa bado hakija julikana!!
Vip alikuwa a na kuna satisfy!?
Samahani lakini