Bibi harusi mtarajiwa, mama yake wafa ajalini wakielekea Kilimanjaro kwenye maandilizi ya harusi yake

Bibi harusi mtarajiwa, mama yake wafa ajalini wakielekea Kilimanjaro kwenye maandilizi ya harusi yake

Ulimwengu wa Roho wa giza unamambo mengi sana...

Kama watu wangefunuliwa waone wangeweza kukwepa hali kama hiyo...

Tatizo watu Bado wanaamini uchawi/mizimu na ushirikina ..

Maagano yake ni magumu sana, unaweza usione Leo ila kizazi chako kitaipata...

Watu wengi wanateseka na maagano yaliyowekwa na wazazi wao au ukoo...
Na huo ulimwengu una mambo mengi mno! Na ndo ulimwengu halisi!
Lkn nachopenda ni kuwa Mungu Huwa anasema ,hajawahi mficha mtu!
Amosi 3:7!
Wengi hata hao manusura ukiwahoji lzm Kuna viashiria vilikuwepo hata vya ndoto tu, lkn hawakuelewa,au walipuuzia!

Hapo Kuna mambo mengi ,unakuta miungu kwenye familia pande zote ni vita,Bado ma-Ex walioachwa pande zote walienda Kwa upande wa pili na we sio mtu wa kuomba Mungu hutoboi!
Bado mashost wa mchongo,wivu Bado Kijijini kwenu, vita yake isikie Kwa mtu
 
Hapa inaonyesha ana agano la kutokuolewa...

Hilo agano ndio limeondoa uhai wake...

Vita baada ya kupata...
Kwasbb ya umri ndo awe na agano la kuto kuolewa?
Sijui, lkn vita inaweza toka pande zote kwake na Kwa mwanaume pia!
Ht mwanaume anaweza kuwa na Hilo agano vilevile.
Kinachotokea km kule hawataki na we mwanamke umepush sn kijana wao kukuoa,wanakuondoa na kiherehere Chako!

Kwahiyo vita sio lzm Kwa mdada tu ,unaweza Kuta ht huyo mwanaume ni mkubwa sn tu
 
Watu wanashindwa kutafakari mambo ya msingi kwa undani.
Hujasafiri kuvuka mpaka wa nchi yako miaka yote ya uhai wako. Leo una miaka 70 unapata chance ya kuvuka mipaka unaenda kichwakichwa tu
Unaliwa kichwa huko nje.
Umeongea kitu umenifungua medulla oblongata
Yes,hii ajali sio ya kawaida,watu wanachukulia kawaida
Kuna mambo mengi hapa!

Tena km ni mzaliwa wa 1 🙌....
Au ht huyo mwanaume unaweza Kuta nae ana vita kwake huko ,yaani ni full balaa!
Sa ndo km wote hamuombi Mungu ndo basi
 
Hata mie nimehisi hivyo, thinking deep kwenye ulimwengu wa roho kuna mambo yalikuwa tayari yanaendelea hata sisi tulishauriwa kuwa makini sana kuelekea siku ya tukio. Vita ni kubwa sana ukizingatia kuna ambao wanaweka ngumu ili usioe au kuolewa wanatumia njia yeyote ile ili mkwame tu.
Watu Kuna vitu Huwa wanavichukulia poa sn!
Wanasahau kuwa U/Roho ndo halisi na ndo msingi wa Kila kitu na hakuna kitu Cha ghafla,mipango yote rohoni.
Yaani red flag za mwilini watu wanazielewa sn ingekuwa na rohoni hivyo tungekuwa mbali sn.
Km Kuna eneo Lina vita na miungu inapigana sana ni hili la ndoa(kuoa/kuolewa),🙌🙌!
Na Kuna baadhi ya Koo, kabila nomaa
 
Sheria zipo za nchi na za umma.
Binti anapaswa aolewe akiwa na miaka 22 ili kupata circle nzuri ya kizazi katika jamii
Hakuna Sheria ya kuoa,kuolewa,usitudanganye mkuu
Hayo ni maamuzi ya mtu binafsi!
Aisee 22🤔🙄
mtt wa kike wa miaka 22 aolewe 🙌🙌🙌
No thank you!
Ht mwanangu sitaki aolewe na umri huo
 
Hata mie nimehisi hivyo, thinking deep kwenye ulimwengu wa roho kuna mambo yalikuwa tayari yanaendelea hata sisi tulishauriwa kuwa makini sana kuelekea siku ya tukio. Vita ni kubwa sana ukizingatia kuna ambao wanaweka ngumu ili usioe au kuolewa wanatumia njia yeyote ile ili mkwame tu.
Hivi uwa ni kwanini?

Kuna hii harusi ya mtu wangu wa karibu..
Sendoff imefanyika ikaisha salama.
Bwana harusi anarudi mkoa wake kusubiri siku ya harusi wakapata ajali njiani….. akavunjika mkono na yeye peke ake ndiye aliumia ktk hiyo gari…hapakuwa tena na sherehe, ila Mungu ni mwema akapona kiasi ya kutosha kufunga tu ndoa Kanisani na kupiga picha akiwa na pop yake mkononi 🥹
 
Umeenda sana kwa mujibu wa nani mkuu, mwanamke yupo umri wa kawaida kabisa, halafu huwezi jua, jamaa nae yupo labda 40s au 50s so it was a perfect match.
Yaani watu Wana vituko humu,eti umri umeenda,sijui umeenda wapi na Kwa mujibu wa nani?
Wanachekesha!
Naona tuna mawakala wa vipimo humu😅

Kabisa unaweza Kuta jamaa mkubwa
 
Hivi uwa ni kwanini?

Kuna hii harusi ya mtu wangu wa karibu..
Sendoff imefanyika ikaisha salama.
Bwana harusi anarudi mkoa wake kusubiri siku ya harusi wakapata ajali njiani….. akavunjika mkono na yeye peke ake ndiye aliumia ktk hiyo gari…hapakuwa tena na sherehe, ila Mungu ni mwema akapona kiasi ya kutosha kufunga tu ndoa Kanisani na kupiga picha akiwa na pop yake mkononi 🥹
Duh huyo Mungu kamtetea aisee
 
Back
Top Bottom