Umeenda sana kwa mujibu wa nani mkuu, mwanamke yupo umri wa kawaida kabisa, halafu huwezi jua, jamaa nae yupo labda 40s au 50s so it was a perfect match.Nimeelewa vizuri naongelea kuhusu age, bi harusi umri umeenda sana (RIP) halafu house girl umri wake sio wa kuajiriwa ni mtoto sana alitakiwa kuwa shule
Umri ni namba tu mkuu huoni mtoto alivyonawiri aiseeNimeelewa vizuri naongelea kuhusu age, bi harusi umri umeenda sana (RIP) halafu house girl umri wake sio wa kuajiriwa ni mtoto sana alitakiwa kuwa shule
Bibi harusi mtarajiwa, Rehema Chao (37) na mama yake mzazi, Agness Chao (75) wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Raum kugonga lori.
bea kwa Mwenyezi Mungu," amesema.
Mwananchi
Kuna siku wife alikuwa anaenda Arusha kutokea Dom apite road ya kondoa. Nikamwambia ni bora kupanda bus akakaza anataka aende na gari atumie kwenye mizunguko ya hapa na pale akiwa chuga. Hakutuboa kwenye zile kona ni siku yake haikufika tu.Pole sana kwa familia sema bibi harusi hakutakiwa kuendesha gari umbali mrefu huo bora wangekodi dereva tu kwa ajali nazokutana nazo bara barani hasa hii ya Dodoma kwenda Iringa wengi ni wale madereva wa nyumbani mjini harafu wanataka kuvuka mkoa bila hata ABC za Road...
Mwaka huu nilikua natoka Chuga naenda Mbeya pana sehemu maeneo ya Kondoa kwenye zile kona pana jamaa alikua anatupita kama yupo bara bara za mjini tuliposimamishwa sehemu bara bara ilikua inajengwa alikua na Harrier na mwingine alikua na ICT nikawaambia hizi bara bara za vumbi msiende mwendo kasi sana zina tabia ya kuvuta gari wote walishukuru sana baadae nikaikuta ile gari imepata ajali kwenye zile kokoto wanazomwaga wakisubiri waweke lami tukiitafuta mtera niliumia sana maana gari ilijifinyanga kama karatasi nilikua na mzuka wa kufika mbeya siku hiyo hiyo nikaenda kulala Iringa yaani watu ulioongea nao muda si mrefu unakuta wamepata ajali na kufariki inaumiza sana kwa kweli ila naona wengi wakinunua magari wanalazimisha kuwa madereva wakati huo huo...unakuta mtu hajui gari kabeba familia yote ndani yaani likitokea lolote kizazi kinaisha..Kuna siku wife alikuwa anaenda Arusha kutokea Dom apite road ya kondoa. Nikamwambia ni bora kupanda bus akakaza anataka aende na gari atumie kwenye mizunguko ya hapa na pale akiwa chuga. Hakutuboa kwenye zile kona ni siku yake haikufika tu.
Hizi road zinataka ujuzi wa barabara sio kujua kuendesha gari tu
Wabongo wanavyojifanya kuijuwaWalikosa kabisa dereva wa kuwafikisha Marangu?
Udereva wake wa mjini Moro ndio hautoshi kumpa uzoefu huo. Anyway, Ara Ai Pi
Rip marehemu kifo kwakweli hakina taarifa.
Ila sasa dereva wa lori anashikiliwa kwanini wakati polisi wenyewe washasema chanzo ni dereva wa raum aliyekuwa speed kuhama barabara wakati akikwepa shimo na kuingia kwenye lori
Ni bibiBibi hharusi ana miaka 37.
Sawa
Kuna mdau huko juu alisema mume alikuwa anaenda kuteseka kuna ka ukweli. Mwanamke hata woga hana full confidence behind the steering Moro hadi Marangu.Wabongo wanavyojifanya kuijuwa
Hela,ubahiri ampe dereva hela
Ova
Wazazi wengi wazamani hawakuwa na hekima kabisaUlimwengu wa Roho wa giza unamambo mengi sana...
Kama watu wangefunuliwa waone wangeweza kukwepa hali kama hiyo...
Tatizo watu Bado wanaamini uchawi/mizimu na ushirikina ..
Maagano yake ni magumu sana, unaweza usione Leo ila kizazi chako kitaipata...
Watu wengi wanateseka na maagano yaliyowekwa na wazazi wao au ukoo...
daah[emoji28]Miaka 37 unaolewa kwenda wapi?
Inakuwaje unaoa mtu wa miaka 37?
Umakini upi mlizingatia?Hata mie nimehisi hivyo, thinking deep kwenye ulimwengu wa roho kuna mambo yalikuwa tayari yanaendelea hata sisi tulishauriwa kuwa makini sana kuelekea siku ya tukio. Vita ni kubwa sana ukizingatia kuna ambao wanaweka ngumu ili usioe au kuolewa wanatumia njia yeyote ile ili mkwame tu.